Ron Paul: Nikichaguliwa bangi, cocaine ruksa USA!

Anajua hawezi kamwe kuwa rais wa USA....mwacheni aseme chochote anachotaka ni uhuru wake!
 
Anajua hawezi kamwe kuwa rais wa USA....mwacheni aseme chochote anachotaka ni uhuru wake!

jana newhumshire ameshika nafasi ya pili nyuma ya mitt romney,wengi walimuaunder estimate lakini anatoa upinzani ile mbaya,mpaka sasa yeye na romney ndio wenye nafasi labda na Kijana Rick Santorum ambae alikua nafasi kubwa ya kumchallenge romney but last week akaharibu baada ya kutumia neno "black pipo" akimchallenge obama kwamba anachukua pesa za watu na kuwapa black pipo,hiyo imemcost na kumpa nafasi babu ambaye walikua wanachuana nae vikali...
 



Africa for Ron Paul 2012
 
Last edited by a moderator:
Hukumfahamu. In principle, ukiwa unaunga mkono liberty ni lazima uruhusu uhuru wa binadamu. Hata hivyo haina maana kuruhusu kila kitu ambacho pengine kina madhara kwa uhuru wa watu wengine.
Kwa kweli anasema hii ni issue ya state ku solve na si issue ya Federal government.
 
hakuna ubaya kuruhusu bangi,kumbukeni hata alcohol before 1920s ilikuwa illegal in US na watu walienda jela kwa sababu ya kunywa au kuuza pombe,lakini watu hawakuacha kunywa wala kuuza na cartels nyingi tuu za mafia zikaanza kuuza alcohol na wengi wali make billions huku serikali ikiendelea na vita vyao vya kupinga alcohol baadaye wakaona bora tuu waruhusu then tax it and regulate na hakuna tatizo lolote zaidi ya nchi kupata billions ambazo walikuwa wakipata mafia na matumizi ya kuweka watu jela kwa ajiri ya pombe,ni sawa na madawa ya kulevya tuu/bangi inasound vibaya lakini watu hawataacha kuvuta wala kutumia na cartels wana make billions huku taxpayer wakiambulia war on drugs inayo cost billions kila mwaka,dawa ni kuruhusu then tax it and regulate kama sigara au pombe walivyofanya ...Ron paul ana point hapo na wanajidai kuzuia bangi lakini hapa bangi inapatika kirahisi kuliko hata chupa ya soda ana almost Americans wote ninaowajua ni wavuta bangi tuu au walishavuta sijui kwanini wanazuia maana bila hii kitu hawa hawawezi kuishi.
 
hakuna ubaya kuruhusu bangi,kumbukeni hata alcohol before 1920s ilikuwa illegal in US na watu walienda jela kwa sababu ya kunywa au kuuza pombe,lakini watu hawakuacha kunywa wala kuuza na cartels nyingi tuu za mafia zikaanza kuuza alcohol na wengi wali make billions huku serikali ikiendelea na vita vyao vya kupinga alcohol baadaye wakaona bora tuu waruhusu then tax it and regulate na hakuna tatizo lolote zaidi ya nchi kupata billions ambazo walikuwa wakipata mafia na matumizi ya kuweka watu jela kwa ajiri ya pombe,ni sawa na madawa ya kulevya tuu/bangi inasound vibaya lakini watu hawataacha kuvuta wala kutumia na cartels wana make billions huku taxpayer wakiambulia war on drugs inayo cost billions kila mwaka,dawa ni kuruhusu then tax it and regulate kama sigara au pombe walivyofanya ...Ron paul ana point hapo na wanajidai kuzuia bangi lakini hapa bangi inapatika kirahisi kuliko hata chupa ya soda ana almost Americans wote ninaowajua ni wavuta bangi tuu au walishavuta sijui kwanini wanazuia maana bila hii kitu hawa hawawezi kuishi.

Hata barry aliwahi kuvuta bangi kabla hajaingia ikulu,mzee Ron yuko right ndio mana mimi napenda awe rais,huyu ni champion wa kuamini uhuru wa watu,hapendi mambo ya kunyimana nyimana uhuru kusikokuwa na sababu,kila mtu afanye anchotaka bila kupangiwa pangiwa na serikali inazo kazi nyingi za kufanya sio kufuatilia watu wanavuta nini na wanajamiiana vipi,hayo ni mambo binafsi sana,the govt should stay out of pipo's personal habit..
 
Hata barry aliwahi kuvuta bangi kabla hajaingia ikulu,mzee Ron yuko right ndio mana mimi napenda awe rais,huyu ni champion wa kuamini uhuru wa watu,hapendi mambo ya kunyimana nyimana uhuru kusikokuwa na sababu,kila mtu afanye anchotaka bila kupangiwa pangiwa na serikali inazo kazi nyingi za kufanya sio kufuatilia watu wanavuta nini na wanajamiiana vipi,hayo ni mambo binafsi sana,the govt should stay out of pipo's personal habit..
Sio haki peke yake imagine how much money they would make on taxing the drugs(lol) lakini look at holland where you can go to a cafe for a smoke or Denmark where addicts go to a doctor for synthetic drugs.It would break the cartels and reduce drug related crimes by a huge percentage.I do not think they will ever make drugs legal in the US just like they will never give up their guns.
 
MIMI nina swali, kwanini banghi haitupiliwi mbali ilhali madhara yake ni ngumu kuponya. lakini vitu vya asili kama mirungi zinaondolewa kwenye nchi kama uholanzi
 
Lakini waamerika walio wengi kama wanatka rais basi i huyu...mzee ana akili nyingi sana huyu. uzuri wake ni mkweli na ana uwezo wa kusema vile ambavyo republican wengi hawapendi kuvisikia,alitakiwa awe democrat huyu mtu sijui anafanya nini huko kwa mabwenyenye!
 
In the state of Nature..human beings were absolutely free, ila sheria ziliingizwa na state ili kudefend natural justice, tatizo ni kwamba calcualate faida ya kutumia hayo madawa ya kulevya na athari zake kwa Nguvu kazi ya Taifa, so it is the problem kwa kuwa itanufaisha united state interest ila itaathiri pia kwa kuwa nguvu kazi itaathirika..cocaine or heroine have never been good to anyone either bhangi so bana for sure i do not support this man..
 
Back
Top Bottom