katika mawazo yako ni watu wangapi ndani ya TANZANIA hii wenye uwezo wakufanya hayo ?na kwanini tusijaribu mambo ambayo yamo katikamazingira yetu katika kufurahiya mambo kama hayo baada ya kufuata wazungu ambao wametuwacha miaka elfu ishirini nyuma tuangalie hali ya kipato cha waliowengi maisha tunayoishi tungeweza kuja na marifa kama vile kusema zikifika siku kama hizo muhimu msheherekee ndani ya famili kwa chakula kizuri kununuliana zawadi kadri ya uwezo wenu unavyokupeni lakini leo cha kusikitisha unakuta watu wengi hapa Tz wanataka kufanya yale ambayo wazungu wanafanya kuna asari zake mbele tuendapo leo unasikia Tz nao wanasheherekea halowini mapya hayo sasa
Kwa kifupi mdekeze ili umuonyeshe kwamba you care about her. Siku moja moja kama pochi linaruhusu (weekend) mwende kula nje wanawake wengi hupendelea dinner katika mahoteli mazuri lakini ambayo bei zake ni poa. Pia ukumbuke kununua Valentine card (February 14 siku ya wapendanao) na siku zake za kuzaliwa na pia siku za anniversary zenu na kama ikiwezekana mkaenda kusherehekea kwa kula nje. Ni vitu vidogo vidogo ambavyo havihitaji kuvunja bank ili uweze kumudu gharama zake.
katika mawazo yako ni watu wangapi ndani ya TANZANIA hii wenye uwezo wakufanya hayo ?na kwanini tusijaribu mambo ambayo yamo katikamazingira yetu katika kufurahiya mambo kama hayo baada ya kufuata wazungu ambao wametuwacha miaka elfu ishirini nyuma tuangalie hali ya kipato cha waliowengi maisha tunayoishi tungeweza kuja na marifa kama vile kusema zikifika siku kama hizo muhimu msheherekee ndani ya famili kwa chakula kizuri kununuliana zawadi kadri ya uwezo wenu unavyokupeni lakini leo cha kusikitisha unakuta watu wengi hapa Tz wanataka kufanya yale ambayo wazungu wanafanya kuna asari zake mbele tuendapo leo unasikia Tz nao wanasheherekea halowini mapya hayo sasa
Za leo wakuu, napenda kuuliza ni mambo gani yatakanayo kufanywa na mwanume ili kuwa romantic kwa mwenzake. Noambeni ushauri maana hili swala limekuwa tatizo sana kwenye uhusiano wangu na wife. Asanteni
Uchumi uwe poa,uwe una nyumba,usafiri,na ujipende mwenyewe kimavazi yawe simple lakini yakukutambulisha kuwa umepevuka,kujiamini,mlevi kiasi,uwezo wa kupafomu yale mambo n.k;hapo watakufuata mpaka uchanganikiwe.