Riwaya: Suprise

Riwaya: Suprise

Casuist

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2014
Posts
1,189
Reaction score
2,971
Sehemu ya kwanza

Mazoea kwa kweli ni ugonjwa pamoja nakuwa na kila kitu katika maisha yangu hakuna nilicho kikosa. Nilikuwa na maisha mazuri watoto wangu wote wana maisha mazuri, lakini tabia zangu mbaya ambazo nilishindwa kuziacha ndizo zilizonifikisha hapa.nilitamani dunia ipasuke kwani ilikuwa aibu ya mwaka mbele ya watoto wangu. Pamoja na kufanya za siri lakini leo nimeumbuka mbele ya wanangu, nasema mimi tena basi.

****
Simu iliendelea kulia martin aliacha gazeti na kuichua,alipoangalia namba zilikuwa za mdogo wake anayeishi canada aliipokea
"haloo edna leto story mdogo wangu."
"shikamoo kaka."
"marahaba, za otawa?"
"nzuri, sijuiza huko bongo?"
"za huku safi, mbona kimya?"
"simimi nyie ndiye uliye nisusa."
"tuachane na hayo siku zote upigapo simu huwa una jipya."
"ni kweli kaka"
"ehe lete story."
"kaka ni hivi jana nimempigia asimu mama lakini sikumpata nilitaka nimualifu yeye kwanza ndio niwataalifu nyinyi kaka zangu, vipi na Moses hajambo?"
"mmh! Yule kaka yako mtu wa safari si mnajua kazi za serikali kila kukicha anazunguruka na mheshimiwa."
"basi ina maana hata kwa mama hamjaenda muda mrefu?"
"ni kweli, kwa upande wangu nina mwezi sasa."
"aah! Jamani mama yetu ni mmoja inatakiwa tuwe tunamtembelea hasa nyinyi uliye karibu."
"nikweli, shughuli zimetubana lakini nilipanga wiki ijayo niende kwa bimkubwa."
"sasa ni hivi mimi nilikuwa nipo njiani kuja huko."
"he! Mbona ghafla kuna nini?"
"aah!kaka kuja nyumbani mpaka pawepo na kitu, kwa mama yetu nimuhimu hata kila siku kumuona. Nampenda sana mama yangu na nikiolewanaondoka naye."
"yaani wewe ndiye mwenye mapenzi kulikowatoto wake wote?"
"nyinyi mpo karibu lakini mweziunapita bila kumtembelea bi mkubwa."
"edna tuachane nahayo ulikuwa unasemaje mdogo wangu?"
"ni hivi kakayangu, huku nimepata mchumba ambaye yupo tayari kufunga ndoa namimi."
"hongera, ni raia wa nchi gani?"
"nimkanada mwenye asili ya afrika."
"mmh! Haya, sasaulikuwa unasemaje?"
"tumekubaliana mimi nitanguliekuwajulisha kisha yeye atafuata, sijui kwa hilo mnasemaje kakayangu?"
"siyo baya sasa unakuja lini?"
"wikiijayo."
"itakuwa vizuri maana nina imani tutakutana kwamama."
"basi mjulishe na kaka moses."
"basiunganisha mawasiliano ya watu watatu ili tulizungumze kwapamoja."
edna aliunganmisha mawasiliano ya watu watatuna kuanza kuzungumza na kaka yake moses ambaye anamfuata kwa mara yapili ambaye alikuwa katibu mkuu ofisi ya rais.
"halookaka."
"ooh! Bibi za canada?"
"nzuri tukaka, shikamoo"
"marahaba, naona leo umenikumbuka mdogowangu."
"nitafanya nini na ninyi mmenisusa."
"hapanamdogo wangu kazi za serikali nimenibana ila nitatulia tu."
"hayakaka, za misafara maana nasikia kila alipo rais na weweupo."
"nitafanyaje na mimi nimeichagua hii kazi."
"vipiupo wapi kwa sasa?"
"nipo denmark."
"mmh!"edna aliguna.
"mbona una guna ulikuwa unasemaje?"
ednaanamueleza yote kama aliyomueleza kaka yake mkubwa martin na jinsiwalivyo panga kukutana kwa mama yao wiki ijayo.
"kumbe nihivyo, hakijaharibika kitu mdogo wangu, wiki ijayo nitakuwa tanzaniana nitakuwa na mapumziko marefu ya wiki tatu kwa hiyo safari yakwenda kwa mama tutakuwa pamoja."
"wawooo, itakuwa bongela surprise," edna alifurahishwa na maneno ya kaka yake.
"sasani hivi tusimjulishe mama tumzukie bila yeye kujua akiamka asubuhiatukute mlangoni kwake hiyo unasemaje?"
"si mchezo nibonge la surprise," edna aliunga mkono.
"kwa hiyo wotetukutane kwa bwana mkubwa arusha siku moja kabla ya kwenda kwamama."
walikubaliana wote watatu ambao ni watoto wamama mmoja lakini hawakubahatika kumuona baba yao. Baada ya kuelezwana mama yao kuwa baba yao alimkimbia na kumuachia watoto. Mama yaoambaye aliwalea watoto wake na kufaniwa kuwasomesha iliyo ya juu,ambao baada ya masomo kila mmoja alipata kazi nzuri.
Historia ya maisha ya mama yao iliyowafikisha pale, iliwafanya watotowake wamlee mama yao kama mboni ya macho yao. Kuonesha wanamjali mamayao walimjengea mama yao jumba la kifahari sehemu za mbezi nakumuwekea wafanyazi pamoja na magari ya kutembelea.
Kilammoja alikuwa na hamu ya kukaa na mama yake, lakini aliwakatalia kwakusema kila mtu aishi maisha yake ili mwenye hamu afunge safarikumfuata.
Walikuwa watoto watatu wawili wa kiume na mmojawa kike, wa kiume mmoja alikuwa mfanya biashara mkubwa wa madiniambaye pamoja na elimu yake aliyoipata marekani aliamua kujikitakwenye biashara ya madini na kuweza kumiliki migodi miwili. Biashara ile ilimuingizia pesa sana na kumnfanya kuwa mtumaarufu wenye kutikisa jiji la arusha.
Wa pili yeye nikatibu mkuu ofisi ya rais ambaye na yeye alikuwa na maisha mazuri,alikuwa na majumba na magari ya kifahari na wa mwisho alikuwamsichana ambaye yeye alibahatika kupata kazi katika shirikamoja la utangazaji nchini canada.
Baada yakukubaliana wote walipanga siku ya kukutana jiji arusha tayari kwendajiji dar kwa mama yao bila kumjulisha kwa kumshtukiza. Kwa upande waedna alikuwa na furaha isiyo na kifani kukutana na ndugu zakekwa mama yao na kuweza kuwaeleza kupata kwake mchumba.
Aliombasiku ile ifike upesi ili wamfanyie mama yao surprise ya ajabu kwawatoto wake kukutana kwa pamoja asubuhi baada kufungua mlango awakutemlangoni.
************************** *********************** ************
mipango ya ndugu watatu ilikwenda kamawalivyotaka na siku ilipotimu walikutana wote jiji arusha kwa mkubwawao moses. Kila mmoja walifurahia kumuona ndugu yake walikuwawakipenda kwa kujifananisha na masii eti wamezaliwa bila baba.
"jamani kaka mose shavu dodo."
"mbona humsemimartin."
"yeye sitii neno kwa jivi yupo kwenye mihela."
"hatawewe mdogo wetu canada imekukubali,"
"basi wote tumshukurumungu kutupa afya bora."
"lakini kaka zangu fanyeni mazoezikidogo mwili huo una madhara."
"tumekuelewa."
"jamanisafari yetu kesho alfajiri nimeisha kodi ndege."
"yaani sijuimama yetu atafurahije kutoana wanaye watatu tena alfajiri kabla yakuamka."
"litakuwa bonge la surprise."
"natamani keshoifike upesi tukanyonye kwa mama."
siku ile walikesha sebuleniwakizungumza mambo mengi, alfajiri iliwakuta sebuleni. Alfajiriilipofika walielekea uwanja wa ndege na kuondoka na ndege yakukodi. Waliwasili jijini dar majira ya saa kumi na mbiliasubuhi.
Baada ya kuteremka kwenye ndege walikodi gari na kwendamoja kwa moja hadi mbezi walipomjengea kwa mama yao. Walisimamishagari mbele ya lango, kwa vile hawakutaka kumshtua mama yao, waliingiawaliteremka kwenye gari na kwenda kugonga geti ambalo lilifunguliwana mlinzi.
Alipowaona alitaka kupiga kelele za furaha walimzuiakwani hawakutaka mama yao ajue kitu mpaka atakapofungua mlango nakuwaona wanaye watatu wamesimama mbele yake. Baada ya kuingia ndani walikwenda moja kwa moja mlangoni.
Mlango wa nyumba kubwa ulikuwaumefungwa kuonesha ndani bado wamelala. Walipofika kwenye mlangowalibonyeza kengere zaidi ya mara tatu. Baada ya muda walisikia sautiya mtu kutembea. Wote walikaa mkao wa kusema kwa sauti neno lasurprise mamaaa.
Mara mlango ulifunguliwa wakati wanajiandaakusema surprise mama, walishangaa kumuona aliyefungua ni msichana waowa kazi. Alipotaka kupayuka kwa furaha baada ya kuwaona,walimuonyesha ishara ya kidole mdomoni kuwa asipige kelele na yeyealifanya kama alivyoagizwa,
"vipi mama amelala?"aliuliza edna.
"mama?" ajabu eliza msichana wa kazibadala ya kujibu na yeye akauliza swali.
"eliza kwaninimekuuliza nani?"
"ha..ha..yupo."
"hayupo!amesafiri?"
"ha..ha..pana."
"hapana! Sasa yupowapi?"
"jana alitoka hajarudi," eliza alijibu hukuakitafuna vidole kitu kilichowashtua na kutaka kujua kunanini.
"hajarudi? Amekwenda wapi"
"kwa kwelisijui aliniaga tu anatoka."
"jamani maswali hukutumesimama sio mazuri tuingie ndani," moses alishauri.
Kablahawajaingia ndani msichana wa kazi aliponyanyua macho baada yakusikia geti likifunguliwa alipiga ukelele.
"ha!"
kauli ile ya mshangao iliwafanya wote waligeuka nyuma na kukutanana sura ya mama yao akiwa kwenye hali ya umajeruhi. Kila mmojaalitaharuki mama yao alikuwa na bandeji kubwa kichwani na mkononi namdomo ulikuwa umevimba.
Kilichowashangaza zaidi kilikuwa mavazi yaajabu ya nusu uchi aliyokuwa amevaa manma yao. Yalikuwa ya aibu kilamtoto wa kiume aliangalia pembeni ili mama yao aingie ndani kwanzaili ajistiri mwili wake.
Edna alijikuta akibubujikwa namachozi kutokana na hali aliyokuwa nayo mama yake, hakujari mavaziyake zaidi ya majeraha aliyokuwa nayo. Wakati huo mama yao alikuwaamepigwa na butwaa kwa kuumbuka mbele ya wanaye na kujisemea moyoni"mungu wa ajabu."
baada ya kuingiza ndani nakubadili nguo kwa kuvaa nguo za heshima zilizoufichwa mwili wake.edna aliwaita kaka zake wakati huo mama yao ambaye hakutegemeakuwakuta wanaye maeneo yale kibaya zaidi wote watatu. Mama alijikutaakiangua kilio huku kujiuliza atawambia nini wanaye kwa haliile waliyomuona nayo kuwa anatoka wapi
edna alimfuata mama yakehuku akibubujikwa na machozi.
"mama umeumia sana."
mamayake hakusema kitu aliendelea kulia akiwa amejiinamia.
"mamakama umeumia sana twende hospitali, kina kaka tumpelekeni mamahospitali."
"kachukue funguo za gari yumuwahishehospitali."
"wanangu siimwi mnavyofikiria."
"sasa mamaunalia nini?"
"wanangu nimeumbuka mchana kweupe."
"mama umepatwa na nini?" mama yao hakujibu kitu zaidi yakuangalia chini huku machozi yakiendelea kumtoka.
"mama auunasikia maumivu makali?"
ilikuwa kitu tofauti na jinsiwalivyomzoea mama yao kwa ucheshi na uchangamfu hasa anapokutana nawanaye. Walitegemea angefurahi kuwaona wanaye lakini imekuwa tofautina walivyo fikiria zaidi ya kuona kilio cha mama yao ambacho tokawazaliwe hawajawahi kukiona.
Wote watatu walijikuta wakianzakulia, lakini edna yeye ndiye aliyelia kwa sauti ya juu akiwa amepigamagoti mbele ya mama yake.
"mama tatizo nini? Mbona unatuachanjia pana mama ni bahati gani kuwaona wanao wote. Tueleze umepatwa nanini ili tujue tukusaidieje. Mama umepatwa na nini mama yetu?"
mamayao huku akilia alimpapasa mwanaye mgongoni kwa mkono mzima na kusemakwa sauti ya kilio.
"wanangu silii kwa maumivu bali kwamajuto, mungu kaniumbua."
"majuto ya nini tena mama?mungu kakuumbua nini?"
"si waongo waliosema siku yakwenda uchi ndiyo siku ya kukutana na mkweo."
"mamambona hatukuelewi?"
"kilichopo mbele yangu najua nimipango ya mungu ili kuniumbua mama yenu."
"mama badohatujakuelewa akuumbue kwa lipi?"
"ilikuwa siri ambayondiyo iliyobeba maisha yenu kwa ujumla."
"ni siri!iliyobeba maisha yetu. Ni siri gani hiyo mama?"
"ni sirichafu ambayo hamkupaswa kuijua, nina imani mungu kayafanya haya ilikuniumbua sina budi kuiweka bayana ili munielewe mama yenu najua kamanitakaa kimya nitawatesa wanangu mpaka mnakufa."
watotowake wote walitazamana kisha kila mmoja alirudisha macho kwa mamayake na kuendelea kumsikiliza kutaka kujua mama yao ana siri gani.pia kutaka kujua ile hali aliyonayo mama yao imetokana na nini?
Mamayao akiwa bado ameinama alinyanyua macho na kuwatazama wanaye kilammoja kisha alijitengeneza vizuri kitini na kusema:
"hilinitalo liongea sikupaswa kuliongea mbele yenu ni aibu, lakini ndilolililobeba siri ya maisha yenu. Leo mtajua mama yenu nimetoka wapi nanipo wapi na nilitaka kwenda wapi," mama alimeza mate kishaaliendelea kuongea.
"kwanza kabla ya yote ningependakuomba msamaha kwa lolote litakalo wakwaza kwa namna moja au nyinginekwa haya nitakayo yatamka mbele yenu."
"kwetu sisimama yetu huna kosa lolote litakalo tukwaza tunakupenda nakukuheshimu na hakuna chenye thamani chini ya jua kama wewe mama yetukipenzi. Mapenzi yako hayatapungua mioyoni mwetu, bali udhuniko lakoni kilio kikubwa mioyoni mwetu, hebu tuweke wazi mama yetu mioyo yetuipo taabuni kufikiri tusilolijua," martin kaka yao alifikishaujumbe kwa niaba ya wadogo zake wote waliokuwa kimya wakiwa na shaukuna kilichokuwa mbale yao.
Mama yao baada ya kusikia kauli yawanaye alifuta machozi kwa upande wa kitenge aliokuwa amejifunika nakuzungumza kwa sauti ya chini lakini yenye kusikika.
"kwanza wanangu naomba radhi nipo chini ya miguu yenu kwa halimlionikuta nayo, ambayo ndiyo iliyoweka wazi tabia yangu ambayo sirahisi kwa ninyi kuijua. Hili mliloliona ndilo lililobeta maishayangu ambayo nilishindwa kuyabadilisha japokuwa nilikuwa na maishamazuri.
" mwanzo nilifanya kama sehemu ya kujipatia kipatolakini sasa imeisha kuwa mazoea. Sawa na mvuta sigara hawezi kulalabila kupata angalau mkupuo mmoja na mimi mama yenu hivyohivyo."
"ninini hicho, hebu mama kiweke wazi kwa vile umeamua kutueleza."moses ambaye muda mwingi alikuwa kimya alimueleza mama yake.
Mamayao akiwa mwingi wa aibu waliwatazama watoto wake kwa zamu kwa maranyingine kisha alisema:
"wanangu naweza sema maishayangu mpaka kufikia hapa nimepitia mambo mengi mchafu na magumuambayo ukimuhadithia mtu ataona ni uongo," alivuta pumzi hukualitengeneza vizuri ushungi wake uliokuwa umemteremka.
"basi wanangu maisha haya ingekuwa yanaonekana jinsi mwanadamuanavyo ishi unaweza kumuonea huruma au kumdharau kama si kumchukiakabisa.
"wanangu mnaweza kuona leo mama yenu naishimaisha mazuri hakuna nilichokikosa maishani kwa sasa, mmenijengeanyumba nzuri gari zuri na kunipatia mahitaji yote muhimu. Ni kweli,lakini historia nzima ya maisha yangu inanihukumu.
"sikupendawanangu mjue maisha yenu yamepitia wapi mpaka leo mpo kwenye halihii. Wanangu sikupenda lakini leo sina jinsi bila hivyo halimlionikuta nayo hamtanielewa kama nitawaeleza nusu nusu. Historiayangu mimi mama yenu inaanzia miaka therasini na tatu iliyopita kablasijayajua maisha ni nini.

