Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam na Sheikh Ponda ndio watakaomuangusha Lissu

Wewe hujui siasa za tz,! Ndio maana ccm itaendelea kutawala.

Lisu sijui hana washauri, kaenda Zanzibar alafu anatamka eti sisi chadema hatuna maslahi na Zanzibar. Kiufupi Lisu hajui siasa ya tz ili uungwe mkono wakupe urais unapaswa kuwaje.
Lisu mjinga halafu hajui hajui kutafuta kura na hajielewi.Hevu fikiria yeye ni.mgombea wa uraisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania hivi kura za wapenda muungano si atazikosa mchana kweupe jua linawaka tarehe 28 October

Muungano hautaki sasa uraisi wa muungano aligombea wa mini

Mimi na wapenda muungano hatutampa kura sababu una manufaa kwangu na wako wazanzibari kibao wanafaidi bars kama wafanyabiashara ,wafanyakazi sekta ya umma na binafsi bara ,wanamiliki ardhi na uvuvi nk wabara wanauza vyakula Zanzibar wanafanya biashara na Zanzibar tutamuonyesha cha mtema kuni Lisu anataka kutupa kitumbua chetu kwenye mchanga

Azam mpemba katajirikia bara sababu ya muungano halafu eti Lisu mpinga muungano anasema oohh Azam TV hawarushi hewani mikutano yangu!!!! Unataka kuharibu business za watu kwa kuvunja muungano halafu unataka wakuchekee na kukurusha hewani kisa umeungana na akina seif wanasiasa ambao hawajawahi uza hata kifaranga kwenye muungano wao huishi tu kwa porojo za midomoni za kisiasa
 
  • Thanks
Reactions: len
Yani kabisa wewe ni Muafrika na unapiganiwa na beberu ili uwe Rais? Utapingwa na Waafrika wote popote duniani walipo. Hivi mnaona hata wale diaspora aliokuwa anawahutubia Lisu akiwa Ulaya wanaonekana sasa hivi? Wameona huyu jamaa hana nia njema kabisa na tz.

Kitendo cha Amsterdam kuingilia mambo ya ndani ya tz tena nyeti kama uchaguzi ili tu kumsapoti Lisu kuna watu wengi sana wameahirisha kumpigia kura Lisu. Watanzania siyo wajinga linapokuja suala la maslahi ya taifa letu, nafikiri manakumbuka sapot aliyokuwa anapata Magu wakati wa janga la corona aliooamua kupambana jino kwa jino na wakenya kupitia wakuu wa mikoa.

Watu wanajiuliza Lisu atatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam kwenye hii kazi yake aliyompa?

Ponda hawezi kusimama kwenye mkutano wa Lisu na kusema waislamu tumpigie kura Lissu na Lissu nae kuchekelea kama zuzu!
Je, Lissu amejiuliza maamuzi ya wakristo kufuatia matamshi hayo ya Ponda kwenye mikutano yake.

#magu 5 tena.
Unajidanganya Lisu anao wafuasi wengi kuliko unavyofikiri,naatashinda huu uchaguzi japo mtamtangaza kwa mbinde
 
Sasa kama huelewi madhara ya Ponda kupanda jukwaani kwa Lisu na kusema waislamu wampe kura Lisu basi subiri naada ya jumatano ujionee kimbunga
La kwenu limevaa kanzu Dodoma linajaribu kusawazisha kwa kuzindua msikiti lkn ameshachelewa ponda kashamnyea
 
Yani kabisa wewe ni Muafrika na unapiganiwa na beberu ili uwe Rais? Utapingwa na Waafrika wote popote duniani walipo. Hivi mnaona hata wale diaspora aliokuwa anawahutubia Lisu akiwa Ulaya wanaonekana sasa hivi? Wameona huyu jamaa hana nia njema kabisa na tz.

Kitendo cha Amsterdam kuingilia mambo ya ndani ya tz tena nyeti kama uchaguzi ili tu kumsapoti Lisu kuna watu wengi sana wameahirisha kumpigia kura Lisu. Watanzania siyo wajinga linapokuja suala la maslahi ya taifa letu, nafikiri manakumbuka sapot aliyokuwa anapata Magu wakati wa janga la corona aliooamua kupambana jino kwa jino na wakenya kupitia wakuu wa mikoa.

Watu wanajiuliza Lisu atatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam kwenye hii kazi yake aliyompa?

Ponda hawezi kusimama kwenye mkutano wa Lisu na kusema waislamu tumpigie kura Lissu na Lissu nae kuchekelea kama zuzu!
Je, Lissu amejiuliza maamuzi ya wakristo kufuatia matamshi hayo ya Ponda kwenye mikutano yake.

