Roho imeniuma sana

Chukua hata king'amuzi kafike Bei na masela upate nauli na usigeuke Tena nyuma..chaaaa
 
Bado anaendelea kutahini ahitimishe kama kweli unampenda!

Vumilia kidogo!

Steve Jobs - Giant Of Technology.
 
Lol lol pole. Ungeuza kitu chake chochote humo ndani.
 
Reactions: BAK
Kumbe bado tuna watunzi wazuri wa riwaya, mimi nilifikiri baada ya A .E Musiba na F.H.H Katallambula kutangulia mbele ya haki tusingepata watunzi wengine wenye vipaji...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hyo kakutafuna papuxhi yako weeeH... kaondoka, kakuacha kappa...
 
Yaani huyu nafkiri ni mmoja kati ya wale ambao wanafanya mambo ya kijinga for their ladies then tunaonekana wanaume wote tuko na negative mind.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…