Miaka therasini na tatu iliyopita
nikiwa ni mtoto wa tatu katikafamilia ya watoto wanne wa kiume watatu na wa kike mmoja, ambayendiye ni mimi mama yenu niliyekuwa kiziwanda. Kwa kweli baba yangualikuwa akinipenda sana hasa tukizingatia ni mimi pekee ni mtoto wakike na mama yangu hakuwa na uwezo wa kuzaa tena.
Nilipewa upendeleo ambao hata kaka zangu uliwaudhi, lakini hakunakilicho mbadilisha baba na mama yangu. Nilipofika hatua ya kwendashule, nilitafutiwa shule ya kimataifa tofauti na kaka zangu ambaowao japokuwa walisoma za kulipia, lakini hazikuwa hazikuwa na gharamakubwa kama yangu.
Kitu kingine kilichofanya wazazi wanguwasijutie uamuzi wao wa kunipeleka shule ya gharamani akili zangu.nilifanya vizuri katika masomo yangu na kushika nafasi za juushuleni. Baba aliniahidi nikimaliza kidato cha sita atanipelekamarekani kusoma.
Kama mjuavyo nilijikuta nabweteka namapenzi ya wazazi wangu na kujua sitachukuliwa hatua yoyote kwalolote nitalo lifanya. Nikiwa kidato cha tano ambapo nilisomeauganda, chuoni nilikutana na kijana mmoja ambaye ni mtanzaniamwenzangu,ambaye alinivuta kwenye mambo ya mapenzi.
Nilijikuta nafanya starehe kwa fujo bila kuogopa kitendo kilekitawaudhi wazazi wangu. Wakati huo yule kijana ambaye alikuwa mwakawa mwisho, katika uhusiano wetu ya mapenzi kwa bahati mbaya nilishikaujauzito.
Nilifikiria kuutoa lakini nilihofia kwa kuambiwakuwa pale shuleni kuna wasichana wawili walikufa kwa ajiri ya kutoamimba. Habari zile zilinishtua sana na kunifanya niogope kutoa kwakuhofia maisha yangu.
Katika uchunguzi wa afya za wanafunziniligundulika mjamzito na kurudishwa nyumbani. Wakati huo bwanaaliyenipa ujauzito alikuwa ameishaondoka na kurudi tanzania. Sikuwana jinsi zaidi ya kurudi nyumbani arusha ambako ndiponilipozaliwa.
Nilipofika nyumbani baba hakuwepo alikuwaamesafiri, nilimkuta mama ambaye alishangaa kuniona muda ule. Kwakuwa nilikuwa na uhakika wa kupendwa na wazazi wangu, sikuhofiachochote nilimweleza yote.
Mmh! Kauli ile ilimshtua sanamama na kuniomba bora tuitoe ile mimba kabla baba hajarudi.nilimkatalia kwa kuhofua maisha yangu.
"mamamimba inaweza kuondoka na maisha yangu!"
"hapana mwanangu hii ndiyo njia pekee ya kukuponya kwa babayako."
"mama baba ananipenda hawezi kufanyalolote."
"mwanagu humjui baba yako, mimi namjua vizurihawezi kukubaliana na hili japo anakupenda sana."
"wasiwasiwako tumsubiri uone."
"hapana baba yako alimfukuza mdogowake ambaye alikuwa akimpenda tena alikabidhiwa na wazazi wakeamtunze na kumsomesha. Na yeye alifanya upuuzi kama wako baba yakoalipojua mapenzi yote yaliisha na kumfukuza kama mbwa na hakutakakumuona mpaka leo hii tunayoongea anasema hataki kumuona"
"mamayule alikuwa ni mdogo wake lakini mimi ni mwanaye," badonilikuwa mbishi.
"mwanangu usiwe mbishi heri nusu sharikuliko shari kamili," mama aliendelea kunibembeleza.
Sikuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana na mama kwenda kuitoa mimbakabla baba hajarudi ikiwezekana awahi kunirudisha shuleni. Mamaalinipeleka hadi kwa daktari mmoja maarufu sana jiji arusha.
Baadaya kukutana na daktari alikubaliana na mama gharama za kunitoaujauzito. Mama alilipa na kupelekwa chumba cha kutolea mimba,niliingizwa chumba cha kutolea mimba. Nilifanyiwa vipimo kablaya kunitoa, lakini mambo yalikuwa kinyume.
Ujauzito wangu ulikuwa umekaa vibaya ambao usingiweza kutoka kamawangeutoa, ungetoka na roho yangu. Hapo mama alichanganyikiwa nakushindwa kujua atatumia njia gani kuificha siri ile. Hakuamini kauliya daktari yule tulikwenda hospitali zaidi ya nne jibu lilikuwa lileile, kuwa mimba haiwezi kutoka.
Mama hakuwa na jinsi zaidiya kukubali matokeo na kuamua kumsubiri baba na yeye ana uamuzi gani?japokuwa mama alionekana mwenye wasiwasi kwa upande wangu sikuwa nahofu yoyote kwa baba hasa nikizingania mapenzi yake kwangu yalikuwamakubwa sana.
Baada ya siku tatu baba alirudi kutokasafari zake za nje ya nchi, tulimpokea kwa furaha na bashasha.aliponiona alishtuka kuniona nipo nyumbani siku za shule. Mamaalimtuliza kwa kumwambia
"poa kwanza, hata ujatulia nasafari."
"mke wangu nitulie kwa uchovu gani, hasa kwenyetatizo wakati mwenetu alikuwa shule leo yupo nyumbani tena siku zashule kama anaumwa atibiwe awahi shule na kama kuna tatizo linginelitatuliwe haraka huu si muda wa kucheza na elimu."
"siumefika utayasikia haraka ya nini kuna mtu anaondoka," mamaalizidi kumtuliza baba.
Kauli ile ilimfanya baba anyamazena kuendelea na mambo mengine. Japokuwa nilikuwa na uhakika babaawezi kufanya lolote kutokana na kisanga changu, lakini hofu kidogoilinitawala kutokana na maneno yake juu ya kucheza na elimu.
Nikiwanimejilaza chumbani kwangu baada ya chakula cha usiku, nilisikiamlango ukigongwa kwa nguvu kama ameingia askari. Nilinyanyuka nakwenda kufungua mlango. Baada ya kufungua, mlango ulifunguliwa kwanguvu kitu kilichonitisha.

Itaendelea kesho
 
Itabidi tuuombe uongozi JF utuwekee jukwaa maalum la riwaya ili mautamu kama haya tuyapate sehemu maalum bila kuchanganyika na habari nyingine za kidaku zinazopatikana hapa.
 
Ila mkuu umesahau kuweka jina la mtunzi, au ni wewe mwenyewe?
 
Mkuu fanya editing vizuri maneno unayaungnisha sana ili hii kitu iingie vizuri.
 
Mkuu fanya editing vizuri maneno unayaungnisha sana ili hii kitu iingie vizuri.

Nalifanyia kazi mkuu, ntajitahidi kupunguza, tatizo linatokea wakati wa kuitoa kwenye doc na kuiweka jukwaani
 
Sehemu ya pili



Baba kwa hasira alinifokea kwa sauti ya juu kitu ambacho hakuwahi kukifanya toka nizaliwe. Mara nyingi mama aliponifokea baba ndiye aliye kuwa mtetezi wangu. Kwa hali ile hofu ilinijaa moyoni, kwa hasira baba aliniuliza huku akiwa ameshikilia ile barua niliyopewa shuleni.
"we Moureen hiki ni nini?" alisema huku akinitupia ile kalatasi.
"bahati mbaya baba," nilijibu huku nikiwa nimepoteza ujasiri na kuanza kutetemeka.
"mmh! Bahati mbaya eeeh," aliongea kwa sauti ya chini.
"ndi.ndi.yoo...ba.aba."
"bahati mbaya," aliongea kwa sauti ya juu ikifuatiwa na kofi zito lililotua kwenye shavu la kushoto na kunirusha kwa nyuma mpaka chini, haja ndogo ilinitoka bila kupenda. Nikajua siku hiyo patakuwa hapatoshi. Niliikumbuka hofu ya mama juu ya hali atakayokuwa nayo baba baada ya kusikia ujinga wangu.
"wewe nguruwe nasema hivi kuanzia sasa hivi nenda kwa nguruwe mwenzio aliyekubebesha uchafu huo."
mmh! Niliona mambo mazito, nilipiga magoti mbele ya baba kuomba msamaha.
"baba naomba unisamehe."
"nikusamehe kwa lipi?"
"kwa hii hali niliyokuwa nayo."
"sikiliza mwanangu kwa vile umekuwa mtu mzima, sina budi kukuruhusu ukaishi na umpendaye kwa vile kuwa kwenu unaona unachelewa."
"baba simjui anapoishi."
"atii nini?" kauli yangu ilimuudhi baba.
"ni kweli baba ni bahati mbaya ilikuwa kama ajali, tena alinibaka mi nilikuwa sitaki," nilijaribu kujitetea.
"nasema hivi naomba uondoke machoni kwangu, usiku huu na tusionane mpaka mauti yatakapo tuchukua."
ilikuwa kauli nzito ambayo sikuitegemea kuisikia toka kinywani kwa baba yangu kipenzi. Siku hiyo nililia sana, mama alinisaidia kumuomba msamaha lakini hakuwa tayari kunisamehe hata yeye alitishiwa kufukuzwa kama ataendelea kuninitetea.
kwa mara ya kwanza mapenzi ya baba yangu yaliyeyuka kama donge la mafuta kwenye kikaango cha moto. Baba alikuwa mbogo alinifukuza usiku ule. Sikuwa na jinsi nilikwenda kwa rafiki yangu ambaye alikuwa amepangiwa chumba na rafiki yake wa kiume. Alinipokea na kunipa hifadhi ya kulala mpaka siku ya pili.
asubuhi shoga yangu alinieleza:
"moureen zile ni hasira za baba yako lakini leo ukirudi atakusamehe."
"mmh! Siamini kama baba atabadirika."
"inawezekana hata yeye anajilaumu kukufukuza pengine usiku alikutafuta."
"eti eeh!"
"shoga rudi kwani baba yako anajua utaishi vipi?"
nilijifikiria na kukubaliana na shoga yangu kurudi siku ile kuomba msamaha. Niliamini kabisa alichozungumza baba yangu ilikuwa ni hasira za ghafla, lakini nikirudi kumuomba msamaha atanisamehe kwa kujua mimi ndiye mtoto wake sina pa kwenda.
nilikubaliana na wazo la rafiki yangu baada ya kupata kifungua kinywa ambacho kilinishinda, niliamua kurudi nyumbani kuomba msamaha.
niliwasili nyumbani na kubahatika kuwakuta wazazi wangu wote wawili waliokuwa wamekaa sebuleni wakijadili jambo. Mama alikuwa wa kwanza kuniona, alinikaribisha.
"karibu mwanangu," kauli ile ilimfanya baba ageuke kuangalia nani aliye karibishwa. Aliponiona mimi kwa sauti ya juu yenye kila aina ya ghadhabu alisema:
"we shetani mwanamke umefuata nini?"
"baba moureen msamehe mtoto," mama aliniombea msamaha kwa baba
"nimsamehe eeh, subiri uone nitakavyo msamehe," baba alisema yale huku akisimama na kuelekea chumbani.
nikiwa bado nimesimama karibu kabisa na mlango wa kuingilia sebuleni. Nilishtushwa na sauti ya mama:
"moureen mwanangu kimbiaaaa," nilipotupa macho baba alikuwa na bunduki mkononi, lakini mama kwa ujasiri mkubwa alifanikiwa kumdaka na kuanguka naye chini. Wakati huo mama alikuwa akiendelea kupiga kelele.
"moureen mwanangu kimbia baba yako atakuua."
baba naye alijitahidi kunyanyuka lakini mama alikuwa amemshikilia madhubuti.
"niache mama moureen nimuulie mbali shetani huyu bora nikanyongwe kuliko aibu hii," nilijikuta nimeshindwa nifanye nini miguu ilinitetemeka.
"Moureeeen kumbiaaaa," mama alizidi kusisitiza.
wakati huo baba alikuwa ameamka bunduki akiwa amedondoka mbali, muda wote nilikua bado nimepigwa butwaa. Baba aliponyanyukaili aiwahi bunduki hapo ndipo nilipojua kilichokuwa mbele yangu si maigizo bali kweli nilitimua mbio huku nyuma nilimsikia baba akifoka kwa hasira:
"bahati yako ningekufumua kichwa mwana haramu mkubwa."
nilikimbia bila kuangalia nyuma mpaka kwa shoga yangu nilikuta mlango upo wazi niliingia ndani bila kupiga hodi nilipofika tu nilianguka chini na kupoteza fahamu.
rafiki yangu alinipatia huduma ya kwanza, kisha alitaka kujua yaliyojili nilipokwenda, nilimweleza yote.
"utani huo Moureen!" shoga yangu alishangaa.
"bila mama leo ningekuwa marehemu."
"mmh! Kama imefikia hivyo kuna umuhimu kumtafuta baba mwenye mimba hii hakuna njia nyingine kwa hatua hiyo sidhani kuna suruhu," shoga yangu alinishauri.
rafiki yangu aliniombea nauli ya kuja dar kwa mpenzi wake ambaye alinipa na pesa za matumizi. Kesho yake nilifunga safari hadi dar, jiji ambalo toka nizaliwe nililiona kwenye luninga tu. Nilikumbuka aliniambia dar anakaa mikocheni nyuma ya jengo la super market shorpers plaza.
alinieleza nikivuka bar moja wanayouza kiti moto nihesabu nyumba mbili kuna mtaa unaingia kulia, mbele kuna muuza chipsi nikate kushoto na kuifuata njia ya moja kwa moja kuna fundi viatu nyumba hiyo ndiyo anayoishi.
niliwasiri dar majira ya saa tisa alisiri na kukodi gari hadi mikocheni. Nilimuomba aniteremshe pale shorpers plaza ili nisiipoteze ramani yangu, niliteremshwa shopers plaza na kuangalia ramani yangu haikuwa tofauti na maelezo aliyonipa.
niliiifuata njia aliyonielekeza, muda ule ulikuwa ni saa kumi na moja kasoro. Kuchelewa kote kilitokana na fureni kubwa ya magari ambayo ilikuwa ni ajabu kwa sisi watu wa mikoani kwenye uchache wa magari.
