Roho imeniuma sana

Mama ushauri
 
Mama ushauri
 
sasa unasubiri nini wewe mama pita zako hivi, unakaaje na mwanaume wa aina hiyo wakati wanaume waelewa tupo? shida yenu mnatuogopa sie tulio oa lakini jueni kuwa sisi ndo tunajua kulea. sasa kama alishindwa kukuachia nauli je chai na chakula cha mchana aliacha? jamaa alivyo boya usikute kakutomba uskiku kucha kisha kaondoka asubuhi, dawa ya meno imekwisha na wala mswaki wa akiba hakuna, sabuni ya kuogea hakuna wala hajakuachia, maji ya kuoga hakuna unatakiwa ukanunue mtaa wa pili na wewe ndo huna hata sh tano. Alafu ulivyo jinga baada ya siku mbili utasahau kisha anakuita tena anakumbato unaondoka na mishahawa yako mpaka kwako kwa mguu. PAMBAF SANA.
 
Haha inawezekana anaendelea kukupima bado kama unampenda kweli au unapenda pochi yake.ila jamaa kiboko ata jero kairudia duh.Baba j legeza kidogo baba
 

Aiseeh pole sana mkuu
 
Asubuhi ulimkumbusha?? Maana communication ndio kila kitu. Ungemwambia halafu akaushe ndo useme. Next time ukimfuata mtu ambaye sio mume wako wa ndoa hakikisha una nauli.
Madam Mwajuma jamani embu muelewe mama pita mbona asubuhi alimkumbusha jamaa akasema poa ahahahaaaaaa huku akajikausha,
Mie nadhani mama pita kaumia kwa mengi ila hajataka kuelezea vizuri tuu
mama pita embu tuambie game ya jamaa yako alikuwa vizuri kweli???? Au ndio alikusumbua tuu??
Maana hapo nahis kuna kilichokuumiza tofauti na kutokupewa nauli.
 
That is not a man let her quite soon.
 


hahaha hela kwa nyonyo !kumbe bado ipo hii ! wewe mama pita si umteme tu huyo jamaa! mie mwanamum mbinafs jaman kwangu nasema kila siku sio mwanamume !yaana anajijali yeye tu ! shoga mteme! usikubali kuolewa nae! tena mkimbie fast! na utafte kipato chako mtaheshimiana ! POLE SANA
 
Ndiyo tatizo la kudate na wanaume sarawili. Pole.
 
Huyo alkuwa hataki uondoke ili akukute tena, anyway inawezekana Kweli hakuwa na hela, that's why akakumbuka hata 500 kairudia.
 
mmh kuna kitu hujatuweka wazi, emu tuambie usiku ulimpa papuchi au mlilala tu na nguo zenu? kama ulimbania basi inawezekana ndo maana na yeye kakukazia.. ila kwa issue ya kulirudia Jero hapo jamaa kavunja rekodi
 
Sasa mama pita unakosaje hata nauli ???kama unahela home siungechukua hata bajaji au pkpk ukaenda kumpa hela home???ujue sisi mda nwingine tunajua huwa hamwezi kukosa hata nauli .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marioo at work.

Yaani umeitwa kwa mpenzi anaumwa halafu hukubeba hata pesa ya dharura endapo atazidiwa!!

Fine, umemkuya haumwi ila kaamua kukuonyesha upendo njia hiyo aliyotumia yeye!!

Na nauli unataka upewe pia???!! Ulikula bure, ukaoga bure, tv ukatumia bure,ukalala bure, papuchi bure, n.k.

Na naul pia upewe, huo umario sio wa nchi hii.....umetuzalilisha wanaume wenzip mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…