Romania yaomba radhi baada ya Balozi wake kutoa kauli za kibaguzi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Romania imemrejesha nyumbani Balozi wake Nchini Kenya, Dragos Tigau kutokana na kauli ya kuwafananisha Wanadiplomasia wa Afrika na nyani.

Kauli hiyo aliitoa wakati akiwa katika kikao na Mabalozi wa Afrika hali ambayo ilisababisha Wanadiplomasia kutaka kutoka nje ya ukumbi.

Inadaiwa wakiwa katika kikao hicho kulitokea kundi la nyani pembeni ndipo Tigau akatamka
“Kundi lingine la Waafrika limejiunga nasi.”

Tigau aliandika barua kadhaa za kuomba radhi na kudai kuwa hana kawaida ya ubaguzi na alitoa kauli hiyo kama sehemu ya utani.

Romania apologizes and recalls ambassador who compared a monkey to African diplomats

Romania is recalling its ambassador to Kenya back to Bucharest and has apologized after its envoy in Nairobi compared a monkey to African diplomats during a meeting he was chairing.

“The African Group has joined us,” Ambassador Dragos Tigau said when a monkey appeared at a window in the conference room, according to the letter demanding an apology seen by CNN.

Confidential documents obtained by CNN reveal outrage from African diplomats who threatened to walk out of meetings attended by the ambassador.

“The African Group would like to condemn in strongest terms possible the insulting, racist and degrading utterances,” wrote Chol Ajongo, South Sudan’s ambassador to Kenya who leads African diplomats in Nairobi.

Another document said that the deputy Russian ambassador “reprimanded” the Romanian official for the remarks who apologized “after some hesitation.”

Two apology letters were sent by Tigau to African diplomats four days apart. Tigau initially said that his comments came during “a long, heated and highly debated meeting” and were an attempt at “relaxing the atmosphere.” He later withdrew that section.

CNN has approached Tigau for comment but has not heard back.

World
Live TV
Romania apologizes and recalls ambassador who compared a monkey to African diplomats
By Larry Madowo and Heather Chen, CNN
Updated 7:07 AM EDT, Sun June 11, 2023
Romanian Ambassador to Kenya Dragos Tigau at a press conference in Nairobi on March 3, 2022.
Romanian Ambassador to Kenya Dragos Tigau at a press conference in Nairobi on March 3, 2022.
Yasuyoshi Chiba/AFP/Getty Images
CNN

Romania is recalling its ambassador to Kenya back to Bucharest and has apologized after its envoy in Nairobi compared a monkey to African diplomats during a meeting he was chairing.

“The African Group has joined us,” Ambassador Dragos Tigau said when a monkey appeared at a window in the conference room, according to the letter demanding an apology seen by CNN.


Ad feedback
Confidential documents obtained by CNN reveal outrage from African diplomats who threatened to walk out of meetings attended by the ambassador.

“The African Group would like to condemn in strongest terms possible the insulting, racist and degrading utterances,” wrote Chol Ajongo, South Sudan’s ambassador to Kenya who leads African diplomats in Nairobi.

Another document said that the deputy Russian ambassador “reprimanded” the Romanian official for the remarks who apologized “after some hesitation.”

Two apology letters were sent by Tigau to African diplomats four days apart. Tigau initially said that his comments came during “a long, heated and highly debated meeting” and were an attempt at “relaxing the atmosphere.” He later withdrew that section.

CNN has approached Tigau for comment but has not heard back.

A European diplomatic source close to the Ambassador told CNN that the Romanian ambassador “doesn’t have any racist inclinations” and meant the comment as a joke.

He spoke on condition of anonymity, adding that “if a bird, a lizard, or a snake came out, I’m sure he would have said the same thing,” the source claimed.

Romania’s foreign ministry said that it only learned of the incident on June 8, even though it had taken place at the end of April.

A statement from the Romanian foreign ministry said that it hoped the isolated incident would not affect its “deep relations” with African countries.

“The Romanian MFA deeply regrets this situation, conveys its apologies to all those affected and strongly rejects and condemns all behaviors and attitudes incompatible with mutual respect,” the statement read.

Source: CNN
 
Hulka yetu ndio inafanya tufananishwe na nyani, eti bara lina kila kitu na ndio bara tajiri kushinda mabara yote duniani lakini ndio watu wake ni fukara sana duniani..!! What an irony.

Watu wamekalia ufisadi tu na watawala wanaopenda kutawala milele na bila kupingwa huku nchi nyingine wananchi wakikimbizana na mwenge bila kujua mantiki yake nini sasa kwa nini usifananishwe na nyani.
 
Ingekuwa amesema Muarab au kiongozi wa nchi za kiarabu huu uzi ungekuwa page ya 10 huku kejeli na matusi na kauli za chuki zingejaa pamoja na Uislamu kuhusishwa.

Inasikitisha sana ..
 
Ingekuwa amesema Muarab au kiongozi wa nchi za kiarabu huu uzi ungekuwa page ya 10 huku kejeli na matusi na kauli za chuki zingejaa pamoja na Uislamu kuhusishwa.

Inasikitisha sana ..

Kweli kabisa..watu wanachuki na uislam tena chuki ambazo hawaezi kuzificha.utazani uislam ni adui kwao
 
Ingekuwa amesema Muarab au kiongozi wa nchi za kiarabu huu uzi ungekuwa page ya 10 huku kejeli na matusi na kauli za chuki zingejaa pamoja na Uislamu kuhusishwa.

Inasikitisha sana ..
Uwongo!!Hata mtume aliwai wachana makavu watu weusi ila hakuna alie-react na bado tunaslimu kila uchao.
Nasimama na huyo balozi wa Romani.
 
Kweli kabisa..watu wanachuki na uislam tena chuki ambazo hawaezi kuzificha.utazani uislam ni adui kwao
Tena kubwa baadhi zimedhihirika na zilizomo vifuani mwao ni kubwa zaidi.
 
Afrika tunafelishwa na huu upumbavu unaoitwa democrasia.
Tukija kustuka tumebaki uchi!
 
Back
Top Bottom