nilifanikiwa kufika kwenye ile bar ambayo kweli niliona kiti moto kikiuzwa. Nilihesabu nyumba mbili na kutokea kwenye njia iliyoingia kulia, mbele nilikutana na banda la chipsi .nilikata kushoto, huwezi amini japo kuna mitaa na vichochoro ramani ilikuwa haipotezi wala haina haja ya kumuliza mtu.
nilifuata kijinjia kidogo hadi mbele ambapo nilimkuta mshona viatu. Nilipo muona kwanza nilishusha pumzi na kumshukuru mungu kwa kufika bila kupotea.nilisabahi yule kaka
"za saizi kaka."
"nzuri karibu."
"asante, shikamoo."
"marahaba."
"sijui kaka hapa ndipo anapokaa shauri kati au shaka zuru?"
"wewe ni nani?" yule mkaka aliniuliza huku akinitazama nilivyo.
"mmh! Mimi ni rafiki yake tulikuwa tunasoma pamoja uganda."
"ooh! Umefika, ndio hapa."
"yupo?"
"kwa sasa hayupo hapa amehama."
"mungu wangu! Amehamia wapi?" nilishtuka.
"usihofu na karibu tu."
"ooh! Afadhari nilishtuka."
yule kaka alimuachia mtu kazi yake na kunipeleka anapoishi shauri, hapakuwa mbali kama nyumba ya sita kutoka kwao. Tulipofika aligonga mlango, mlango ulifunguliwa na shauri alitoka aliwa kifua wazi amevalia bukta kwa chini.
aliponiona alishtuka na kusema:
"aah! Moureen!"
"ni mimi shaka," nilijikuta nikitabasamu kumuona kipenzi changu shaka.
"karibu sana."
"asante," nilijibu huku nikiingia ndani, kumbe shaka alikua artisit mchoraji. Kumbe muda ule alikuwa akichora. Baada ya kukaa na kuniagizia soda alitaka kujua mbona nipo pale wakati wenzangu wanaendelea na masomo.
"moureen mbona huku kipindi cha masomo?"
nilimueleza nia na madhumuni ya kuniona mbele yake, nilimuona akishtuka na kuuliza.
"moureen utani huo!"
"kweli kabisa na sina pa kukimbilia."
"moureen tafuta mwingine wa kumbambikia mimba hiyo sio mimi?" he! Shaka naye aliniruka.
"shaka hii mimba mwenyewe ni wewe, naomba unipokee nitakuwa mgeni wa nani na wewe ukinikataa," nilijikuta nikichanganyikiwa mtoto wa kike.
"moureen naomba unielewe sina msaada mwingine zaidi ya kukupa hifadhi ya leo, kesho nakupa nauli urudi kwenu."
ngoma ilikuwa nzito shaka naye alinitolea nje, niliona dunia imenigeuka hata mwenye mzigo kanikataa.nilipojaribu kumlazimisha niliambulia kipigo, mmh nikaona hakuna haja ya kulazimisha maisha mjinga mimi. Wazo la kujiua nililikataa na kuwa tayari kupambana na maisha.
siku ya pili hapakuwa na mabadiliko yoyote zaidi ya kupewa nauli ya kurudi arusha. Nilijiuliza arusha nitarudi kwa nani, niliamua kubaki dar liwalo na liwe. Hapo ndipo nilipo ingia kwenye ukahaba nikiwa na ujauzito wangu kwa kulala ovyo."
kauli ile iliwafanya watoto wake kutokwa na machozi, lakini mama yao aliendelea na mkasa mzito wa kusikitisha.
"basi katika zungukazunguka yangu nilipata shoga ambaye alinikaribisha kwake, tukawa wote usiku tunatoka kutafuta wanaume. Mungu hamtupi mja wake nilijikuta nayaendesha maisha yangu bila matatizo.
muda ulipofika ndipo nilipo jifungua mtoto wangu wa kwanza ambaye ni wewe martin. Nilimlea mwanangu kwa kazi yangu ya ukahaba, mwanangu kwa kweli alikuwa kwenye mazingira magumu kwa kumuacha peke yake chumbani na mimi mama yake kwenda kwenye ukahaba.
mungu naye alimjalia alikuwa bila tatizo lolote kama maradhi ni sehemu ya maisha ya mwanadamu.ile kazi ilinisaidia kuweza kupanga chumba changu na kuweza kuwa na vitu vyote muhimu chumbani kwangu. Aliyeingia chumbani kwangu alijua ni mfanya biashara mwenye pesa.
sikuchukua muda mrefu mwanangu martin alipofikisha umri wa mwaka mmoja na nusu, nilishika ujauzito mwingine. Kwa kweli sikujua ile mimba ni ya nani kwa kuwa nilikuwa nakutana na wanaume wengi wengine wabishi kutumia kondomu. Kwa vile nilihitaji pesa yao sina budi kukubaliana nao.
niilea ile mimba ambayo baba yake sikumjua mpaka nilipofanikiwa kujifungua salama mtoto wa pili ambaye ni wewe moses.
wakati huo kidogo pesa nilikuwa nazo. Mwanangu alipata huduma nzuri kwa kuwa na mhudumu ambaye alimhudumia mimi nikiwa sipo.
niliendelea na kazi yangu ya ukahaba ambayo iliendeleza kupunguza makali ya maisha. Siku moja nikiwa katika mawindo yangu nilichukuliwa na wazungu. Siku zote kazi yetu tulipenda tukutane na wazungu ambao dau lao lilikuwa kubwa tofauti na waswahili hawaschelewi kukukopa.
lakini siku hiyo haikuwa kama nilivyo fikiria, waliniuliza kwa wote ni shilingi ngapi. Walikuwa wanne, niliwajibu kwa wote watanipa dola mia nne. Walikubali na kunipa zote taslimu ambazo nilimuachia shoga yangu kwa kuhofia kuzurumiwa.
niliingia kwenye gari na kuondoka nao kuelekea nisipo pajua, siku zote kazi zetu tulimwachia mungu kulinda maisha yetu. Nilipofika kwao kumbe haikuwa hivyo walikuwa wamepanga kunifanyisha mapenzi na mbwa wao wawili kwa nguvu.
nilipokataa walinilazimisha kwa kunitishia na bastora, hata hivyo sikuwa tayari walinipiga na kunifunga kamba kisha waliwachukua mbwa wao na kuniingilia kimwili huku nikisikia maumivu makali. Siku hiyo nilijuta kufanya ukahaba kwa kuingiliwa kinyume na maumbile na wanyama wale.
mpaka wananiachia nilikuwa hoi sijiwezi, walinichukua na kwenda kunitupa kwenye mtaro. Niliokotwa na watu nikiwa sina kktu mwilini, walinichukua na kunipeleka hospitali.
nilipata fahamu ziku ya pili jioni wakati huo nilikuwa nimeishapatiwa matibabu ya hali ya juu ikiwa pamoja kupigwa bomba. Kabla ya kutoka polisi walifika kuchukua maelezo. Kwa vile sikuwajua vizuri ila nilikuwa nawafahamu nilitoa maelezo nao waliahidi kuwasaka mpaka kuwatia nguvuni.
baada ya wiki mbili walifanikiwa kuwakamata baada ya kutega mtego seheme yenye tunayofanya biashara ya miili. Kitu cha ajabu baada ya kukamatwa wale wazungu waliandika maelezo na kuwekwa ndani kisha nikaelezwa nirudi siku ya pili.
nilikwenda nyumbani na siku ya pili nilirudi polisi nikiwa na ushahidi wa shoga zangu waliokuwepo siku nilipochukuliwa. Kila kitu kilikuwepo ikiwemo taarifa ya daktari vilionesha kweli niliingiliwa na mbwa, kilichotakiwa kuwafikisha mahakamani na kufunguliwa mashtaka
usitaajabu ya musa utayaona ya filauni, siku ile nilipofika kibao kikanigeukia mimi eti kumbe wale wazungu walikuwa na rb yangu alikuwa nayo aliyofungua muda mrefu ya kuwaibia dola laki moja na walikuwa wakinitafuta. Basi wanangu mimi ndiye niliye ingizwa hatiani na kufikishwa mahakamani mara moja na kufungwa mwaka mmoja baada ya kujitetea nina watoto wadogo. Hebu wanangu ona jinsi uonevu ulivyo fanywa juu yangu kwa vile nilikuwa mnyonge sina kitu.
nilikubali matokea lakini moyoni nilijiapiza nitakapotoka kila aliyehusika hastahili kuishi duniani. Basi sikuwa na jinsi nilitumikia mwaka gerezani.
nilipotoka nilianza msako wa kuwasaka wabaya wangu, wanangu nilimuua mmoja mmoja kila kukicha. Kwa wale wazungu niliua mpaka mlinzi na mbwa wao. Nilipomaliza kumuua mkuu wa polisi aliyeshiriki kubadilisha kesi yangu ndipo nilipotorokea mwanza.
"uliwauaje wote hao bila kushikwa?" edna alijikaza na kumuuliza mama yake.
"mnajua wale wazungu walikuwa ma x-part waliokuwa wakisimamia miradi mingi nchini na walikuwa wakilindwa na serikali. Kesi kama ile haikuwa kwangu tu kumbe mchezo ule tulifanyiwa wanawake wengi waliokuwa wakifanya biashara kama yangu.
ilionesha mkuu wa polisi niliyemuua alikuwa akihongwa na kuwageuzia makosa wote waliokwenda kushtaki na kuwafanya wasichana wengi wakitendewa unyama kukaa kimya.
baada ya kutoka gerezani nikiwa na hasira na wote walionitenda kuanzia mkuu wa polisi hakimu na hao wazungu ambao waliendelea na tabia za kutudhalilisha wanawake."
"mama wakati unafungwa kina kaka walikuwa wapi?" edna aliuliza tena kwani kaka zake walikuwa wamepigwa na bumbuwazi na kuona kama aliyokuwa akiyasema mama yao ni hadithi ya ndotoni.
"kuna shoga yangu mmoja aliwachukua na kukaa nao, bahati nzuri nilikuwa na fedha ya kutosha katika akaunti yangu hiyo niliamini hata ningefungwa miaka miwili ingeweza kuwasaidia. Basi baada ya kurudi nilitembelea sehemu zangu kuendeleza kazi yangu ya ukahaba kuendeleza kujipatia riziki baada ya akiba yangu kukuta imebakia kidogo kwa vile sikuwa na kazi nyingine niliamini kazi ile ndiyo mkombozi wangu.
kwanza niliwauliza mahoga zangu kuhusu mchezo wa wale wazungu kuwafanyisha mapenzi na mbwa. Niliambiwa mzungu mmoja alifukuzwa nchini baada ya kesi kumkalia vibaya baada ya msichana mmoja kumpata mtu wa kumsimamia kwenye kesi yake na kulipwa fedha nyingi lakini na yeye kazi ya ukahaba ilikuwa kwenye damu hakuacha japo alipunguza na kuchagua wanaume wenye fedha kwani alikuwa akija kazini na gari lake.
nilielezwa wakati narudi walikuwa wakiwachukua wanawake na kukubalia kufanya nao mapenzi wote watatu. Japokuwa wanasema ulitaka ule ushibe lakini ulikuwa ukitoka na fedha nzuri. Baada ya kuelezwa vile niliendelea kuwawinda kwa siri bila mashoga zangu kujua dhamilia yangu ni nini kwa washenzi wale nilitembea na dawa ya kulevya ya kupaka kwenye matiti ambayo huitumia kama unataka kumwibia mtu pia kisu nilichokificha kwenye mkoba wangu.
nilifanya kazi kwa taadhari kubwa ili nisirudie kosa la awali, sikuwa tayari kwenda na mtu mwenye gari bali kufanya mapenzi ya papo kwa papo na kumalizana. Niliendelea na kazi yangu huku nikifanya mawindo ya watu wangu. Sikutaka kuanza na mkuu wa polisi na hakimu kwanza kwa vile nilijua wale ni watu wa kumalizia.
siku moja nikiwa lindoni mwangu lilikuja gari na kushangaa kuona mashoga zangu hawalikimbilii, nilijiuliza kuna nini. Nilipouliza niliambiwa:
"shoga leo hatutaki wale wazungu wana mchezo mbaya, leo hawapati mtu tumewaambia kama kwenda na mmoja sawa lakini wote watatu hatutaki."
kauli ile ilinifanya nichekelee moyoni, nilijisogeza mbele hadi kwenye lile gari waliponiona walinieleza kama nitakubali watu watatu sawa ilionesha wamenisahau.
nilikubali kuwa nipo tayari, niliongozana hadi kwao, moyoni nilikuwa na dhamila mbaya kila nikikumbuka moyo unanitetemeke na kumuomba mungu anisamehe.
tulipofika niliwaeleza nitafanya mapenzi na wote lakini kwanza na mmoja mmoja kisha baadaye nitafanya na wote kwa pamoja. Tena niliwaeleza kwanza nitafanya mapenzi kwa kila mmoja kuwa chumbani kwake. Bila kujua nimedhamilia nini walikubali. Basi nilianza kwa kuingia kwenye chumba cha mmoja na kuondoa nguo zote nikijifanya nimepandwa maruhani ya mapenzi.
wakati wa kuandaana nilipaka dawa yangu kwenye matiti bila kujua kisha nilimwambia anyonye ili kunipandisha mdadi, bila kujua alifanya nilivyotaka. Haikuchukua muda alinyonya kisha nilimuona akilegea na kujilaza pembeni.
nilichukua mto na kumziba pumzi usoni, sikuutoa mpaka alipotulia nikijua nimemaliza kazi kisha nilimlaza vizuri.
nilijipaka dawa yangu tena kwenye nyonyo na kutoka bila kitu mwilini na kwenda chumba cha mzungu mwingine aliyekuwa akinisubiri kwa hamu sana.
kama kawaida baada ya kupanda kitandani nilimuomba anyonye matiti na yeye alinyonya baada ya muda alilegea na kummaliza kama mwenzake.
kumbe wakati nammalizia yule mzungu wa pili mzungu wa tatu sijui alishtukia vipi nilimuona akija huku akimwita mwenzake kwa sauti ya juu.

