Kwani anamkopa kila siku jamani?Unaona sasa badala milembe tumpeleke uyo kaka aliekopa k akakimbia unipeleke Mimi niliemzimanaisi huyu jamaa kakuambukiza uchiz sasa tukupeleke
Sent using Jamii Forums mobile app
Weweee...nimekushindwa tabia..mtizame kwanza.
Mimi ndio Simba halafu ww Swala sio?
Sasa sikuiyo jamaa hakuwa nayo Na mapenz ya sasa yakidigital toa kitu upate kitu kaka Wa watu kalaaaa kashiba asubuhi kasepa ila sio kosa lake sianajua yakwakeKwani anamkopa kila siku jamani?
Eti ya kwake...Sasa sikuiyo jamaa hakuwa nayo Na mapenz ya sasa yakidigital toa kitu upate kitu kaka Wa watu kalaaaa kashiba asubuhi kasepa ila sio kosa lake sianajua yakwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi simba wewe swala sindomaana ukasema umenishindwaMimi ndio Simba halafu ww Swala sio?
Sasa niyakwake simtu wake chake cha mwenzie Na cha mwenzie chakeEti ya kwake...
Bibie eeh kwani alikwambia anauza?Sasa niyakwake simtu wake chake cha mwenzie Na cha mwenzie chakeila niulize kaleta huku kwakuwa hajalipwa hivi Dada ungelipwa ungeleta hii mada huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua wewe Kazi yako kutimua mbio tu Mimi simba sina haraka nawewe nakunyemelea taratibu ila nikianza mbio lazima ushindwe pamoja Mimi simba mnene wewe swala mwembambaSasa tangu lini Swala akamuwinda Simba hadi amshinde.
Kwahiyo unataka unikule?Unajua wewe Kazi yako kutimua mbio tu Mimi simba sina haraka nawewe nakunyemelea taratibu ila nikianza mbio lazima ushindwe pamoja Mimi simba mnene wewe swala mwembamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajasema ila hiyo siri ya chumbani Jamani mbona kagegedwa vizuri hasemi aogopa ataibiwa ila kwenye Mkopo kaongea maana anajua wengi wapo kimaslahi ila kiukweli hizi mambo ya utandawazi umetuharibuBibie eeh kwani alikwambia anauza?
Kwahiyo unataka unikule?
Hajasema ila hiyo siri ya chumbani Jamani mbona kagegedwa vizuri hasemi aogopa ataibiwa ila kwenye Mkopo kaongea maana anajua wengi wapo kimaslahi ila kiukweli hizi mambo ya utandawazi umetuharibu
Sent using Jamii Forums mobile app
A relax wakati anaugulia maumivu ya Mkopo,Na naniliuHebu muache Mama Pita arelax
sasa unazani chakula cha simba ni nini yaani hapo pigia mstari nataka nikutafune
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkopo nimeshamlipia