JICHO LA WAZAWA
Member
- Jan 2, 2013
- 16
- 3
Ukistaajabu ya musa siku zote utaona ya firauni hii ndio hali halisi ilivyojitokeza katika wilaya ya Rombo mara baada ya kamishna wa jeshi la polisi kutoka makao makuu alipofanya ziara wilayani humo.
Baada ya kufanya kazi mbali mbali zilizomleta OCD wa wilaya bwana Majebere aliamua kumpeleka mgeni wake huyo (Isaya Mugulu) kwa wadau mbali mbali huku wadau hao wakiwa sio watu waadilifu kwa maana nyingine ni majambazi na wafanyabiashara haramu pamoja na magendo.
Wananchi walishangazwa na kitendo hicho cha kumuona mhalifu akiwa anaongozana na kiongozi mkubwa na kwenda kununuliwa chakula cha mchana ambacho kiliandliwa katika hoteli moja kule Rongai na majambazi hayo.
Kutokana tukio hilo ambalo kamishna msaidizi wa jeshi la polisi alijua au kutokujua kuwa ameingizwa mkenge kwa kuandaliwa chakula na majambazi kimetangaza neema kwa majambazi hao kuonekana kama miungu watu katika wilaya ya Rombo kuwa wao ni namba nyingine na wasichezewe.
Baadhi ya viongozi na wanachi katika wilaya ya Rombo wamelalamikia kitendo hicho kilichofanywa na OCD kuwa sio cha kiungwana kudhalilisha jeshi la polisi kwa kuwa anawafahau watu wote na hivyo ni kudhalilisha jeshi la polisi mbele ya jamii.
Vitendo vya uhalifu vinaonekana kukithiri kwa kiasi kikubwa ikiwa ni pamoja na unyang'anyi wa mali za watu mf mbao,pikipiki nk pia ubakaji umeshamiri na huku wabakaji wakilindwa na jeshi la polisi katika ngazi ya wilaya.
Jeshi la polisi litume makachero kuchunguza tuhuma hizo zote zina ukweli…..kazi kwenu
Baada ya kufanya kazi mbali mbali zilizomleta OCD wa wilaya bwana Majebere aliamua kumpeleka mgeni wake huyo (Isaya Mugulu) kwa wadau mbali mbali huku wadau hao wakiwa sio watu waadilifu kwa maana nyingine ni majambazi na wafanyabiashara haramu pamoja na magendo.
Wananchi walishangazwa na kitendo hicho cha kumuona mhalifu akiwa anaongozana na kiongozi mkubwa na kwenda kununuliwa chakula cha mchana ambacho kiliandliwa katika hoteli moja kule Rongai na majambazi hayo.
Kutokana tukio hilo ambalo kamishna msaidizi wa jeshi la polisi alijua au kutokujua kuwa ameingizwa mkenge kwa kuandaliwa chakula na majambazi kimetangaza neema kwa majambazi hao kuonekana kama miungu watu katika wilaya ya Rombo kuwa wao ni namba nyingine na wasichezewe.
Baadhi ya viongozi na wanachi katika wilaya ya Rombo wamelalamikia kitendo hicho kilichofanywa na OCD kuwa sio cha kiungwana kudhalilisha jeshi la polisi kwa kuwa anawafahau watu wote na hivyo ni kudhalilisha jeshi la polisi mbele ya jamii.
Vitendo vya uhalifu vinaonekana kukithiri kwa kiasi kikubwa ikiwa ni pamoja na unyang'anyi wa mali za watu mf mbao,pikipiki nk pia ubakaji umeshamiri na huku wabakaji wakilindwa na jeshi la polisi katika ngazi ya wilaya.
Jeshi la polisi litume makachero kuchunguza tuhuma hizo zote zina ukweli…..kazi kwenu