ITAENDELEA KESHO
 
SUPRISE YA AIBU-03

Nilijipaka dawa yangu tena kwenye nyonyo na kutoka bila kitu mwilini na kwenda chumba cha mzungu mwingine aliyekuwa akinisubiri kwa hamu sana.
Kama kawaida baadaya kupanda kitandani nilimuomba anyonye matiti na yeye alinyonya baada ya muda alilegea na kummaliza kama mwenzake.
Kumbe wakati nammalizia yule mzungu wa pili mzungu wa tatu sijui alishtukia vipi nilimuona akija huku akimwita mwenzake kwa sauti ya juu.
"Mr Rich kuwa makini Mr Rich kuwa makini."
Kwa haraka niliteremka kitandani na kujificha nyuma ya mlango, aliingia na bastola mkononi akili yake ikiwa kwa mwenzake ambaye nilikuwa nimeisha msafirisha kuzimu. Nilijua nimekufa kwa vile sikuwa na ujanja wowote wakujiokoa kwa mzungu yule aliyekuwa na siraha mkono pili hatamwili wake kama angenikamata basi ningefia mkononi kwake.
Nikiwa natetemeka mpaka haja ndogo ilinitoka baada ya kuona akimpima mwenzake mapigo ya moyo. Niliona ile ndiyo nafasi yangu ya kutoka mbio, nilikurupuka nyuma ya mlango na yeye alimuacha mwenzake nakunifuata. Kwa vile nilijua mlango umefungwa nilijitahidi kuufunga ule mlango ili nimfungie ndani. Wakati huo yule mzungu alikuwa akija mbio, nilifanikiwa kuufunga ule mlango na kumfanya ajigonge mlango nina kuanguka chini.
Alianguka kwa kishindo, nilifunga mlango kwa komeo kwa nje kisha nilichungulia ndani na kumuona amelala chini damu zikimtoka kichwani. Nilikwenda mpaka jikoni na kufanikiwa kupata kisu kikubwa ambacho nilirudi nacho na kuufungua mlango wakati huo roho yadamu ilinijaa.
Nilimfuata chini alipolala huku nikiwa na hasira niliteremsha mapigo mfululizo ya kifuani mpaka alipotulia. Nilinyanyuka na kujifuta damu kisha nilivaa nguo zangu. Nilianzakupekua kila kona na kufanikiwa kupata dola laki nne, nilizifunga vizuri kisha nilichukua bastola hadi kwenye banda la mbwa na kuwauambwa wote na kwenda kwenye moja la gari lao na kutoka nalo.
Mlinzi alipoangalia ndani ya gari na kuniona mimi alishtuka nakunihoji:
"Vipi mbona unatoka na gari?"
"Siyo juu yakofungua geti," nilimjibu kwa sauti ya ukali.
"Kazi yangu niulinzi nina haki ya kuuliza," mlinzi naye alikuwa mbishi.
"Sikilizawe kidampa hebu fungua geti kabla sijakupoteza!" nilimtisha afungue mlango.
"Siwezi mpaka nipate ruhusa ya mabosi wangu."
Nilionakama ananichelesha nilichukua bastola iliyokuwa pembeni yangu nakumshuti. Niliteremka haraka na kwenda kufungua geti kisha nilirudikwenye gari na kuliondoa kwa kasi.
Nilitembea huku moyo wangu ukiwa na hasira ya kunywa damu ya mtu.Nilikwenda na gari hadi mjini ambako nililiacha njiani na kuchukua teksi iliyonipeleka nyumbani.Kwa wasiwasi wa kukamatwa sikutoka ndani kwa siku tatu hukunikisikiliza taarifa kwenye vyombo vya habari ambavyovililipoti vifo vya wazungu watatu na mlinzi wao waliouawakinyama na mtu asiyejulikana.
Nilitulia kwa muda wa mwezi mzimanikiwa mtu wa kujificha ikiwemo kuhama nilipokuwa nakaa na kuhamianje ya mji. Baada ya hali kutulia nilianza msako wa mkuu wa polisi nahakimu. Nilifuatilia nyendo zao na kujua kila mmoja anakunywawapi.
Pia niliona kuwapata siyo kazi kutokana na tabia zao za unywaji na kupenda wanawake. Niliona nianze na hakimu kwa kujua polisi msako wake ni mkubwa kuliko wa hakimu. Hakimu alikuwa akikaamaeneo ya Mikocheni na alikuwa akipenda kunywa kwenye baa moja maarufu iliyopo Kinondoni.
Niliamua kumfuatilia nyendo zake ambazo nilizielewa, siku moja nilimkuta kwenye baa hiyo akiwa amekaa pekeyake akinywa bia yake huku akichati na simu. Kwa vile nilikuwa nimevaa kiutata niliamini kila mwanaume alitamani kuwa na mimi.Nilisogelea meza yake na kumsalimia:
"Habari za saizi?"
Kablaya kuitikia alinyanyua uso na kunitazama kisha alishusha pumzi ndefuna kusema:
"Ooh! Sorry, karibu mrembo."
"Hapana nakusalimia," nililegeza sauti.
"Ooh! Nzuri mrembokaribu."
"Asante, vipi una mtu hapa?"
"Nipo peke yangu karibu mtoto mzuri."
Nilikaa na kujifanya natoa simu kwenye mkoba na kujifanya nasoma kitu kumbe ilikuwa kumlia pozi.
"Mmh!Binti unatumia kinywaji gani? Aliniuliza baada ya uhudumu kuja kusimama mbele ya meza yetu.
"Heinken."
"Na ninimrembo?"
"Kwanza hiyo inatosha kuanzia mi si mnywaji sana."
Baada ya vinywaji kuletwa nilitulia na kunywa kistaarabu,kitu kilichomfanya hakimu kutaka kunijua zaidi.
"We nimgeni?"
"Si sana."
"Mwenyeji wa wapi?"
"Arusha."
"Ooh!Nimefurahi kuwa na wewe nina imani leo tutakuwa pamoja."
"Mmh!Na mkeo?" nilijifanya kulia wivu.
"Mke wangu nikirudi kwangu,sasa hivi mimi nipo na wewe mtoto mzuri."
"Mmh! Kama hivyobasi wewe tu," nilijifanya kulegea.
Baada ya chakula tulikubaliana kwenda nyumba ya wageni si kwa kulala kwa mapenzi yamuda mfupi kwa kisingizio nipo kwa baba yangu mdogo siruhusiwi kulalanje. Tulitoka pamoja kwenye gari lake na kuingia, nilipata wazo la haraka la kumuulia ndani ya gari ili kufuta ushahidi.
Baada yakutoka eneo la baa niliacha gari liende mbele kidogo na kumuombaalisimamishe pembeni.
"Kuna nini sweet?"
"Nina hamumpenzi naomba uninyonye matiti kidogo uzipunguze."
"Vumilia nitazishusha sasa hivi."
"Hapana ninyonye," nilisema huku nikizitoa matiti yangu ambazo yalimbabaisha na kukubali kupaki garipembeni na kuanza kuyanyonya matiti yangu. Japokuwa alinipandisha mzuka lakini lengo langu lilikuwa roho yake.
Aliendeleakulinyonya kwa ufundi mkubwa sana mpaka nikajikuta namaliza hajazangu bila kupenda, lakini lengo langu kwa siku ile halikuwa hilozaidi ya roho yake. Baada ya kunyonya kwa muda nilimuona akianzakulegea na kuliachia ziwa kisha alijilaza pembeni.
Nilimtikisa nakugundua amelegea nilichukua mto ndogo ndani ya gari na kumziba naousoni kwa kumkandamiza kwa nguvu. Kwa vile hakuwa na nguvu hakuwezakunizuia nilimbana mpaka alipopoteza uhai nilimlaza pembeni nakuteremka zangu kwenye gari, nilifunga mlango na kuondokazangu.
Nilitembea haraka mpaka mbele na kukodi bodaboda mpakaMagomeni ambako nilikodi teksi mpaka nyumbani. Nilitulia ndanisikilizia kwenye vyombo vya habari vitaripoti vipi kifo kile. Taarifaya asubuhi kwenye radio zote zilielezea Hakimu Kiondo alivyokutwaamekufa kwenye gari lake.
Vyanzo vya habari vilisema alionekanaameongozana na mwanamke mmoja mrembo na kwenda kwenye gari lake nabaadaye gari lake kuonekana hatua chache na baa aliyokuwaakinywa.
Polisi walisema wanamsaka mwanamke aliyetoka naye japoilikuwa vigumu kunigundua kwa vile hakuna hata mmoja aliyekuwaakinifahamu pia alikuwa mgeni maeneo yale. Baada kufanikisha kifo chaHakimu nilitulia kwa miezi mingine miwili kujipanga kwa ajili yakummaliza mkuu ya kituo ambaye wakati huo alikuwa OCD katika wilayamoja mkoani Morogoro.
Mwanamke baada ya kujipanga nilifunga safarimpaka Morogoro na kupanga kwenye hoteli moja yenye hadhi mkoniMorogoro. Nilianza kumfuatilia OCD Mzizire kwa siku tatu nakugundua bado wana tabia zilezile za kunywa kwenye baa kubwa piakupenda watoto wazuri.
Baada ya kujua baa anayokunywa nilikwendasiku moja kwenye ile baa na kutafuta siti ya karibu na alipokuwaamekaa na wapambe wake wakinywa. Nilimwita mhudumu.
"Habaridada."
"Nzuri, karibu."
"Asante, samahani dadayangu."
"Bila samahani."
"Eti mzee Mzizire anakunywakinywaji gani?"
"Serengeti."
"Na wenzake?"
"Kunaanayetumia ndovu, konyagi na Tusker."
"Kila mmoja mpe tatutatumwambie mzee Mzizire ofa yangu kwake."
"Sawa."
"Shilingingapi?"
"Usiwe na wasi nitakwambia baada ya kuhudumia, weweje, huagizi?"
"Mi niletee Heinken moja."
"Baridi,moto?"
"Moto hali ya hapa ni baridi."
"Dada barudi ipowapi wewe mgeni?"
"Si sana."
Yule msichana aliondoka nakunifanya niendelee kumtazama kwa uchu mzee Mzizire, kilanilipokumbuka alivyonifanyia moyo uliniuma na sikutaka kumsamehe hatakidogo, kwa tabia zake za kuwakandamiza wanawake na kuwatetea wazungu waliowafanya vibaya wanawake kwa kuwafanyisha mapenzi na mbwa namwisho wa siku wanafungwa wao bila kosa.
Baada ya muda nilimuonayule mhudumu akiweka tlei la vinywaji kwenye meza. Nilimuonaakiuliza, mhudumu alinionesha mimi ambaye alimpokea kwa tabasamukali. Niliwaona wote wakinishuku kwa kushika vifuani vyao naminilijibu kwa kushika changu kuonesha nikubali.
Alipotoka palealiniletea heinken yangu na kunifungulia na kutaka kuniwekea kwenyeglasi, nilimkataza na kujiwekea mwenyewe na kupiga funda moja nakutulia. Nilifanya kuangalia chini ili niwape nafasi ya kuusanifuuzuri wangu ambao ulinifanya nijiamini muda wote.
Siku zote huwanaamini wakubwa ndiyo wanapenda kujipendelea kizuri lazima wakitakewao. Baada ya muda yule dada alikuja na bei nne na kutaka kuziwekajuu ya meza yangu.
"Vipi dada?" nilimuuliza.
"Mzeeamesema nikuhudumia nikupe chochote unachokitaka."
"Mwambieasante, leo sijisikii kunywa sana, sina uhakika hata kama bia hiimoja nitamaliza."
"Dada si ungechukua hata kama hunywi ungenipa mimi mdogo wako."
"Usiwe na wasiwasi we rudisha nitakupa elfu kumi ya matumizi unasemaje?"
"Duh! Dada yanguutaokoa maana leo hali ni mbaya."
Nilifungua mkoba wangu nakuchukua noti ya elfu kumi na kumpa.
"Hii ya nini?"
"Yako."
"Nabili?"
"Hujaniambia kiasi gani pia hujawaongezea bianyingine."
"Kwa hiyo niwaambiaje kuhusu bia hizi?"
"Mwambiekama nilivyokwambia kuwa sijisikii kunywa bia leo, labda keshonitaungana nao."
"Haya dada, asante sana."
Yule mhudumu aliondoka na kuniacha nikiibembeleza bia yangu ambayo niliiweka kuzugia tu kwa siku ile sikuwa mnywaji kabisa zaidi yakumtamani Mr Mzizire kama Simba mwenye njaa aliyemuona Swali akinywamaji pembeni yake.
Baada ya muda yule mhudumu alinifuata nakuniletea kimemo toka kwa Mr Mzizire.
Sorry mrembo tunaweza kuwapamoja leo?
Baada ya kukisoma nilitabasamu kumfanya aliyeleta ujumbe ambaye nilijua alikuwa akinifuatilia kujua nitaupokeaje.Tabasamu langu lilikuwa la kwanza kumpa matumaini.
Baada ya kusomanilimuomba kalamu mhudumu na kunipa na kugeuza kalatasi kwa nyuma nakuandika.
Kwa leo au kwa siku zote?
Nilimpa mhudumu aliyempelekea baada ya kusoma naye aliandika kikalatasikingine.
Nimekupenda sana nina imani itakuwa sikuzote.
Nilipoletewa nilisoma na kumjibu.
Sawa, lakini sipendi kuchezewa na wanaume! Nilijifanya kutoa onyo.
Mhudumu alichukua ujumbe ule na kumpelekea baada ya kuusoma alijibu:
Nimekuelewa,naomba tuzungumze faragha.
Baada ya kuletewa niliusoma nakumjibu:
Hakuna tatizo.
Baada ya kupelekewa jibu langu, niliona akijadiliana na mpambe wake baada ya muda nilimuona yule mpambe akijanilipokuwa nimekaa na kuniinamia.
"Samahani naombaunifuate."
"Sawa ngoja nilipe kwanza."
"Hapana mzeeatalipa."
"Hapana, vinywaji hivi nimeagiza mimi."
Baadaya kulipa nilitoka na yule mpambe aliyenipeleka mpaka kwenye hoteli moja iliyokuwa nje kidogo ya mji. Moyo wangu ulijawa furaha baada yakuona mtego wangu umenasa kirahisi tofauti na nilivyofikiria. Jamaa baada ya kunifikisha chumbani aliniacha na kuondoka.
Baadaya kuondoka nilibakia chumbani peke yangu nikiwa katika wakati mgumuwa kutimiza nilicho dhamilia. Wasiwasi wangu ulikuwa kujulikana mimindiye muuaji hivyo kunifanya nishikwe mara moja na kukamatwa kablasijafika mbali.
Nilijikuta nikiingiwa wasiwasi kuhusiana nampango wangu kwa vile kama ningemuua basi ningekatatwa mara moja.Wazo la kumuua siku ile sikutaka kulitekeleza kwa vile mazingirayalikuwa tata kwa kujua wapambe wake hawakuwa mbali niliaminibaada ya kuonekana natoka lazima watamfuatilia na wakimkuta amekufamsako wake ungekuwa mkubwa na mimi nisingefika mbali lazima wangenikamata.
Siku zote niliamini mpango mzuri ni katiyangu na adui yangu asiwepo wa tatu mwenye kujua mpango ule ambayeanaweza kuwa shahidi wa kuweza kunitia hatiani. Nilikubali siku ilenifanye mapenzi tu bila kuingiza kitu chochote huku nikiapakujituma ili kumfanya aombe tukutane siku nyingine.
Nikiwa katikaya mawazo mkuu wa polisi wa wilaya OCD mzee Mzizire aliingia na kujamoja kwa moja nilipokuwa nimejilaza kwenye kochi.
"Niambiempenzi wangu?"
"Mmh! Nakusikiliza wewe."
"Mimi ninalozaidi ya kuhitaji mapenzi yako."
"Lakini kweli unanipenda au unanitamani?" nilijifanya kujibalaguza huku nimelegeza macho nasauti.
"Siyo siri mrembo, sijawahi kumpenda mtu kwa haraka hivikama nilivyokupenda wewe."
"Muongo! Unanidanganya unatakakunichelea tu leo kisha uniache," nilijifanya kudeka.
"Kwelikabisa nakupenda kwa dhati wala si kukuchezea."
"Kweli?"
"Kwelikabisa, unataka nikufanyie kitu gani uamini nakupenda?"
"Unipende tu wala sitaki kitu kingine."
"Wewe ni mgenihapa?"
"Ndiyo."
"Unatokea wapi?"
"Arusha."
"Ooh! Vizuri na hapa Morogoro umefikia wapi?"
"Nipokatika mapumziko tu."
"Unafanyakazi?"
"Ndiyo."
"Ipi?"
"Kwenye kampuni yautalii."
"Upo likizo?"
"Ndiyo, leo ni siku ya tano, ila kesho nitakuwa Dar ambako nitakaa siku mbili na kwenda Zanzibar kidogo kisha nitaenda Mwanza na kurudi Arusha, kidogo nitakuwanimeosha macho."
"Duh! Inaonekama utalii imekukaa sana."
"Upondani ya damu yangu."
"Kwa nini usimalize likizo yako hapa ilituwe pamoja, nitakupangia kwenye hoteli hii kwa muda wote utaokuwahapa."
"Asante, kwa vile nimeishapanga ratiba zangu,nitakutafutia nafasi yako hata ya kusema uongo kazini kuwa nauguliwahivyo nitakuja unifiche unifaidi."
"Basi ondoka keshokutwa."
"Hapana naomba kesho uniache niondoke, naweza kuachakwenda Mwanza nikarudi kwako niache niende Dar na Zanzibar."
"Mmh!Sawa."
Baada ya kukubaliana tuliondoana nguo zetu kwa kupeana msaada kisha tulikwenda kuoga na kurudi kitandani ambako nilimpa rahakamili zilizomfanganya mzee wa watu. Kwa vile nilikuwa mzoefu wakukutana na wanaume pia nilijua kuitaka hela ya mwanaume ambayealikuwa akiitoa bila kusita hata tuliyokubaliana lazima uiongeze kwapenzi ninalompa.
"Mpenzi kwa nini kesho usihahirishe safariyako, kwa penzi unalonipa sijawahi kupewa sema unataka nikupe niniili usiondoke."
Nilitaka kumwambia naitaka roho yake, lakini ilibakia siri yangu ambayo niliijua mimi na Mungu wangu. Niliendelea kumpa vitu vipya mtoto wa kike huku nikikataa kila alichotaka kunipakujifanya sina tamaa kumbe naitaka roho yake.
"Mpenzi sihitajichochote bali penzi lako."
"Penzi umepata, nakuahidi kukujengea nyumba na kukununulia gari hata kesho."
"Nimekuelewampenzi wangu ila nina ombi moja kwako."
"Ombi gani mpenziwangu?"
"Kwa vile kesho nitakuwa Dar, naomba uje hata jionituwe pamoja, nimefurahia penzi lako naomba niwe nyumba yako ndogo,"nilizidi kumtia ujinga.
"Umeipata hata ukitaka nimfukuze mkewangu nipo radhi."
"Hapana mkeo usimfukuze bali mimi niporadhi kuwa nyumba ndogo lakini naomba uniheshimu tu."
"Nakuhahidikukuheshimu zaidi ya heshima hata ukitaka nikupikie nakukufulia."
"Hapana sivyo hivyo nataka utambue mimi kuanzialeo ni mpenzi wako."
"Jamani Bebi au nipige kelele kuoneshanimekubali."
"Basi nimekuelewa lakini hajajibu ombilangu."
"Lipi bebi?"
"La mimi na wewe kuwa keshoDar."
"Kumbe hilo, usiwe na wasi nakuahidi mpaka saa kumi nambili jioni nitakuwa Dar, unataka tuwe hoteli gani?"
"SeaCliff."
"Hakuna tatizo mpenzi wangu."
"Nimefurahikusikia hivyo, naomba fedha ya hoteli nilipe mimi."
"Naombampenzi wangu nilipe mimi."
Sikutaka kulazimisha nilimkubalia nakunieleza asubuhi kabla ya mimi kuondoka atakodi yeye chumba ilinikifika nifikie kwenye hicho chumba.
Siku ile tulilala mpaka sikuya pili alfajiri aliponiaga anakwenda nyumbani kuvaa sare ya kazi iliaingie kazini na saa tisa alasiri ataondoka Moro kuja Dar.
Kablaya kuondoka alibuku chumba Sea Cliff hoteli na kuniuliza aandike jinala nani.
Ili kupoteza ushahidi nilimwambia aandike jina lake,baada ya kupata chumba namba 215 kwa jina Kaka Mkubwa aliondoka nakuniacha nimejilaza kitandani ili kujiandaa kurudi Dar hukunikifurahia mpango wangu umekwenda vizuri. Nilitamani kupiga vigelegele vya furaha. Moyo mwingine uliingia huruma kumuua mzee kama yule aliyekuwa na familia nilijikuta kwenye wakati mgumu wa maamuziyangu.
Niliondoka Morogoro na basi majira ya saa moja kasoro asubuhi na kufika Dar saa tatu na kukodi teksi hadi kwangu.Nilipofika nilijipumzisha kwa kuoga na kujilaza, majira ya saa kumina mbili niliamka na kuoga ili kujiandaa kwenda Sea Cliff hoteli kumsubiri mtu wangu ili nimalize kazi ilibaki ili kufanya mambomengine.
Baada ya kujiandaa na kuchukua vifaa vyangu vya kazinilikodi teksi hadi Sea Cliff , nilifika majira ya saa moja nanusu tofauti na muda tuliokubaliana wa saa kumi na mbilikasoro. Kwa vile mzee Mzizire alikuwa ameisha chukua chumban ili kwenda moja kwa moja mapokezi na kuomba funguo, nilimkuta dadammoja mrembo.
"Habari dada?"
"Nzuri, karibu."
"Asante,naomba ufunguo wa chumba namba 215."
Yule msichana alipekuakitabu na kuniuliza.
"Samahani dada mbona chumba hiki kimechukuliwa na mtu anayeitwa Kaka Mkubwa?"
"Ndiye mpenzi wangu, chumba hiki tumechukua kwa kubuku kwa simu alfajiri yaleo."
"Ooh! Mpenzi ndo unafika," sauti nyuma ilinishtua ilikuwa ya mzee Mzizire.
Niligeuka mzimamzima na kwenda kujitupa kifuani kwake, kwa usanii niliokuwa natumia hata ungekuwa na moyomgumu kiasi gani angekubali nampenda sana.
Kwangu hakikuwa kitukigeni kwa vile ile ndiyo kazi yangu iliyokuwa ikinipatia kipato,hivyo nilikuwa najua jinsi na kumpumbaza mwanaume na kuamini nampenda kumbe nina yangu.
"Waaawooo mpenzi," nilijifanyakuchanganyikiwa.
"Waaawoo."
"Yaani ndo nafika na kukutanana maswali kama polisi," nilijifanya kudeka.
"Jamani dada yangu sasa ningetoa chumba bila kuwa na uhakika?" msichana wa mapokezi alijitetea.
"Basi mpenzi, vipi umefika zamani?"
"Kama ningefika zamani si ningeumbuka."
"Basi yameisha, tunaomba ufunguo," mzee Mzizire alisema.
Tulipewa ufunguo na kuelekea kwenye vyumba tukiwa tumekumbatiana mtoto wa kike nilideka kuoneshanimemmisi sana. Tulikwenda mpaka chumbani na kujilaza kitandani kablaya kwenda kuoga. Wakati mwenzangu akiwaza mapenzi mimi nilikuwa naitamani roho yake ambayo niliamini sehemu ile ilikuwa nzuri sanaisiyo na ushahidi.
Tulipotoka kuoga sikuhitaji auchezee mwili wangu tena kwa vile pale nilikuwa na kazi moja naye. Baada ya kutokakuoga nilipaka dawa yangu kwenye matiti na kumuomba anyonye.
"Mpenzi..mpenzi naomba uninyonye matiti nisikie raha."

culbby mlyn Analyse princetx slim5 MUSSOLIN
 
SUPRISE YA AIBU-04​

Tulipewa ufunguo na kuelekea kwenye vyumba tukiwa tumekumbatiana mtoto wa kike nilideka kuonesha nimemmisi sana. Tulikwenda mpaka chumbani na kujilaza kitandani kabla ya kwenda kuoga. Wakati mwenzangu akiwaza mapenzi mimi nilikuwa naitamani roho yake ambayo niliamini sehemu ile ilikuwa nzuri sana isiyo na ushahidi.
Tulipotoka kuoga sikuhitaji auchezee mwili wangu tena kwa vile pale nilikuwa na kazi moja naye. Baada ya kutoka kuoga nilipaka dawa yangu kwenye matiti na kumuomba anyonye.
"Mpenzi..mpenzi naomba uninyonye matiti nisikie raha."


