technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,693
- 52,313
Best player of the world once again tonight in history........
Uwa sikapendi ka jamaa hata sijui kalichukuaje zile tuzo 4 mfululizoHehehe
Penssi kakimbia hata kwenda haja enda
Mwaka huu barca watakoma
Hata usipompenda haumpunguzii wala kumwongezea chochote ..Uwa sikapendi ka jamaa hata sijui kalichukuaje zile tuzo 4 mfululizo
Mkuu kwanini wote wamikimbia tuzo wachezaji wa Barcelona?Hata usipompenda haumpunguzii wala kumwongezea chochote ..
Mkuu ipo tayari kwenye jukwaa la michezoTechnically, sijakuelewa hii mada yako inahusianaje na jukwaa la siasa.
Wana mechi jumatano ya copa de...Viongozi wao wameenda tafuta taarifa hiyo utaipataMkuu kwanini wote wamikimbia tuzo wachezaji wa Barcelona?
Hakuna hata mwakilishi wamesusa
Kutofika huko hatuwezi kutafsiri kama ni kukumbia, na pia unatakiwa ujue kuwa hata ingekuwa vipi ni lazima CR7 angebeba hiyo tuzo kutokana na mafanikio aliyoyapata msimu ulioisha..Mkuu kwanini wote wamikimbia tuzo wachezaji wa Barcelona?
Hakuna hata mwakilishi wamesusa
Wewe mshamba una sali imani gani,masikini Mali na akili kama wewe chuki haziepukiki,nikajua ni chuki kwa Lowasa tu,kumbe hata watu wasio na madhara kwenye maisha yako unawachukia?Uwa sikapendi ka jamaa hata sijui kalichukuaje zile tuzo 4 mfululizo
Ka taxessi mi pia huwa ska elewi halafu kana tabia ya kuzira sanaUwa sikapendi ka jamaa hata sijui kalichukuaje zile tuzo 4 mfululizo
Simchukii lakini sipendi achukue wakati Ronald bado yupo anatamba asubiri Ronald astaafu.......Wewe mshamba una sali imani gani,masikini Mali na akili kama wewe chuki haziepukiki,nikajua ni chuki kwa Lowasa tu,kumbe hata watu wasio na madhara kwenye maisha yako unawachukia?
Tayari Ronald kachukua hata hivyoWewe mshamba una sali imani gani,masikini Mali na akili kama wewe chuki haziepukiki,nikajua ni chuki kwa Lowasa tu,kumbe hata watu wasio na madhara kwenye maisha yako unawachukia?
Yes ni kweli naona Ronald kachukua tena...Kutofika huko hatuwezi kutafsiri kama ni kukumbia, na pia unatakiwa ujue kuwa hata ingekuwa vipi ni lazima CR7 angebeba hiyo tuzo kutokana na mafanikio aliyoyapata msimu ulioisha..
Craudio Rainier daaaah resister kachukua kocha bora wa mwaka.Hehehe
Penssi kakimbia hata kwenda haja enda
Mwaka huu barca watakoma
Nilitaka Zidane abebe ila nadhan nayo sawa acha ranieri naye akacheke na wanaeCraudio Rainier daaaah resister kachukua kocha bora wa mwaka.
Hata mimi nilitaka zidane but, Yes alijaribu 15/2016 naona wako fareNilitaka Zidane abebe ila nadhan nayo sawa acha ranieri naye akacheke na wanae