Roho imeniuma sana

Yaani mwanaume nae hajiongezi? Kaona mpenzi kaja bila hata mkoba nae haulizi nauli unayo mpenzi?
Hawana mawasiliano mazuri hawa watu. Mpenzi wako hupaswi kuwa na doubt kama una tagizo. Alivyorudi kuchukua jero angemuambia sina nauli na naondoka sahivi. Huyo mwanaume naye kiboko
 
Duuh!!haha huyo ametisha,yani hadi kairudia jero
 
Hahahahahh
Nimecheka sana hapa kama mazuri eti

Polee asee
Nadhani huu ni utaratibu mzuri huenda wiki ijayo nikaku surprise na hii..
Nia ni kukupima tu kama unanizimikia kweli au la
 
Duh imagine nguvu aliotumia kufuata 500/-...! Huyo jamaa inabidi apimwe mkojo haraka sana!
 
Bado anakupima stukaaaa

_ where ever you are remember me_
 
Naomba jina lake tumfute kwenye chama cha wanaume! Hafai hata kidogo....
 
Maswali yakujiuliza
1; unasema ulikulupuka hukubeba mkoba, je hiyo nauli yakufika had kwa mpenzi wako ilikuwa mkononi?
2; kama jibu ni hapana it means ulichkua kweny mkoba if yes kwanin uliamua kuchomoa sijui "jero" zingine ukaacha! Kwan zingne zilikuwa na uzito gani kubeba?.
Smtymz nyie wanawake msimame hata kwa miguu ynu, had naul ya daladala unatgmea ukarudshiwe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah haha, hii kiboko ya yote
 
Acha ubinafisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka kuna mpuuzi mmoja manzi wa kinondoni mwaka 2012, siku hyo boom lilikuwa limetoka nkachomoka na 70,000/= mpka masai baada ya kulewa ndo nkamwita akaja akaomba kunishikia simu na pesa ilobaki, nikampatia baada ya muda akapotea mbaya zaidi sikuwa nafaham alipokuwa anaishi, sitosahau kiukweli, nilipiga mguu kutoka kinondoni mpka upanga.
Alinikomesha sitokuja kusahau nakumbuka nilikuwa nmemega twice, nilimtafuta baada ya kununua simu nyingine akanikana hanijui. Post ya jamaa wa 37000/= MGIBEON imenikumbusha tukio hilo.
 
mama Pita pole sana,
inaonesha unamjali sana mpenzi wako lakini yeye kama upendo wake uko mbali hivi juu yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…