Mzee wa watu zikiwa zimempanda alivamia nyonyo zangu na kunyonya kama mtoto aliyelikosa ziwa la mama yake toka asubuhi. Kutokana na kuipaka dawa nyingi hakuchukua muda mzee mzima alilegea. Kama kawaida nilichukua mto na kumziba pumzi sikumuacha mpaka alipotulia.
Baada ya kupata uhakika nimemaliza kazi nilinyanyuka na kuvaa nguo zangu na kutoka. Niliuacha ufunguo kwa ndani kwa kuamini hakuna mtu wa kuingia kwa siku ile mpaka siku ya pili. Nilitoka na kutembea kwa haraka kuelekea barabara ya Salenda Bridge.
Kwa vile ilikuwa giza hakuna aliyeniona, ilipita teksi niliyoipiga mkono baada ya kusimama nilikwenda nayo mpaka Kinondoni kwa Manyanya na kuchukua nyingine mpaka nyumbani.
Kama kawaida yangu baada ya tukio nilikaa ndani kusikilizia nini kitaendelea, mpaka kunakucha hakukuwa na taarifa yoyote kutoka katika vyombo vya habari kuhusiana na niliyoyafanya. Niliamini mwili wa mzee Mzizire utagundulika siku ya pili kwa mfanya usafi atakapoingia ndani.
Asubuhi ilikuwa tulivu hakukuwa na taarifa yoyote muda mwingi niliutumia kuangalia na kusikiliza taarifa za habari ya kwenye redio na tivii. Majira ya saa sita vyombo vya habari vya redio na tivii vilitoa taarifa iliyoitwa ya kushtusha pale waliposema mwili wa mkuu wa polisi wilaya ya Morogoro Bwana Mzizire umekutwa umekufa kwenye hoteli ya Sea Cliff katika chumba namba 215 ukiwa umekufa.
Taarifa iliendelea kusema kwa mujibu wa maelezo ya mhudumu wa hoteli ile aliyekuwa zamu alisema majira ya saa moja na nusu waliingia marehemu na mwanamke mmoja aliyeonekana ni mpenzi wake. Lakini majira ya saa nne asubuhi siku ya pili wakati wa kufanya usafi ndipo ilipogundulika hali ile iliyowashtua na kutoa taarifa polisi.
Baada ya maelezo msichana wa mapokezi aliyeionekana kuchanganyikiwa alifuata mkuu wa upelelezi wa mkoa kusema kuwa watafanya uchunguzi wa kifo kile ikiwa pamoja na kumtafuta mwanamke yule aliyefanya mauaji yale.
Moyoni nilifurahia kusikia wabaya wangu wote nimewamaliza.
Niliamini muda ule ulikuwa muafaka kuondoka jijini Dar na kwenda kuishi mkoa wowote. Sikutaka kurudi Arusha niliamua kwenda mbele kwa mbele. Wazo la haraka lilikuwa kwenda kujificha mkoani Mwanza jiji ambalo lilikuwa limechangamka hata mtu kukutilia mashaka ni vigumu tofauti na mikoa mingine ukiingia mgeni unajulikana haraka.
Sikutaka kukurupuka kwa siku zile nilitulia kwa wiki huku nikifanya mambo yangu ikiwa pamoja na kuwakabidhi wanangu kwa shoga yangu ambaye nilimuachia kiasi kikubwa cha fedha cha kuwatunza. Baada ya kila kitu kwenda vizuri niliondoka bila kumjulisha nakwenda wapi ila nilimweleza nitamjulisha baada ya kufika ninapokwenda.
Niliondoka na ndege ya jioni na kufika Mwanza saa mbili usiku, kwa vile nilikuwa mgeni nilimuomba dereva anipeleke kwenye hoteli nzuri iliyo nje kidogo ya mji. Kama jiji Dar basi iwe maeneo ya Temeke siyo Mbagala au Kibamba.
"Dada wewe mgeni?" dereva aliniuliza.
"Kaka nimekueleza nitafutie hoteli maswali ya nini?" sikupenda maswali yake.
"Lazima nikuulize ili nijue hoteli gani inakufaa."
"Yoyote nzuri lakini isiwe nje kidogo ya mji."
"Kwani Mwanza hujawahi kufika?"
"Zamani sana, baba yangu aliondoka nina miaka kumi," nilimdanganya.
"Mmh! Zamani sana, ulikuwa unakaa wapi?"
Mmh! Lile kidogo lilikuwa gumu kidogo na kunifanya ninyamaze kidogo kukumbuka maeneo ya jiji la Mwanza. Baadhi ya maeneo niliyakumbuka nilipokuwa Dar niliwahi kuzisikia kama Igoma, Ilemela kwenye kituo cha Redio free Afrika na Star tv, Mabatini na Isamilo. Nilitafuta jina moja na kulitamka.
"Tulikuwa tunakaa Isamilo."
"Mmh! Inaonekana mlikuwa nayo!"
"Baba yangu alikuwa mkuu wa polisi."
"Ndiyo maana, vipi umekuja kibiashara?"
"Kaka yangu mbona maswali kama natafuta pasipoti?"
"Basi dada, nitakupeleka kwenye hoteli nzuri pia nitakuipa namba yangu ukiwa na shida nijulishe."
"Hakuna tatizo," nilimjibu kwa mkato kwa vile nilikuwa tayari nimechoka na maswali yake kama mpelelezi.
Kwa vile ulikuwa usiku hata mandhari ya mji wa Mwanza kutoka Uwanja wa ndege sikuiona japokuwa ilionesha jiji la Mwanza lilikuwa limejengeka sana. Baada ya muda alisimamisha gari mbele ya hoteli moja iliyokuwa na gharofa tatu lakini ilikuwa ipo katika hali nzuri na kunifanya nipapende hata kabla ya kukaa.
Niliingia na kukodi chumba kisha nilimlipa hela yake na asante nilimuongezea elfu ishirini. Alinishukuru na kuniachia namba yake ya simu ili niwapo na shida nimjulishe. Niliagana naye na kuingia ndani ya chumba changu kilichokuwa kwenye hali nzuri kilichokuwa ghorofa ya kwanza na kujilaza kwanza kabla ya kuoga na kutafuta chakula.
Baada ya kula niliagiza pombe kali na kunywa nusu chupa, nilijikuta nililewa na kupitiwa usingizi bila kujua mpaka siku ya pili. Kwa vile nilikuwa mgeni siku hiyo nilishinda ndani nikiangalia picha kwenye tivii.
Jioni nilitoka na kukaa sehemu ya bar iliyokuwa palepale kwenye ile hoteli ambayo ilikuwa na watu wengi majira ya kuanzia jioni. Nilikaa nje mpaka saa nne usiku niliporudi ndani kulala.
Katika hoteli ile ilikuwa na wapanaji wengi mmoja wapo dada mmoja wa kizungu ambaye alitokea kunizoea haraka. Muda mwingi nilikuwa naye kitu kilichofanya tuwe mtu na shogaye.
Japokuwa alikuwa mzungu alikuwa amechangamka sana kama mswahili, akikueleza kazaliwa Tanzania tena uswahilini ungekubali kutokana na kuyajua mambo kiswahili na lugha ya kiswahili aliizungumza vizuri sana.
Kwa kweli kupata rafiki yule ambaye alinipunguzia upeke, kila jioni alinipeleka kumbi za starehe kama Delux, Kapili Kabana na kumbi nyingi za jiji la Mwanza ambazo nazo zilikuwa zimekucha.
Kama ujuavyo Mungu alivyonipendelea kila kona wanaume walinitolea macho, kila mmoja alitangaza dau nene ili kunikamata. Wengi walipitia kwa shoga yangu Carloliner. Japokuwa nami niyatamani maisha ya kujimwaga na kumpata mtu wa kunikata kiu yangu ya mapenzi.
Lakini sikuwa tayari kujiingiza kwenye shimo jingine la kifo baada kuponea tundu la sindano. Nilitamani maisha ya utulivu kwa muda mrefu ili kujipanga kimaisha ikiwezekana niichukue familia yangu niishi mwanza baada ya kuufurahia mji huu ambao ulikuwa na pilikapilika kama Dar.
Ili kujiweka mbali na wanaume, waliomtuma Callo niliwadanganya kuwa mimi ni mke wa mtu nipo pale kwa ajili ya kumsubiri mume wangu.
Wapo walioomba kufanya mapenzi na mimi hata kwa dakika moja ili wanihonge milioni. Nilijua nikikubali dakika hiyohiyo moja inaweza kunipeleka kaburini.
Pia ilionesha wanaume wengi walinitamani ili kutaka kujua ndani ya mwili wangu kuna nini kimefichwa kwenye umbile lenye utata.
Baada ya mwezi Callo aliondoka na kuniaga kuwa anasafiri kidogo na kuniacha peke yangu lakini baadhi ya wafanyakazi wa hoteli ile tayari nilikuwa nimeisha jenga nao urafiki kwa kuwatembelea maeneo waliokuwa wakikaa.
Wengine walikuwa wakikaa Igogo, Igoma Nyakato, Mabatini, Mkuyuni na Pasiansi. Kwa kweli nilijikuta nikifurahia maisha ya Mwanza na kusahau ya Dar japokuwa moyo uliniuma kukaa mbali na familia yangu.
Nilijikuta nikipata wazo la haraka kwa nini nisiwasiliane na shoga yangu aniletee wanangu Mwanza ili niweze kuyaanza maisha mapya.
Lakini siku zote bandubandu humaliza gogo ndani ya miezi tisa niliyokaa Mwanza pesa ilianza kunikatikia kutokana na matumizi bila mahesabu.
Hapo ndipo nilipojikuta wenye wakati mgumu wa kushindwa nianzie wapi maisha kutokana kutokuwa na mradi wowote. Lakini bahati nzuri wakati huo rafiki yangu Callo alikuwa amerudi akiwa na pesa nyingi sana.
Alinieleza nisiwe na wasi atanisaidia, kwa kweli Callo alinisaidia vitu vingi ikiwepo kunipa pesa za matumizi na kunilipia pesa ya hotel kwa miezi miwili zaidi.
Nilimshukuru sana lakini siku zote Callo sikujua kazi zake japokuwa mawazo yangu huenda ni mfanyakazi wa mashirika ya kujitolea kusaidia umaskini Afrika.
********
Nakumbuka siku moja ambayo kulikuwa na sherehe ambayo tulikunywa sana, japokuwa nakumbuka sikunywa kinywaji kikali sana kutokana na kutokuwa na mzoefu na maeneo yale.
Siku ya pili nilipoamka nilijikuta nipo sehemu ambayo ilikuwa siijui, lakini ilionesha ni nyumba ya wageni. Nilipoangalia pembeni yangu nilishangaa kumuona mwanaume amelala usingizi mzito akikoroma.
Nikiwa bado nimo kwenye shuka ya hotel ile iliyokuwa na jina la Aspen. Moyo ulinilipuka baada ya kuona kondomu zaidi ya tatu zilizokuwa zimetumika. Nilijikuta nikinyanyuka kitandani huku nikiitupa shuka pembeni.
Sikuamini kujikuta nikiwa mtupu bila nguo yoyote, moyo uliniuma na kujiuliza pale nimefikaje. Nilichukua nguo zangu haraka na kuzivaa ili niondoke.
Kabla ya kumaliza kuvaa sauti ya yule mwanaume ilinishtua:
"Mrembo mbona haraka subiri haki yako."
"Pumbavu unikome," nilimtukana huku nikimalizia kuvaa nguo zangu.
"Sikiliza mrembo umbile na kauli yako ni vitu tofauti, japokuwa pesa niliishampa Zungu lakini mahaba yako motomoto lazima nikuongezee ya asante."
Kauli ile ilinifanya nisite kuvaa nguo na kushtuka huku nikiweka mkono mdomoni kwa mshangao. Kauli ile ilionyesha jinsi gani Callo alivyo nifanyia biashara bila mwenyewe kujua. Wakati huo yule bwana alikuwa ameisha amka na kutoa pesa mfukoni na kunihesabia wekundu watano.
Kutokana na hasira nilimpiga nazo usoni pesa zake na kutoka kwa hasira huku nikimalizia kuvaa vizuri nje ya chumba kwenye korido. Japokuwa sikuwa na pesa muda ule ambao ulikuwa ni saa moja asubuhi, sikuwa na haja ya gari nilitembea kwa miguu huku nikiapa Callo atanitambua kwa kitendo alichonifanyia.
Nilijiuliza kwa nini hakunishirikisha akajua nitasemaje na mimi. Nilipofika hotelini nilikwenda moja kwa moja chumba cha Callo sikumkuta.
Wafanyakazi wa hotelini walinieleza kuwa tangu tulipotoka pamoja jana yake hajarudi. Nilikwenda kuoga huku nikimsubiri kwa hamu kubwa.
Baada ya kupata supu ya nguvu nilijilaza kitandani kutokana na uchovu usingizi haukuchelewa kunichukua.
****
Mkono wa mtu kunitikisa begani ulinifanya nifumbue macho. Hakuwa mwingine zaidi ya Callo.
"Vipi Shosti mbona umelala umerudi saa ngapi?" aliniuliza huku akitabasamu bila kujua ameniudhi sana.
Nijikuta nikijaa kifua na kushindwa nimjibu nini, nilimpandisha na kumshusha nisipate jibu.
"Sikiliza Suzy kwa vile wewe ni rafiki yangu kipato cha jana sichukui hata senti tano, hela zako hizi hapa."
Callo alisema huku akihesabu elfu 50 na kunikabidhi. kabla ya kuzipokea nilimuuliza.
"Za nini?"
"Suzy kutokana na kazi ya jana, kwenye pati kuna mtu alijipendekeza nami sikuwa na jinsi kwa vile najua hata shemeji akirudi haipungui utamu hiyo."
Mmh! Maneno ya Callo yalinikata makali nilimuangalia nisimmalize, kwa sauti ya chini nilimuuliza:
"Callo kwa nini usiniambie mapema ili nami nikajindaa?"
"Suzy japokuwa sasa hivi mambo yako si mazuri lakini umekuwa mtu mwenye msimamo. Kwa vile hata mimi kazi inayoniweka mjini ni hii, ndiyo maana nimeamua kukushirikisha ili mambo yako yakiwa mazuri utajua jinsi ya kujipanga huenda mumeo ameingia mitini.
Huyo mwanaume gani asiyejua mkewe mwaka sasa unakatika haonekani wala kukutumia pesa za matumizi yeye anajua unakula mawe?"
"Sawa, lakini ulitakiwa kunijulisha mapema."
"Lazima ungekataa," alizungumza huku akinikabidhi elfu 50 ambazo sikuwa na jinsi ya kuzipokea na kujilaumi kuzikataa zile elfu 50 zingine nilizopewa hotelini asubuhi.
"Suzy kwa sura na umbile lako ndani ya mwaka utajenga nyumba na kupata usafiri wa kutembelea. Mimi napata pesa kwa uzoefu tu, lakini ningekuwa kama wewe mbona ningenunua hata ndege," Callo alinimwagia sifa.
Bila kutegemea nilijikuta nikirudi kulekule nilipotoka kazi ya uchangudoa. Sikuwa na jinsi zaidi ya kuifanya ili kujikomboa maana mambo yalivyokuwa yakielekea yalinitisha nisijue hatma yangu.
Niliingia kilingeni rasmi na changudoa mzoefu Callo ambaye alinipa mbinu za kimataifa ambazo yeye ilizitumia kufanya mapenzi na wanaume wengi bila kuchoka. Ikiwa pamoja na kutumia madawa ya kuongeza nguvu ili kukabiliana na wanaume wengi.
Kwa kweli kazi yangu haikuwa ngumu kutokana na kupata wateja kwenye hoteli zote kubwa za jiji la Mwanza. Kutokana na upendeleo niliopewa na Mungu na maelekezo ya kuifanya kazi ile kimataifa, niliweza kutengeneza pesa kama sina akili nzuri.
Kazi ile ya ukahaba ilikuwa inatofauti kubwa na ile tuliyokuwa tukiifanya Dar. Hatukuwa tukienda kujiuza barabarani na kujinadi uchi kama mnadani. Kule ilikuwa ni kujipamba na kuingia hotel kubwa na kutafuta meza ya pembeni huku ukiagiza kinywaji cha bei kubwa kwani hata mwanaume itakaye jigonga kwako lazima atakujua wewe ni mtu wa matawi ya juu.
Hata akikutaka dau lake lazima litakuwa la juu tu. Sio unaingia hotelini unaagiza soda moja na kuinywa zaidi ya masaa zaidi ya matatu au matano.
Hata mwanaume ukiwa pembeni akikufuatilia atakujua wewe mtu wa hadhi ya chini. Siku zote ukitaka kukamata samaki mkubwa lazima uweke chambo mkubwa ama sio utaendelea kukamata vidagaa vya maji mafupi.
Na dau lake sanasana atakupa elfu kumi akizidi sana kumi na tano au ukopwe kabisa. Ukitaka faida ya biashara yako lazima uingie gharama ya matangazo. Wahindi wanasema weka mingi upate mingi, siku nyingine naweza kutumia hata elfu 30 na ukatoka kapa.
Lakini mambo yakiwa mazuri mpaka asubuhi unaweza kutoka na laki mbili mpaka tatu kama siku kijiwe kimekubali, lakini pesa ya chini ilikuwa elfu hamsini.
Tulikuwa tukipata pesa nyingi, kazi tulikuwa tukiifanya mara tatu kwa wiki jumatano jumamosi na jumapili siku nyingine tulikuwa tukipumzika.
Nilijikuta nikiyafurahia maisha ya Mwanza ambayo nilitengeneza pesa ambazo baada ya mwezi nilikuwa nimeisha fungua akanti mpya na kuweza kuweka milioni moja na laki tano ambazo zilikuwa hazina kazi kwa muda ule. Niliweza kusafiri miji mbalimbali kama Machimboni ambako kwa kweli tulitengeneza pesa sana. Kule watu walitoa pesa bila kuifikiria, kwa kweli Machimboni nilikuwa nikitembea na wanaume zaidi ya saba kwa siku.
Mwanzo nilipata shida kwa kutembea na wanaume watatu au wanne, kila nilipomaliza nilikuwa nipo hoi na kushindwa kujitambua. Kuna siku nilitembea na wanaume watano japo nilipata fedha ya maana, lakini siku hiyo nilipoteza fahamu na nilipopata fahamu ilibidi nikimbizwe hospitali. Kitu kilichonifanya nipumzike kazi kwa miezi miwili.
Baada ya kupona ndipo shoga yangu Callo aliponifundisha kutumia dawa za kuongeza nguvu ambazo tulizinunua kwa bei kubwa. Nilizitumia kwa muda na kuona faida yake kwa kuweza kufanya mapenzi na wanaume shababi zaidi ya kumi bila kuchoka.
Biashara ilikuwa nzuri iliyotuongezea kipato na kuweza kufikisha milioni saba kwa miezi sita. Callo alipingana na wazo langu la kutafuta chumba kupanga kwani alinieleza kazi ile haitaki bughuza.
Nilikubaliana naye kutokana na kipato tulichokipata kiliweza kutupatia pesa ya kulipia chumba na matumizi ya kawaida pamoja na pesa ya kuweka benki.
Niliweza kwenda naye baadhi ya mikoa na nje ya nchi za kama Kenya Uganda Rwanda, Burundi mpaka Zaire ambako tulitengeneza pesa za kumwaga. Callo alikuwa mzoefu wa kazi ile alinifundisha njia nyingine ya kujiongezea kipato ambayo kwa njia nyingine ilikuwa ya hatari.
Alinifundisha kuwaibia watu pesa kwa mtindo wa kuwawekea dawa za kulevya kisha kuwaibia wakiwa wamelala fofofo hawajitambui kwa kuleweshwa na dawa. Hapo unamsachi na kuchukua pesa zake na kutimka usiku uleule.
Kwa mlevi tulikuwa tukimwekea kwenye kinywaji kwa asiye mlevi tulikuwa tukimpakia dawa kwenye matiti na katikati ya mapenzi, unamuomba akunyonge matiti ili kukupandisha mzuka. Akijidanganya tu kunyonya anakwenda na maji na kufanya vitu vyetu.
Ile haikuwa ngeni kwangu ndiyo njia niliyotumia kulipizia kisasi ila shoga yangu alikuwa mtaalamu sana kuliko mimi. Huwezi kuamini safari zetu tulikuwa tukirudi na pesa zaidi ya Milioni tano kwa wiki.
Japokuwa tulipata pesa lakini tulikuwa tukiishi maisha ya kujificha tunapokuwa tupo nje ya nchi. Lakini tulipokuwa tukirudi tulijiachia kisawasawa.
Callo kila nililokuwa nikilitaka kulifanya kwa wakati ule alinikataza. Kama kununua nyumba au gari la kutembelea. Alinieleza pesa niliyokuwa nayo zaidi ya milioni kumi na tano zilikuwa kidogo sana alipenda nipate wazo lile nitakapokuwa na zaidi ya milion 50 mpaka 100.
Kwa biashara ile nilikuwa nikiamini ndani ya mwaka mzima ningekuwa nimefikisha, kwani wakuja walikuwa ni wengi ambao tuliwaingiza mjini. Pia tulijichanganya kwenye magulio ya ng'ombe ambako tuliwaokota wakuja kama hatuna akili nzuri.
Callo alikuwa jasusi la kimapenzi ilifikia hatua ya kunifundisha hata kuua japokuwa kitu kile hakikuwa kigeni kwangu lakini nilifanya mchezo ule katika kulipa kisasi si katika uchangudoa.
Kitendo kile tulikifanya kwenye Machimbo ya almasi na dhahabu Jamhuri ya Kongo. Kule tulitoka na pesa zaidi ya milioni 50.
Taratibu nilianza kuvutika na kufika hatua ya mimi kuwaza kuua pale mtu atakapoingia kwenye anga zangu. Mimi na Callo tulikuwa kama mapacha hasa Callo alinitumia kutengeneza pesa nyingi kutokana na mimi kukubalika sana kwa wanaume.
Tulijikuta tukiingia katika kazi ya ujambazi kuwaibia watu waliokuja kununua dhahabu kwa kuwapulizia dawa za kulevya na kuchukua fedha zote kisha tulitoroka usiku huo na kurudi Mwanza.
Lakini kila kizuri kina ubaya wake, siku moja tukiwa tupo Geita kwenye machimbo tukiwa tumepanga guest moja na mtu mmoja aliyekuwa na pesa za manunuzi ya dhahabu. Callo kwa uzoefu wake alimgundua.
Yule bwana pamoja na kumtega aliruka vihunzi lakini Callo aliniambia nimuache kwani alijua angemfanya nini.
Siku ile Callo alinikataza kuchukuliwa na mwanaume yoyote hata kama angenihonga milioni.
" Moureen leo hatufanyi biashara ya mwili."
"Kwa nini?"
"Kuna kazi moja ina hela kuliko hata kulala na wanaume saba."
"Hakuna tatizo."
Nikiwa nimelala chumbani kwangu
Callo alinishtua usiku wa manane na kuniomba tuondoke pale. Niliniamka na kutoka, kutokana na kunijulisha nilale kama nipo kwenye lindo yaani nilale na nguo zangu.
Nilipoamka nimkuta Callo ana begi lilionyesha amelichukua kwa yule mwanaume.Tuliondoka Geita usiku uleule na kuingia Mwanza Alfajiri. Tulipofika tuliteremkia mjini na kukodi gari jingine hadi hotelini kwetu. Tulipofika tulikwenda moja kwa moja hadi chumbani kwake na kulifungua lile begi lililokuwa na pesa nyingi.
Kwa vile tulikuwa tumechoka sana kila mmoja alipumzika chumbani kwake ili baadaye tuweze kuzihesabu na kugawana. Nilikwenda chumbani kwangu na kujimwagia maji ili nijilaze kutokana kulala usingizi wa machugamachuga. Baada ya kuoga na kupanda kitandani na kulipitiwa na usingizi mzito.
*****
Sauti kali ya mlango kugongwa ilinishtua katika usingizi mzito nilijikuta nikifoka kwa ukali
"Ni ustaarabu gani huo?"
 