#magu 5 tena.
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu unyanyasaji uonevu wa CCM kwa wapinzani ndipo CCM huwageuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
 
Anaekamilisha ratiba ni magufuli anaejiandaa kustaafu mwishoni mwa wiki hii na kurudi kijijini kwake Chato!
Huo ni ukweli tarehe 28 Nchi unaenda kupata uhuru upya na ndipo utawala wa haki utaingia ikulu na kurejesha Amani ya Tanzania ambayo ilitoweka ndani ya miaka mitano
 
Yani kabisa wewe ni Muafrika na unapiganiwa na beberu ili uwe Rais? Utapingwa na Waafrika wote popote duniani walipo. Hivi mnaona hata wale diaspora aliokuwa anawahutubia Lisu akiwa Ulaya wanaonekana sasa hivi? Wameona huyu jamaa hana nia njema kabisa na tz.

Kitendo cha Amsterdam kuingilia mambo ya ndani ya tz tena nyeti kama uchaguzi ili tu kumsapoti Lisu kuna watu wengi sana wameahirisha kumpigia kura Lisu. Watanzania siyo wajinga linapokuja suala la maslahi ya taifa letu, nafikiri manakumbuka sapot aliyokuwa anapata Magu wakati wa janga la corona aliooamua kupambana jino kwa jino na wakenya kupitia wakuu wa mikoa.

Watu wanajiuliza Lisu atatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam kwenye hii kazi yake aliyompa?

Ponda hawezi kusimama kwenye mkutano wa Lisu na kusema waislamu tumpigie kura Lissu na Lissu nae kuchekelea kama zuzu!
Je, Lissu amejiuliza maamuzi ya wakristo kufuatia matamshi hayo ya Ponda kwenye mikutano yake.

#magu 5 tena.
Mbona hamjadili kupigwa risasi na hakuna uchunguzi wowote,mbona hamsemi
 
Yani kabisa wewe ni Muafrika na unapiganiwa na beberu ili uwe Rais? Utapingwa na Waafrika wote popote duniani walipo. Hivi mnaona hata wale diaspora aliokuwa anawahutubia Lisu akiwa Ulaya wanaonekana sasa hivi? Wameona huyu jamaa hana nia njema kabisa na tz.

Kitendo cha Amsterdam kuingilia mambo ya ndani ya tz tena nyeti kama uchaguzi ili tu kumsapoti Lisu kuna watu wengi sana wameahirisha kumpigia kura Lisu. Watanzania siyo wajinga linapokuja suala la maslahi ya taifa letu, nafikiri manakumbuka sapot aliyokuwa anapata Magu wakati wa janga la corona aliooamua kupambana jino kwa jino na wakenya kupitia wakuu wa mikoa.

Watu wanajiuliza Lisu atatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam kwenye hii kazi yake aliyompa?

Ponda hawezi kusimama kwenye mkutano wa Lisu na kusema waislamu tumpigie kura Lissu na Lissu nae kuchekelea kama zuzu!
Je, Lissu amejiuliza maamuzi ya wakristo kufuatia matamshi hayo ya Ponda kwenye mikutano yake.

#magu 5 tena.
Chadema wasipojitathmini wanaelekea kuwa kikundi cha kigaidi
 
Vitu vitakavyomnyima kura Lisu ni vifuatavyo
1.kupinga ununuzi wa ndege huko kutamkoseha kura nyingi mno kanda ya ziwa ambako ndege ndio tegemeo lao kuu kwa ajili ya kusafirisha samaki wao waqnaowavua ziwani na wengi hutumia usafiri huo pia mikoa ya ZanzibaR,Kilimanjaro,Arusha na Manyara ndege kwao huziona za muhimu mno saba ndizo huwaletea watalii kila siku

Mbeya pia kupinga ununuzi wa ndege kutamgharimu sababu uchumi umeanza kufunguka kupitia watalii wanaotua kule kwenda mbuga za wanyama zilizoko nyanda za juu kusini na pia usafirishaji wa abiria na mizigo ya kibiashara na kilimo kutoka NA KWENDA nchi za SADCC

Dar es salaam ndio baba lao kwenye mambo ya ndege kuzipinga kutamgharimu mno uchaguzi huu Dar wanafahamu umuhimu wa ndege kuliko mkoa wowote Tanzania

