1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 450
- 1,789
Mara baada ya mchezo wa leo kuisha kwa sare ya bao 1 1, nimekaa chumbani kwa dakika 30 nikimfanyia assessment kocha Robertinho kwa kile nilichokiona leo pale uwanjani Misri.
Kuna baadhi ya wachezaji ambao mashabiki wa Simba waliojifunza mpira miaka ya 2010 hadi sasa hawawakubali kabisa na hawako tayari kuwakubali lakini huwezi amini Robertinho ametia pamba masikioni na anawatumia wachezaji hao na kiukweli wanamsaidia sana, yaani wachezaji ambao sisi mashabiki tunawaona ni mzigo yeye Robertinho anawaona ni asset.
Mechi ya leo wengi hawakufurahishwa kuona Bocco akianza, lakini master Robertinho anamuona Bocco ni mzuri kiufundi kuliko Phiri, Baleke, Chilunda.Bocco anaonekana ana msaada sana kwa Robertinho kuliko tunavyofikiri sisi, wanasimba tumelalamika weeee lakini Robertinho ametuambia hapana, Bocco ni the best.
Wachezaji kama Esomba Onana sisi tunamuona sio mchezaji mzuri lakn Robertinho anamuona ni mtu hatari sana mcameroon huyo, Onana yuko kwenye majaribu tu lakini kiukweli ni mchezaji mzuri na style yake haitobadilika, wana Simba msimzomee Onana, ni mchezaji anayeaminiwa na Robertinho na ndio maana hajawahi kukaa benchi, asipoanza ataingia kipindi cha 2.Huyo ndio Esomba Onana.
Wachezaji kama Kibu Dennis, Saido, Mzamiru nao wanalalamikiwa sana lakini Robertinho ndio anajua uzuri wao, kwa kweli kocha huyu nimemvulia kofta kuanzia leo.
Wachezaji hao ndio wamepambana na kuiletea heshima Simba leo ingawa tumeondolewa kwa sheria ya bao la ugenini, tunawabeza akina akina Kapombe, Shabalala lakini ndio hao leo wamemweka katika wakati mgumu sana kocha wa Al Ahly.
Wana Simba tuheshimu taaluma za watu, sio kila anajua kufundisha mpira jamani, kumkabili mwarabu kwao kwa dakika 100 halafu matokeo ni 1 1 sio jambo dogo, kazi kubwa imefanyika.
Kuna baadhi ya wachezaji ambao mashabiki wa Simba waliojifunza mpira miaka ya 2010 hadi sasa hawawakubali kabisa na hawako tayari kuwakubali lakini huwezi amini Robertinho ametia pamba masikioni na anawatumia wachezaji hao na kiukweli wanamsaidia sana, yaani wachezaji ambao sisi mashabiki tunawaona ni mzigo yeye Robertinho anawaona ni asset.
Mechi ya leo wengi hawakufurahishwa kuona Bocco akianza, lakini master Robertinho anamuona Bocco ni mzuri kiufundi kuliko Phiri, Baleke, Chilunda.Bocco anaonekana ana msaada sana kwa Robertinho kuliko tunavyofikiri sisi, wanasimba tumelalamika weeee lakini Robertinho ametuambia hapana, Bocco ni the best.
Wachezaji kama Esomba Onana sisi tunamuona sio mchezaji mzuri lakn Robertinho anamuona ni mtu hatari sana mcameroon huyo, Onana yuko kwenye majaribu tu lakini kiukweli ni mchezaji mzuri na style yake haitobadilika, wana Simba msimzomee Onana, ni mchezaji anayeaminiwa na Robertinho na ndio maana hajawahi kukaa benchi, asipoanza ataingia kipindi cha 2.Huyo ndio Esomba Onana.
Wachezaji kama Kibu Dennis, Saido, Mzamiru nao wanalalamikiwa sana lakini Robertinho ndio anajua uzuri wao, kwa kweli kocha huyu nimemvulia kofta kuanzia leo.
Wachezaji hao ndio wamepambana na kuiletea heshima Simba leo ingawa tumeondolewa kwa sheria ya bao la ugenini, tunawabeza akina akina Kapombe, Shabalala lakini ndio hao leo wamemweka katika wakati mgumu sana kocha wa Al Ahly.
Wana Simba tuheshimu taaluma za watu, sio kila anajua kufundisha mpira jamani, kumkabili mwarabu kwao kwa dakika 100 halafu matokeo ni 1 1 sio jambo dogo, kazi kubwa imefanyika.