SEHEMU YA TANO​


Kwa vile tulikuwa tumechoka sana kila mmoja alipumzika chumbani kwake ili baadaye tuweze kuzihesabu na kugawana. Nilikwenda chumbani kwangu na kujimwagia maji ili nijilaze kutokana kulala usingizi wa machugamachuga. Baada ya kuoga na kupanda kitandani na kulipitiwa na usingizi mzito.
*****
Sauti kali ya mlango kugongwa ilinishtua katika usingizi mzito nilijikuta nikifoka kwa ukali
"Ni ustaarabu gani huo?"
SONGA NAYOO
Sauti kali ya juu toka nje uliniamuru nifungue mlango:
"Fungua!"
Nikiwa nimejifunga taulo tu nilikwenda hadi mlangoni na kufungua, nilishangaa kuona askari wenye bunduki wakiwa na mhudumu wa hoteli wakiwa mlangoni kwangu, nilishangaa na kuwauliza:
"Jamani kuna nini?" niliuliza kwa woga kidogo.
"Mwenzio amekwenda wapi?" askari aliyekuwa mbele aliniuliza.
"Mwenzangu nani?"
"Muuaji mwenzio."
Kauli ile ilinishtua na kujikuta nikibakia kinywa wazi na kukumbuka safari yetu ya usiku Callo alifanya mambo yake.
"Tunakuuliza muuaji mwenzako amekwenda wapi?"
"Kwa kweli sijui lolote wala mimi sio muuaji na sijui lolote kuhusiana na huyo mnayemtafuta."
Nilijitahidi kujitetea lakini hawakunielewa na kuamliwa nichukuliwe na kupelekwa polisi tayari kufunguliwa mashtaka la mauaji baada ya kuonekana Callo amekimbia na mimi kuwa naye siku ya tukio.
*************
Nilichukuliwa na kupelekwa polisi ambako nilifunguliwa mashtaka ya mauaji, pamoja na kujitetea hakuna aliyenielewa. Nilikaa ndani miaka miwili bila kuhukumiwa, Wakati naingia gerezani kumbe nilikuwa na ujauzito wa mwezi mmoja wa mwanangu wa mwisho. Nilijikuta mtoto wa kike kujiingiza kwenye kesi mbaya ya wizi na uuaji. Kibaya sijukua wanangu wanaishi maisha gani japokuwa niliacha fedha nyingi ya matunzo.
Nilimshukuru Mungu nilijifungua salama na mwanangu kukua katika hali nzuri kipindi chote nilichokuwa gerezani.
Siku zote nilijiuliza Callo alitakuwa amekwenda wapi na kwa nini alikimbia na kuniacha bila kunijulisha hatari ile. Mungu mkubwa baada ya kusota gerezani kwa miaka miwili. Nilitoka kwa msamaha wa Rais baada ya kukosekana ushahidi wa kutosha wa kunitia hatiani.
Nilitoka kwenye gereza la Butimba na kurudi hadi mjini na kwenda moja kwa moja benki angalau nichukue pesa kidogo za matumizi ili nijipange upya. Namshukuru Mungu nilikuta fedha zangu zaidi ya milioni 35. Niliona ndicho kipindi changu cha kurudi Dar kuungana na familia yangu.
Nilirudi Dar na kumshukuru shoga yangu kunitunzia wanangu kipindi chote nikiwa mbali naye. Nilifurahi kuwakuta wanangu wapo katika hali nzuri, nilimshukuru sana Mungu.
Fedha niliyokuwa nayo nilinunua nyumba kisha nilijifikiria kuanzisha biashara ya salon ili kujiingizia kipato. Kwa vile sikujua hali yangu ya mbele niliwapeleka watoto wangu shule ya kulipia ya kulala hukohuko kwa miaka mitatu ili nijipanga kwa kuamini mpaka ada ya miaka mitatu.
Niliamini mpaka ada inakwisha nitakuwa nimepata fedha nyingine.
*****
Baada ya kupumzika nilijikuta nikipata hamu ya kurudi kwenye kazi yangu japo sikuwa na shida ya kimaisha. Kwa vile jasiri haachi asili kukaa hivihivi nilishindwa nikajikuta nakuwa na hamu ya kuingia kwenye kazi yangu ya asili. Kwa kweli nilirudi kijiweni na kuendelea na kazi yangu kwa vile sikufanya kwa shida nilifanya biashara kwa kuchagua wateja.
Niliwapenda wateja wa ndani ya gari kuliko kwenda kulala naye, kwa kweli ile ilinisaidia kufanya mapenzi mepesi pia kupata malipo mazuri na kulala nyumbani.
Kwa kweli kazi niliifanya kwa kupenda huku ikiniongezea fedha ya matumizi ambayo ilinifanya nisitumie fedha zangu. Kwa vile nilikuwa peke yangu kwa kweli fedha niliyopata kila nilipotoka ilinitosha na nyingine kuweka ndani. Maisha yalikwenda vizuri huku nikifurahia mpangilio wangu wa biashara.
Siku moja nikiwa kijiweni lilikuja gari la kifahari na kusimama mbele yetu, kwa vile nilikuwa kibiashara ya kuchagua na si kukimbilia kama wenzangu. Kutokana na kujiamini na kutofanya kazi kwa njaa nilisimama nyuma yao, lakini mwenye gari alinitaka mimi. Nilipita mbele yao na kuonana na mzee aliyekuwemo kwenye gari ambaye alikuwa amevaa kofia ya pana.
“Ingia mrembo.”
Niliingia bila kusema kitu na kukaa siti ya mbele, baada ya kukaa mzee yule alinisamilia.
“Habari mrembo?”
“Nzuri.”
Japokuwa alikuwa mtu wa mzima umri wa baba yangu kwenye biashara yetu hakukuwa na shikamoo, akitaka kuamkiwa aende kwa watoto wake.
“Nikupatie shilingi ngapi?”
“Elfu hamsini.”
“Mpaka asubuhi?”
“Hapana huwa silali kwa mtu pia ukitaka mapenzi na mimi tunamalizana kwenye gari siku hizi wanaume haaminiki.”
“Kwa nini?”
“Wengi wamekuwa na tabia mbaya anakupeleka guest na kukulewesha kisha anakufanyia mchezo mbaya.”
“Aah! Binti mimi mtu wa heshima siwezi kufanya hivyo.”
“Wengi walisema hivyo, lakini mwisho wake nilijuta.”
“Sasa mapenzi ndani ya gari yana raha gani?”
“Hujawahi kufanyiwa?”
“Bado, napenda sana kitandani.”
“Basi leo jaribu kesho utanitafuta.”
“Poa ngoja nijaribu leo, lakini mbona gharama kubwa.”
“Hata huduma yake ni kubwa.”
Mzee mzima alipaki gari pembeni na kuteremsha suruali nusu mlingoti na kuanza kumpatia huduma ambayo ilimpagawawisha na kuniomba twende hotelini ili nimpe raha zaidi.
“Binti unajua, sijawahi kufanyiwa mchezo kama huu toka nizaliwe.”
“Mzee punguza mapepe leo hamu zako zote zitaishia humuhumu ndani ya gari.”
Niliendelea kumpa huduma mzee iliyompagawisha na kuniomba kesho tena nionane naye.
“Mrembo kazi unaijua badala ya elfu hamsini ninakupa laki mbili.”
“Asante mzee wangu, kwenye gari hivi kitandani si ungehonga nyumba.”
“Binti fedha ninayo na uzee wangu fedha niliyonayo nakula raha tu.”
“Na mama nyumbani?”
“Mama kachoka kawa kawa mti uliokauka unatia mapengo panga langu, lakini wewe binti laiini hata kwa wembe unakatika.”
“Kwa hiyo nikija mchana utanipa shilingi ngapi?”
“Japokuwa nilikuwa nataka kuondoka kesho lakini kwa ajili yako nitakupa milioni.”
“Weweee acha utani!” macho ya tamaa yalinitoka pima.
Tamaa iliniingia na kuitamani ile fedha lakini niliamini huduma niliyompa kwa usiku ule na malipo ya laki mbili si haba. Niliamini sikuwa na haja ya kurudi kijiweni baada ya kutoka kwa babu ningekodi gari na kurudi nyumbani.
“Kweli binti, raha nilizopata sikuwa kupata katika ujana wangu na wenzako wengi wanajali fedha kuliko huduma.”
“Kwa hiyo upo hoteli gani?”
“Selena.”
“Kesho nije saa ngapi?”
“Kuanzia saa nne asubuhi nitakusubiri wewe tu.”
“Poa, wacha niwahi home.”
“Kwa jinsi ulivyonifurahisha nitakuongezea laki ya nauli ya kukupeleka nyumba na nyingine ya kukuleta hotelini.”
“Asante mzee wangu.”
Kabla ya kuondoka mzee yule alinipa business card, ili kesho nikifika nimpigie simu kama yumo ndani. Niliichukua na kukodi teksi hadi kwangu huku nikifurahi siku ile kuwa yenye bahati. Nilipofika nilioga na kula kisha nilichukua pombe kali kwenye friji na kunywa kisha nilijilaza kuitafuta siku ya pili.
****
Asubuhi aliamka na kujiandaa kwa ajili ya kwenda kuonana na mteja wangu huku nikijiandaa kumpa penzi takatifu mteja wangu ili niendelee kula zaidi vitu vya yule mzee aliyekuwa akipata mapenzi ya kulipua. Siku hiyo nilijipamba kwa nguo nzuri yenye mvuto ambayo nilipoivaa kila mwanaume alinimezea mate.
Baada kuhakikisha nipo sawa nilichukua business card na kuitazama, jicho langu lilishtuka kukuta jina kama la baba yangu mzazi.
“Mmh! Ina maana majina yana fanana? Hapana labda siyo yeye ngoja nikamuone. Baba yangu hawezi kufanya vitu kama hivi.”
Nilijikuta nikiwaza hivyo, lakini akilini nyingine iliniambia nisiende moja kwa moja, nikifika nikae sehemu ili kumuona atakaye tokea isiwe baba yangu mzazi ukawa kizaazaa.
Baada ya kuamini nipo sawa nilitoka na kukodi gari mpaka Selena Hoteli kuonana na mwanaume wangu ambaye nilimchanganya kwa mapenzi. Moyoni nikipanga kumfanyia mambo makubwa mwanaume ambaye alionekana mgeni katika medani ya mapenzi. Pamoja na kupanga yale bado moyo wangu ulikuwa na wasiwasi na jina la yule mwanaume kufanana na la baba yangu mzazi, japokuwa tayari nilikuwa nimeishafanya naye mapenzi.
Nilipofika hotelini niliteremka na kuingia hadi mapokezi kisha nilipiga simu. Niliamini kwa jinsi nilivyokuwa nimevaa wigi na miwani isingekuwa rahisi kunitambua.
Baada kuketi kwenye kochi nilipiga simu ambayoiliita kidogo na kupokelewa mara moja kuonesha alikuwa ameshikilia simu mkononi.
“Haloo.”
“Haloo bebi,” nilijibu kwa pozi.
“Vipi umefika?”
“Ndiyo.”
“Basi njoo ndani chumba namba 220.”
“Hapana bebi nifuate sijawahi kuingia naogopa.”
“Basi ingia mpaka mapokezi.”
“Noo, bebi naogopa njoo nipo nje ya hoteli.”
“Haya nakuja umevaaje?”
“Jamani bebi jana tu umenipotea?” nilijishauwa mtoto wa kike.
“Si unajua ilikuwa usiku sikukutazama usoni.”
“Mi mbona nakukumbuka, nikukuona tu nakufuata.”
“Hakuna tabu nakuja.”
Baada ya kukata simu nilitulia huku nikiitengeneza vizuri miwani yangu kuhakikisha nampoteza atakayetoka kunifuata. Kilichonifurahisha zaidi kilikuwa kutonifahamu usiku ule, ile ilikuwa nafasi ya kumtambua kama ni baba au la, japokuwa niliamini baba yangu hawezi kuwa na tabia chafu kama zile.
Niliwa nimeinama nikisoka ujumbe kwenye simu, nilishtuliwa na sauti.
“Samahani binti.”
“Bila samahani,” nilijibu huku nikinyanyua uso wangu.
Moyo ulishtuka kidogo usimame, aliyekuwa amesimama mbele yangu ni baba yangu mzazi mzee Hans Mouses. Nilijitahidi kuficha hofu yangu na kumtazama kupitia msaada wa miwani.
“Mgeni wangu?” baba aliniuliza bila kujua niliyekaa pale ni mwanaye wa kumzaa.
“Hapana,” nilikataa huku nikitikisa kichwa kwa msisitizo.
“Ok, samahani.”
“Bila samahani.”
Mzee Hans Mouses aliyekuwa amevaa penzi ya maua na flana kwa juu na chini alivaa sandoz aliondoka kuelekea nje. Hapo ndipo nilipoamini kumbe jana yake nilitembea na baba yangu mzazi.
Lakini nilitaka kupata ukweli, baada ya kunipa mgongo akielekea nje niliipiga simu yake.
Baada ya kuita nilimuona akipokea huku akitokomea.
“Haloo mpenzi upo wapi?” aliniuliza.
“Wee upo wapi?”
“Mi ndo’ natoka nje ya hoteli.”
“Nikwambie kitu mpenzi?”
“Niambie tu.”
“Lakini naomba usikasilike.”
“Siwezi niambie tu.”
“Nimeondoka nyumbani kwa haraka ya kukuwahi nimeondoka na ufunguo wa geti, hivyo nimepigiwa nirudishe funguo ili baba atoe gari,” nilitengeneza uongo.
“Ooh! Kwani unakaa na nani?”
“Na wazazi.”
“Kwa hiyo?”
“Naomba nifikisha ufunguo nyumbani na kurudi mara moja.”
“Basi haina tatizo, leo nipo kwa ajili yako.”
“Poa ila samahani kwa kuonekana mswahili.”
“Usihofu bebi wahi basi.”
“Ok.”
Nilikata simu na kutulia huku macho yangu nikiyaelekeza mlango wa kutokea nje. Baada ya muda nilimuona baba akirudi kuonesha anaamini kabisa mpenzi wake amerudi nyumbani.
Baada ya kunipita na kuelekea chumbani nilinyanyuka na kuelekea nje. Nilipofika nje nilikodi gari hadi nyumbani, nilipofika nilijilaza kitandani kichwa kikiwa kinaniuma baada ya kugundua nimefanya mapenzi na baba yangu mzazi kwa sababu ya kufanya mapenzi gizani. Nilijiuliza kama asingenipa busness card ingekuwaje pale ambapo ningekwenda moja kwa moja chumbani na kumkuta baba amejaa tele.