2.Atakosa kura kwa wakatoliki walio wengi sababu kwao Magufuli ndio yuko karibu nao kuliko yeye Lisu.Magufuli ana mahusiano ya karibu na viongozi wakongwe wakubwa wa kanisa katoliki wanaolijua kanisa in and out.Lisu yuko mbali sana na kanisa hata jina lake la ubatizo alilikana akajipa jina la kienyeji la Tundu.Kawaida wakatoliki mtoto akizaliwa hubatizwa kwa kupewa jina la mtakatifu ,Kwa kulikana jina la mtakatifu na kujipa jina la Tundu alikosa neema na ulinzi wa mtakatifu husika kwa imani ya katoliki ndio maana unakuta anaitwa TUNDU na ana MA TUNDU ya risasi mwilini.Wakatoliki jina ni kitu kikubwa hasa la kwanza.Toka dunia iumbwe hakujawahi tokea mtakatifu anaitwa TUNDU
Ununuzi wa Ndege una ufisadi mkubwa wa kutisha mno, kuna 10% za wajanja wachache na bei halisi ya Ndege ni tofauti na bei wanayoisema wao, hiyo mifano yako kwenye Dini kwenye utakatifu ni mifano ya kibwege ni mifano ya mtu aliyefirisika kifikira
 
Kwani wale mercenaries wa Kirundi na kinyarwanda waliokodiwa wanalipwa na nan.. Mzungu akiwa na mafisiem n mdau wa maendeleo lkn akiwa na wengine Beberu
Lisu yeye mabilioni ya kumpa Amsterdam atayatoa wapi?

Hivi kila mgombea akiweka mtu wake kutoka nje awe anampigania patakuwa na taifa tena?

Lisu kashafeli
 
Ponda hujui nguvu aliyonayo kwa waislamu, sisi waislam ndio tunajua kwa nini Ponda anasema tumpigie kura Lissu. Maadam Shekhe Ponda kasema nanikiongozi wetu basi tutatekeleza.

Kama huamini subiri uone maeneo yenye waislam wengi kama Magufuli atachomoka, nasababu nikuwa tunamsikiliza kiongozi wetu Shekhe Ponda. Hata wanaccm lilia kama Pohamba watampigia kura Lissu, kwa maana watamsikiliza kiongozi wetu Shekhe Ponda.
Kwaiyo Ponda atakua Waziri wa waislamu au?
 
Mufti, sheikh wa dar na pengo ndio watakaomuangusha dikteta Magufuli
 
Yani kabisa wewe ni Muafrika na unapiganiwa na beberu ili uwe Rais? Utapingwa na Waafrika wote popote duniani walipo. Hivi mnaona hata wale diaspora aliokuwa anawahutubia Lisu akiwa Ulaya wanaonekana sasa hivi? Wameona huyu jamaa hana nia njema kabisa na tz.
Propaganda za kijinga kabisa. Mbona hamsemi ushirikiano uliopo kati ya ccm na kile chama cha kisoshalisti cha china ? Mbona hamsemi yale mafunzo ambayo ccm inapeleka vijana kufunzwa na hicho chama cha china ?
 
Hata mkikataa kujadili ukweli unabakia kuwa pale pale, tano tena kwa Magu!
Kumbuka hakuna sheria ya kukutaka kuwa mwerevu, ukiamua kuwa mjinga basi ni maamuzi yako na wala hakuna wa kukuingilia, je wajua kuwa hata Rungwe/Lupumba anawafuasi pamoja na....,Niishie hapa tu

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Yani kabisa wewe ni Muafrika na unapiganiwa na beberu ili uwe Rais? Utapingwa na Waafrika wote popote duniani walipo. Hivi mnaona hata wale diaspora aliokuwa anawahutubia Lisu akiwa Ulaya wanaonekana sasa hivi? Wameona huyu jamaa hana nia njema kabisa na tz.

Kitendo cha Amsterdam kuingilia mambo ya ndani ya tz tena nyeti kama uchaguzi ili tu kumsapoti Lisu kuna watu wengi sana wameahirisha kumpigia kura Lisu. Watanzania siyo wajinga linapokuja suala la maslahi ya taifa letu, nafikiri manakumbuka sapot aliyokuwa anapata Magu wakati wa janga la corona aliooamua kupambana jino kwa jino na wakenya kupitia wakuu wa mikoa.

Watu wanajiuliza Lisu atatoa wapi mabilioni ya kumlipa Amsterdam kwenye hii kazi yake aliyompa?

Ponda hawezi kusimama kwenye mkutano wa Lisu na kusema waislamu tumpigie kura Lissu na Lissu nae kuchekelea kama zuzu!
Je, Lissu amejiuliza maamuzi ya wakristo kufuatia matamshi hayo ya Ponda kwenye mikutano yake.

#magu 5 tena.

Wanamharibia, wewe ndiyo unayemsaidia?

Kama wewe hutaki afanikiwe sasa inahitaji kuwa wanamharibia? Si kwa upande ulioko ni kuwa wanasamdia ili upate unachotaka?

Badilikeni. Watanzania wa leo si hao tena!
 
Back
Top Bottom