Si aseme hana ili bibie ajue atafanya nini!!! Mpenzi wako unashindwa kumueleza kuwa huna!!!!
Ameeeeeeeeeen!Yaani kama mwanaume huna hata pesa ya nauli kumpa mwanamke bora hata usiwe na mpenzi.
Yaani aanze kujiandaa kisaikolojia.
Sidhani kama kasema yeye ni tegemezi, ameongelea mazingira yaliyopelekea hilo limkute, hapa huyu mwanaume sio wa kutetewa bwana. Kwanza kadanganya anaumwa kumbe walaa haumwi. Kaombwa nauli hajajibu kama atatoa au laa.
Hivi mtu wa hivyo siku nyingine akikwambia anaumwa si unampa pole tu na kuendelea na shughuli zako!!
The thing here ni kuwa binti alimjali, kakurupuka akawahi, ila kumbe anawahi uongo ila kwa upande wa mwanaume inaonekani ni mtu asiemjali mwenzake. Hofu sana mwanaume ambae hakujali kipindi cha uchumba, jiandae hivyo hivyo hata kwenhe ndoa.
Hizo ni dharau, akufukuzae hakwambii toka. Ajiongeze tu.To make it worse katumiwa ujumbe mfupi na binti kwamba sina nauli kakaaa kimya hajajibu. Sasa huyu utasema hana au ni dharau tu. Doris Gabriel
Hizo ni dharau, akufukuzae hakwambii toka. Ajiongeze tu.
Nikweli kutokujibu nayo haileti picha nzuri ila labda hakuwa nayo akaona aibu kujibu akaona akae kimyaTo make it worse katumiwa ujumbe mfupi na binti kwamba sina nauli kakaaa kimya hajajibu. Sasa huyu utasema hana au ni dharau tu. Doris Gabriel
Doris, we unaona aibu kumwambia mpenzi wako kwamba sina pesa? Au niko vibaya subiri nikutafutie!!Nikweli kutokujibu nayo haileti picha nzuri ila labda hakuwa nayo akaona aibu kujibu akaona akae kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Doris, we unaona aibu kumwambia mpenzi wako kwamba sina pesa? Au niko vibaya subiri nikutafutie!!
Kukaa kimya ni dharau ya hali ya juu.
Really, that guy is a clown.
Mzigo kala Jamani Dada wawatu kashughulika ipasavyo asubuhi hajapewa kiinua mgongoReally, that guy is a clown.
Hahaha hebu kwenda hukoo.Mzigo kala Jamani Dada wawatu kashughulika ipasavyo asubuhi hajapewa kiinua mgongoila uyo kaka kama mhindi maana ukifanya Kazi kwa hawa wahindi kulipa inshu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hebu kwenda hukoo.
Hahaha pole, angalia tu nisikupeleke Mirembe.
Unaona sasa badala milembe tumpeleke uyo kaka aliekopa k akakimbia unipeleke Mimi niliemzimaHahaha pole, angalia tu nisikupeleke Mirembe.
Weweee...nimekushindwa tabia..mtizame kwanza.Wanaume Mungu anawaona huko chini bonde laufa kunawaka moto ata ya panodol Jamanikhaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app