Nilijikuta nikipata wazo lingine na kujinga kwa kujilaumu kuondoka, nilitakiwa kwenda chumbani kwake ili aone faida ya kunifukuzwa kwake.
Lakini wazo kama lile sikukubaliana nalo, niliamini nilitakiwa kumuheshimu mzazi wangu kwa vile kosa lilikuwa langu na tulio la jana yake litabaki kama bahati mbaya.
Sikutaka kujilaumu kwa kitendo kilichotokea kwa vile niliamini ilikuwa ajali kazini.
Nilijikuta nikijawa na mawazo kuhusu baba yangu kujiingiza kwenye tabia ya kutembea na changudoa hasa nikizingatia alikuwa akiwalaani watoto wa watu waliokuwa wakijiuza.
Nilikumbuka jinsi nilivyokuwa naye jana yake ilionesha tabia ile ni mtindo wake kila alipokuja Dar na hakupata mwanamke anayejua mapenzi kama mwanaye aliyefanya naye mapenzi bila kujua.
Moyo ulinituma lazima nimpigie simu baba na kumueleza kitendo chake cha kunifukuza na ushahidi wa kutembea na mwanaye kwenye gari lake. Nilijua atashtuka lakini sikuwa na jinsi zaidi ya kuusema ukweli.
Kutokana na kichwa kuchanganyikiwa nilikwenda kwenye friji na kuchukua pombe kali na kunywa kwa fujo kisha nilijilaza kwenye kochi kwa vile niliamini siku ile ilikuwa ni nuksi kwangu.
***
Nilishtuka saa moja usiku njaa ikiniuma kama kidonda, nilikwenda kwenye bar ya jirani na kuchukua mchemsho kisha nilirudi ndani na kuushambulia wote kutokana na njaa ya toka asubuhi.
Baada kushiba nilikwenda kuoga kisha nilijilaza kwenye kochi na kuwasha tivii kuangalia vipindi huku nilichukua simu yangu niliyokuwa nimeiacha juu ya kochi.
Nilikuta missed calls zaidi ya ishirini na sms zaidi ya tano zote zikuwa za baba.
Nilifungua upande wa ujumbe mfupi na kukutana na ujumbe wa lawama wa kwanza ulisema:
Bebi mbona kimya, kwa nini hupokei simu?
Wa pili ulisema: Vipi, kuna tatizo?
Wa tatu: Nijulishe basi mpenzi ili nijue umepatwa na nini?
Nilipotaka kuufungua wa nne simu iliingia nilipoangalia kwenye kioo alikuwa baba Mzee Hans Mouses. Nilijiuliza nikiipokea nitamjibu nini.
Lakini niliamini lazima nimpe makavu live kisha sionani naye tena. Niliamini ukweli nitakaompa ataondoka akijua kabisa kitendo alichonifanyia cha kunifukuza kama mbwa ni cha kinyama na matokeo yake tukafanya mapenzi bila kujuana.
Wakati nikiwaza yale simu ilikatika, niliichukua na kuitazama huku nikiwa na mambo mawili nimpigie au niache. Kabla sijapata jibu simu iliita tena. Nilibofya kwenye kitufe cha kupokelea na kuweka simu sikioni.
“Haloo.”
“Haloo, bebi umefanya nini? Yaani hapa nimeshindwa kuondoka kwa ajili yako umepatwa na nini mpenzi?” baba aliuliza kwa shauku ya kujua.
“Kuna tatizo,” nilimjibu.
“Tatizo gani?”
“Kuhusu wewe.”
“Mimi?” alionesha kushtuka.
“Ndiyo.”
“Tatizo gani?”
“Samahani wewe ni kweli unaitwa Mzee Hans Mouses?”
“Bebi swali gani hilo ikiwa business card nilikupa, kuna tatizo?”
“Naomba ujibu swali langu kama lilivyokuja.”
“Ndiyo.”
“Unakaa Arusha?”
“Ndiyo bebi, mbona unaniuliza hivyo?”
“Utajua tu, Moureen unamjua?”
“Moureen gani?”
“Moureen Hans Mouses.”
“Si..si..simjui,” alipata kigugumizi kidogo.
“Mbona kama unasita?” nilimuuliza.
“Hapana nilijitahidi kumkumbuka lakini kumbukumbu haiji.”
“Mouses Hans Mouses naye humfahamu?”
“Huyo namfahamu.”
“Unamfahamu kivipi?”
“Mwanangu wa kwanza.”
“Yupo Marekani?”
“Ndiyo, umejuaje?”
“Si kujuaje bali kukushangaa kumjua mkubwa mdogo usimjue.”
“Ooh! Kumbe Moureen aliyekuwa binti yangu?”
“Ndiyo.”
“Namfahamu,kafanya nini?”
“Kwa sasa yupo wapi?”
“Sijui.”
“Kwa nini ujue mkubwa tena mtoto wa kiume usijue mdogo ambaye ni mwanamke anayetakiwa kulindwa.”
“Alifanya upuuzi wake nikamfukuza.”
“Akirudi leo kukuomba msamaha utamsamehe?”
“Kama amekutuma mwambie sitaki kuona hata kivuli chake.”
“Ukimuona utamkumbuka?”
“Sina shida ya kuonana naye.”
“Sasa naomba unisikilize vizuri, nina imani simu yako imejaa salio hivyo unisikilize kwa kituo ili mwisho tujue tutafanya nini?”
“Hakuna tatizo.”
Nilianza kumpa historia yangu yote tangu aliponifukuza mpaka siku nilipofanya naye mapenzi bila kujua na kushtuka baada ya kuisoma business card yake aliyonipa usiku.
Niliendelea kumueleza aliponiuliza aliponikuta mapokezi na kumkatalia huku wasiwasi wangu juu ya kutembea na mzazi wangu ukijidhihili.
“Hata siamini siwezi kutembea na mwanangu ,” baba aling’aka.
“Ndiyo umeisha tembea naye, najua ningekuja chumbani kwako ungeweza kupata presha bure na kuonekana nimeua.”
“Hapana siwezi kutembea na mwanangu.”
“Ndo umetembea naye kazi yangu ya kuuza utamu wa mwili kipi unaona ajabu?”
“Mungu wangu, basi naomba tuonane.”
“Ili?”
“Sitaki jambo hili lifike mbali.”
“Mbali wapi?”
“Jamii ikijua nitaonekana sina maana.”
“Umesema hutaki kuona hata kivuli changu, tuonane ili iweje?”
“Kwa kilichotokea lazima tuonane, tujue tufanye nini kuiziba siri hii ya aibu.”
“Katu sitaonana na wewe mpaka nakufa.”
“Moureen najua umekasirika mama, naomba tuonane nipo tayari urudi nyumbani na kukusamehe.”
“Sasa hivi na maisha yangu na familia yangu, sihitaji msaada wa mtu.”
“Nakuahidi kukupatia kiasi chochote ili siri isimfikie mama yako.”
“Nimwambie ili iweje, nilitaka kukueleza unyama ulionifanyia matokeo yake Mungu amekulani na kujikuta ukifanya uchafu na binti yako wa kumzaa.”
“Nisamehe mwanangu mbona najuta.”
“Nina imani umelewa, kwa hiyo naomba kuanzia leo usinipigie wala usinijue, ukaribu wetu uliisha toka uliponifukuza kwako kama mbwa.”
“Hapana tunaweza kukaa tukayamaliza.”
“Na nani, kwanza sasa hivi si mtoto bali mwanamke wako wa kujipozea ukiwa nje ya Dar najua unataka kuniulia mama yangu kwa kulitafuta gonjwa.”
“Usifike huko mwanangu.”
“Nina imani nimeeleweka naomba tuishie hapa ukija jnitakuhudunmia kama mteja na si baba yangu.”
“Nakuahidi kuanzia leo sitatoka nje ya ndoa yangu nimekoma.”
“Hayanihusu.”
Sikutaka mazungumzo mengi nilikata simu na kuizima kabisa kisha nilikwenda kwenye friji na kuchukua pombe kali na kunywa mpaka nikapoteza kumbukumbu.
***
Baada yatukio lile la aibu niliamua kupumzika kazi ile kwa muda na kuendelea na shughuli zangu. Lakini siku zote nilizoamua kupumzika nyumbani sikujisikia raha kabisa nilikuwa kama mvuta sigara. Nilikuta nikipata hamu za kurudi tena kijiweni hata nimpate mwanaume wa kumpa bure ili tu nijisikie raha.
Niliamua kutoka siku moja moja kwa hamu sikuwa nikitoka kwa shida. Pamoja na kutoka kwa hamu sikutaka nitoke kapa bali nipate hata mtu mmoja ambaye angekidhi haja zangu na kufanya siku yangu iishe vizuri.
Siku moja nikiwa kijiweni siku ambayo ilikuwa kigumu, hakuna aliyepata mpaka tukajiuliza labda serikali imepiga marufuku.
Majira ya saa sita na nusu iliingia, ngoma ilikuwa nzito na kibaridi kilikuwa kikali kilichotuingia mpaka kwenye mifupa. Tukiwa tunapanga jinsi ya kurudi nyumbani, gari aina ya Toyota Land Curuser lilisimama pembeni yetu na kushushwa kioo na sauti ilitoka ndani.
"Hei njoo mara moja."
"Nani mimi?" tuliuliza kwa pamoja kila mmoja alijishika kifuani kwake.
"Wewe."
"Nani?" tuliuliza kwa pamoja.
"Wewe mwenye gauni jekundu," hakuwa mwingine ila nilikuwa mimi.
Nilichepua mwendo na kuingia kwenye gari kwani mlango tayari ulikuwa umefunguliwa. Baada ya kuingia alitaka kuondoa gari nilimuuliza.
“Mbona unaondoka bila kuelewana?”
"Unataka kiasi gani mrembo?"
"Unataka huduma gani?" nilimuuliza.
"Nataka unitoe chozi lisilo na kilio."
"Elfu 30," nilipunguza ili nipate cha kulalia.
"Punguza nyingi."
"Tena nimekupunguzia hata sijui una shetani gani, hebu angalia mtu kama mimi utanipa kiasi gani?"
Nilisema kwa sauti ya kubana huku nikinyanyua gauni langu fupi na kuuweka mwili wangu nje, kufanya vile lilikuwa pigo mujarabu lililomfanya mzee wa watu mimacho imtoke na kumeza mate ya uchu.
Baada ya kukubaliana alitoa elfu therasini keshi na kulisogeza gari sehemu nzuri. Mtoto wa kike niliteremsha suruali nusu mlingoti na kumpa huduma sitahiki iliyomfanya mzee wa watu atatalike juu ya kiti kama kakalia siafu. Baada ya kumliza chozi lisilo na msiba alichanganyikiwa na kuniuliza:
"Sasa mrembo una kondom ili angalau unipige funda moja ya maji ya dafu, itakuwa kiasi gani?"
Kweli samaki alikuwa kameza chambo na ndoana, mzee alimeza vyote kwa mpigo na kumshika tumboni, Baada ya kilio kisicho na msiba na kuchanganyikiwa na umbile langu. akabadili anataka funda moja ya maji ya dafu. Sikutaka kumlazia damu niliongeza bei.
"Utaongeza kama ile."
"Okay, nipe huduma ili niwahi kulala."
"Basi ongeza kiyoyozi nikupe raha," nilimueleza huku nikimkata jicho la kuumaliza, kwa kazi ile nilikuwa changudoa wa kimataifa.
Aliongeza kiyoyozi na kufanya ubaridi ndani ya gari kuongezeka. mzee wa watu baada ya kuchimba udongo muhogo ilionekana na kukaa mkao wa “mimi tayari kazi kwako.”
Kama ilivyokuwa kawaida yangu nilitaka kumliza mzee mzima ili aelewe kote alipopita alikuwa amekosea. Nilianza kuwajibika mtoto wa kike, mpaka tunapumzika mzee wa watu alikuwa hoi, nimuona akiniangalia kama kaniona nina tofauti na wengine aliowahi kuwaona.
“Mmh! Mrembo unajua.”
“Hujawahi nini kukutana na machejo adimu?”
"Sijawahi, mrembo laki inakutosha?" mzee wa watu alipagawa na kuropoka.
"Mmh ongeza kidogo," japo tulikuwa tumekubaliana aongeze elfu 30 lakini huduma niliyompa nilijua atajinyonga mwenyewe nami nilijifanya haitoshi.
"Basi nitakupa laki na nusu, kesho nitakata kitu kamili nakuomba usiende na mtu yoyote unisubiri sawa mrembo?" mzee alichanganyikiwa.
Alisema huku akinichezea mashavu zangu laini na kunipa laki na nusu kisha aliniongezea elfu 20 za nauli ya kurudisha nyumbani.
"Mrembo usisahau basi inaonekana u mtaalamu wa kutikisa minazi na kufanya madafu kuanguka na kupasukia kichwa bila maumivu na kukufanya usikie utamu usio kikomo."
"Wewe tu, hapa ukigusa hutoki yaani gusa unite."

Itaendelea
culbby Analyse amina mabata Pricetx Sir Good
 
Last edited by a moderator:
kazi nzuri kijana..endelea hivyo hivyo ufike mbali zaidi... Casuist
 
Last edited by a moderator:
SEHEMU YA SITA


Basi nitakupa laki na nusu, kesho nitakata kitu kamili nakuomba usiende na mtu yoyote unisubiri sawa mrembo?" mzee alichanganyikiwa.
Alisema huku akinichezea mashavu zangu laini na kunipa laki na nusu kisha aliniongezea elfu 20 za nauli ya kurudisha nyumbani.
"Mrembo usisahau basi inaonekana u mtaalamu wa kutikisa minazi na kufanya madafu kuanguka na kupasukia kichwa bila maumivu na kukufanya usikie utamu usio kikomo."
"Wewe tu, hapa ukigusa hutoki yaani gusa unite."
SON GA N AYO
Niliangana naye kwa kukubaliana tukutane kesho pale pale, aliponikuta majira ya saa nne usiku.
Nilitereka kwenye gari na kuwafuata wenzangu ambao walikuwa wamepigwa baridi ya sheria yake. Kwa vile walikuwa wameliwa na mbu bure niliwapa elfu arobaini wagawane ili wapate nauli ya kurudi nyumbani. Nilikodi teksi na kurudi nyumbani.
Niliamini mwenye nazo ziku zote anaongezewa, wenzangu waliokwenda kwa njaa alitoka kapa tofauti na mimi niliyekwenda kwa hobi zangu nilipata tena fedha ya kutembea na wanaume zaidi ya watano lakini niliipata kwa muda mfupi.

***


Siku ya pili ilikuwa lazima nipumzike, lakini nilikuwa na mawazo mengi juu ya mwaliko wa babu wa kwenda kuonana naye. Niliamini ile ni kazi nyepesi yenye malipo mazuri tena ya mteja mmoja maalumu. Niliamua niende nikaonene naye. Kwa vile tulikubaliana tukutane saa nne usiku nilitoka nyumbani saa tatu usiku na kukodi teksi mpaka eneo la tukio.
Nilifika eneo la kazi na kukuta shoga zangu wakiwa katika hinyahinya ya kukimbizana na wateja. Waliponiona alinishangaa.
"Shoga za jana zilikuwa nyingi nini! Zikakufanya usahau shambani?'
"Walaa nina oda special."
"Wewee!" walishtuka wote.
Kabla sijajibu kitu gari la mzee wangu lilisimama mbele yetu na kufanya shoga zangu walikimbilie. Sikusumbuka naona nilisogea mlangoni na kuwaeleza wenzangu:
"Jamani vitu vya watu hivi."
Nilifungua mlango na kuingia ndani ya gari, baada ya kufunga babu aliondoa gari. Nilishangaa gari kuondoa bila makubaliano . Gari lilikata mitaa na kuliona gari likiendelea Mikocheni. Ile ilinitisha na kujiuliza babu yule ananipeleka wapi.
Wazo langu la haraka lilikuwa labda ananipeleka guest ili nikampe huduma kutokana na makubaliano ya siku ya jana. Sikutaka kumsemesha lolote zaidi ya kusubiri kitakacho tokea kwa kuamini hata bila mapatano nilijua nitapata malipo manono. Baada ya mwendo wa robo saa gari lilisimama mbele ya geti la rangi nyekundu.
Baada ya kupiga hodi geti lilifunguliwa na gari liliingia ndani kwenye jumba moja la kifahari.
Mzee Yule alilisimamisha gari na kuteremka kisha alizunguka upande wangu na kunifungulia mlango kama Muheshimiwa.
"Mjukuu karibu."
"Asante babu."
Niliteremka kwenye gari na kuongozana naye moja kwa moja ndani ya nyumba ambako nililakiwa na sebule ya nguvu iliyokuwa na kila kitu. Japo kwa upande wangu sikuwa mgeni wa sehemu kama zile ilikuwa kitu cha kawaida kwangu.
Kilichonishangaza sehemu ile kuwa tofauti na hoteli nilizozizoea ilikuwa kama nyumbani kwa mtu.
Baada ya kuingia sikutaka kukaa mapema kwa vile sikujua pale ni wapi, Mzee aliponiona nimesimama bila kukaa aliniuliza.
"Vipi mjukuu mbona hukai?"
"Kwanza hapa wapi?" nilimuuliza sikutaka kukaa kichwakichwa, ,siyo unaingia nyumba ya mtu hujui anakaa na nani unajiweka kama kwako utajikuta unakobolewa na maji ya moto cha mtu mavi.
"Aah mjukuu hapa ni kwangu."
"Na mkeo yupo wapi?"
"Ningekuwa naye ningekuleta hapa?"
"Ni mara ngapi nimeona wanaume wanawapeleka mahawala wao majumbani kwao na kumteremsha mkewe kitandani?"
"Siyo mimi, sina mke."
"Muongo babu! Mtu mzima kama wewe tena mwenye pesa ukose mke?"
"Ni kweli nilikuwa na mke ambaye alifariki miaka mitano iliyopita."
"Nini kilichomuua?"
"Ajali ya gari aligongwa akiendesha."
"Ooh! Pole sana, kwa nini muda huo hujaoa?"
"Nimejitahidi kutafuta mwanamke wa mfano wake wengi wamekuwa wana tamaa ya mali yangu si mapenzi ya kweli."
"Na wote uliwaleta kwako?"
"Hapana wewe ni wa kwanza"
"Kwa nini umenileta mimi?"
"Una tofauti kubwa na wanawake wengi una tabia ya tafauti kubwa, ni msikivu mwenye huruma mwenye uelewa."
"Kwa hiyo umenileta hapa ili iweje?"
"Kukuleta hapa ni heshima kubwa kwako vile vile ni kulilinda penzi lako ambalo kwa kipindi hiki kwangu ni muhimu sana."
"Kwa hiyo unataka kunioa?"
"Ndiyo maana yake."
Mmh! Kauli ile ilinifanya nijiulize nini kinachofuata kwani siku zote upatapo neema lazima kuna balaa linakuja mbele.


***********
Kama kawaida yangu nilijikuta nikiangukia mikononi mwa mikono ya mzee Kupe. Kuanzia hapo ile kazi ya kulinda usiku niliachana nayo na kuwa mke mtarajiwa wa mzee Kupe aliyekuwa na ana kila kitu kwa maisha ya mwanadamu.
Kutokana na utajiri ya yule mzee na mihangaiko yangu ya kuhatarisha maisha yangu katika biashara ya ukahaba nilikubali kuolewa. Mzee Kupe hakutaka makubwa alinioa baada ya miezi miwili na kuwa mkewe wa halali kwa sherehe uliyohudhuliwa na watu wasiopungua hamsini.
Niliyaanza maisha kama malkia kwa kupata kila kitu nilichokikosa katika maisha yangu. Pamoja na pesa na utajiri wa mzee Kupe niligundua alikuwa na mapungufu makubwa kitandani. Alikuwa mtu wa kunywa dafu moja, zaidi ya hapo hulala kama gogo hata jogoo huwa amelala wakati ndiyo kwanza kumekucha.
Nilijikuta kila siku kila mnilipokutana na mzee Kupe ilikuwa sana na kuchambia pilipili kutokana kuacha njiani kila siku. Mtoto wa kike nilikuwa napata taabu kwa kukasa usingizi kufikia hatua ya kujikanda na maji ya moto kama nimetoka kujifungua.
Mzee Kupe alijitahidi kunipa kila nilichokitaka lakini kwenye majambozi alikuwa mchovu wa kutupa. Nilijikuta nikipata taabu kila siku kwa kuachwa njiani wakati mwenzie mambo ndiyo kwanza yalikuwa yakianza.
Mateso yalipozidi nilijikuta nikipata wazo la kutafuta mtu wa nje kunipunguzia mateso. Kutokana na kuwa na uwezo niliona ni upumbavu kuendelea kuumia kukosa chakula cha nafsi.
Niliamini kupitia pesa nilizopewa na mume wangu ningepata kijana mmoja shababi ambaye angenikamua vilivyo na kumlipa pesa zake. Kama kawaida nikiwa kwenye gari langu la kifahari nilisimamisha kwenye kijiwe ambacho vijana wengi hukaa kwa ajili ya kupiga porojo bila kazi yoyote. Nilipofika pale kijiweni nilisimamisha gari na klumtafuta kijana aliyeonekana mtanashati.
Baada ya kuridhika na kijana mmoja niliteremsha kioo na kupiga honi, waliopogeuka niliita wote waliuliza
"Nani?"
"Huyo mwenye mkanda nje," nilimchagua kijana mmoja.
Kijana mmoja alikuja hadi kwenye gari alipofika nilimfungulia mlango. Naye bila ubishi aliingia kwenye gari.
"Naomba ufunge mlango," nilimwambia.
Yule kijana alifanya kama nilivyo muelekeza nami nilikanyaga mafuta.
"Samahani unafanya kazi gani?"
"Sifanyi kazi yoyote" alinijibu akinitazama usoni.
"Mbona umependeza hela unapata wapi?"
"Napewa na wazazi."
"Sasa sikiliza kuna kazi moja nataka kukupa ya muda mfupi ukifanya vizuri nitakupa pesa nyingi ambayo itakufanya uachane na kuwategemea wazazi wako."
"Ni kazi gani?"
"Utaiona si tupo pamoja."
Wakati huo nilikuwa napiga honi kwenye geti la nyumbani kwangu. Baada ya kufunguliwa na mlinzi Mmasai, niliingiza gari mpaka sehemu ya kuegeshea magari niliteremka na yule kijana ambaye alionekana hajiamini.
"Ondoa hofu jisikie kama upo nyumbani" nilimuondoa hofu
"Hakuna tatizo sister."
Nilimkaribisha sebuleni na kumuuliza kinywaji gani anatumia, sikuwa na wasi kutokana na mzee wangu kunijulisha atakuwa na kikao kitakachomfanya arudi usiku. Hakuwa mtu muongo wa kusema uongo akisema atarudi saa fulani basi muda ule ule hurudia au kukupigia simu kukujulisha dharula yoyote.
Siku zote si wanaume ambao hutege tetele kwa kumwaga mtama mwingi ili kunasa kwa urahisi. Akiwa anapata kinywaji nilimuuliza:
"Hivi katika maisha yako ya kila siku lini ulipata pesa nyingi?"
"Mmh hata sikumbuki."
"Kiasi gani?"
"Mmh kama elfu 50."
"Kwa kazi gani"
"Kwa kazi za kupewa na dingi."
"Sasa mimi leo nina kazi ndogo ambayo naimani utaifanya kwa masaa mawili hata moja kama utaifanya vizuri na malipo yake ni laki moja."
"Ha! kwa kazi gani hiyo?" alishtuka.
"Naomba unifuate."
Niliongozana naye hadi chumba cha wageni, baada ya kuingia chumbani nilivua nguo zote na kubakia mtupu mbele ya yule kijana ambaye alionekana kunishangaa. Mkononi nilikuwa nimeshikilia laki moja taslimu na kumkabidhi.
Akiwa bado ameshangaa nilianza kumvua nguo, niliyasikia mapigo ya moyo ya yule kijana yakifuatiwa na jasho jingi. Kutokana na kuwa na uzoefu nilijua kijana alipoteza uwezo wa kujiamini.
Huenda ulitokana na kuamini mwanamke mzuri kama mimi ni chakula cha watu wenye pesa na kuisahau mwanamke yoyote ni nyama kwa mwanaume mwenye kisu kikali. Japokuwa kisu cha mume wangu kilikuwa butu kama utachinja mnyama basi lazima utakula kibudu.
Kwa sauti iliyohitaji huduma ya haraka ambayo ingeokoa maisha yangu nilisema
"Naomba unikate kiu nitakuongezea zaidi ya hizi."
Mtoto wa kiume hakuwa na muda wa maandalizi aliudandia mnazi kama mwizi aliyevamia shamba la mtu kuogopa kukamatwa.
Alianza kuutikisa mnazi ambao haukuchelewa kuangusha dafu lililoniangukia kichwani na kunifanya niamini nilichokitafuta ndicho chenyewe. Nami kama kawaida sikuwa nyuma nilikwenda naye sambamba.
******
Kila dakika zilivyozidi kwenda nilitamani kulia kwa raha kutokana na yule kijana kuonekana kunimudu vilivyo. Maruhani yangu yalianza kupanda na kutakiwa yateremshwe, lakini ajabu kijana wa watu ndio kwanza alianza kupunguza kasi na kunifanya nifoke kwa sauti
"Pumbavu utaniuzi jitahidi unifikishe angalau safari moja nyingine."
"Sister nimechoka," alisema kwa sauti ya mtu aliyebeba mzigo mzito.
"Kwa hiyo unataka kuniambia nini?" nilimuuliza kwa hasira.
"Kwa leo inatosha."
"Nooo! Haiwezekana kama ulijua huwezi kuniukuna kwa nini umenichambia -----, sikwezi kukuruhusu uondoke lazima unikune," nilisema kwa hasira.
"Labda kesho, hapa nilipo siwezi kuendelea zaidi ya hapa hata leo nimejitahidi, mimi mwisho madafu matatu lakini leo nimeangusha madafu matano."
"Madafu gani hayo si vidaka dafu gani halina maji, ili tuelewane naomba unisindikize nami nimwage trip moja ya mchanga."
"Siwezi utanisamehe kama hela yako baki nayo."
Mmh! mtoto wa kike mimi ndio naanza kuchanganya mwenzangu kamaliza na kuendelea hawezi tena. Nilijitahidi kumbembeleza huku nikimlilia. Najua mtacheka au kuniona mtu wa ajabu.
Nilimpigia magoti abadili msimamo wake na kumuahidi kumuongezea laki nyingine
"Sio kwamba sitaki siwezi tena kuendelea naomba niondoke."
Nilijitahidi kumrudisha kwenye hali ya kawaida kwa kutumia ujanja wangu wote na ujuzi wangu kwa kuweza kumgusa sehemu zenye msisimko. Mtoto wa kike nilihaha huku jasho likinitoka kama maji nikijitahidi kumtoa nyoka pangoni alipogoma kutoka.
Simu yangu ya mkononi ililia niliichukua nikiwa sina nguo yoyote mwili labda ingeamsha hisia za kuutamani mnazi wangu ambao ulikuwa na kila sifa ya kupandwa na mkwezi mzuri.
Nilipoangalia namba zilikuwa za mume wangu, moyo ulinishtuka kidogo. Nilitoa hofu na kujirudisha kwenye hali ya kawaida kabla ya kuipokea
"Hallo honey"
"Ooh! My Sweet vipi upo nyumbani?"
"Nisiwepo nyumbani niende wapi mpenzi wangu, upo wapi?"
"Sipo mbali na nyumbani nipo hapa jirani kwenye super market, nikuletee nini mpenzi wangu."
Kauli ile nusra simu iniponyoke kwa mshtuko na kujikuta nikiuliza tena ili nimuelewe vizuri."
"Nipo hapa jirani na nyumbani au nikufuate uje uchague ukitakacho?"
"Mmh! Hebu subiri," nilikata simu na kumuomba yule kijana avae haraka na kutoka.
Baada ya kuvaa nilimtoa hadi mlangoni na kumuomba atoke, naye alifanya vile na mimi kukimbilia bafuni kuoga. Nilioga haraka na kurudi hadi ndani ambako nilivaa gauni langu jepesi la usiku na kutoka kuelekea super market.
Nilimkuta akiwa amekasilika akijitayalisha kutoka ndani ya super market. Aliponiona aliniuliza kwa sauti ya juu kidogo.
"Mpenzi muda wote ulikuwa wapi au haukuwepo nyumbani?"
"Mmh! Mpenzi muda unanipigia nilikuwa nimelala, hivyo nisingeweza kuja bila kujimwagia maji ili kuondoa uchovu."
"Mbona hukunijulisha?"
"Nilifanya vile ili kukuwahi nisamehe mpenzi wangu kama nimekuudhi," nilijifanya kuomba msamaha.
Tuliyamaliza na kununua vya kununua na kurudi ndani mwetu, mtoto wa kike japokuwa nilijua safari nusu niliyokwenda haitafika kamili zaidi ya kuniongezea robo.
Usiku mambo yalikuwa yale yale na kunifanya nizidi kuwa kwenye wakati mgumu na kujuta kuolewa na mzee kama yule.
****




Siku ya pili kama kawaida yangu baada ya mume wangu kwenda kwenye mihahaiko yake nilitinga tena kijiweni kumfuata kijana mwingine na kuondoka naye hadi kwangu.
Mmh! Si ya kusema yaani nilijuta kumchukua ilikuwa sawa na kunichambia pilipili. Sijui niseme nini ili mnielewe, yaani mwenzie nikiwa na kimuhemuhe cha kupandishwa juu ya mnazi.
Sikuamini yaani wakati ndio najiandaa kupandisha mashetani ili ayapunge vizuri, mwenzangu ndio kwanza alikuwa akimwaga mzigo na kutulia.
Kibaya zaidi baada ya kumwaga mzigo mnazi ulilala dolo, mwanzo nilidhania labda ni kupasha mwili nguvu kumbe mwenzangu ndio kamaliza kila kitu.
Kila niliponyanyua mdomo na kifaru ili kinipige lakini wapi mkonga ulikuwa umelala chini na haukuwa na dalili zozote za kunyanyuka.
Mtoto wa kike sikukubali kirahisi kupakwa shombo nilimchezea niwezavyo kwa mikono na mdomo wapi niliishia kunyonya mafuta lakini gari liligoma kuwaka. Nilihangaika kwa kila mtindo nilijua hata wa kugusanisha positivu na negativu labda umeme ungeshtua lakini wapi.
Wakati huo nilikuwa kwenye hali mbaya kwani maji yalikuwa yamejaa kisimani mpaka yanamwagika na kuweka michirizi kwenye mapaja. Nilijikuta nikilia peke yangu huku nimekaa pembeni ya yule kijana ambaye naye aliangalia chini kwa aibu.
Baada ya kuhangaika bila mafanikio kumuamsha jogoo aliyegoma kuwika kwa zaidi ya masaa matatu. Nilikata tamaa na kukubali matokeo kwa kujiona mwanamke nimeingia choo cha juu cha kiume nitajisaidia vipi?
Nilimuamuru avae na kuondoka kwa vile hakuwa na faida kama mti wa mpapai dume ambao hauzai matunda haufai kwa kuni haufai hata kwa kivuli.
**********
Nilijikuta nikijiingiza kwenye tabia ya kuwa mama huruma kwa kutafuta vijana mtaani kugawa uroga kwa kuwapa pesa ili kuhakikisha nakidhi haja zangu. Lakini nilikuwa sawa na kubeba maji kwenye gunia, kila niliyemgusa alishindwa kuniridhisha kikamilifu.
Lakini kidogo njia ile ilinisaidia kupunguza maumivu ya wadudu wadogo wadogo. Najua mwenzangu kila ninachokisema unakunja uso na kunionea huruma eti mwanamke kama mimi mwenye uzuri wa kusifika pia kazi naijua ya kumtoa kamasi mwanaume.
Pia nina mwanaume mwenye uwezo wa pesa ambazo ninaweza kuzila mpaka nakufa na wajukuu zangu wasingeweza kuzimaliza. Lakini lazima niwe mkweli toka moyoni mwangu kuwa nimekuwa mtumwa wa ngono kutokana na kuifanya biashara ya ukahaba kwa muda mrefu.
Lakini kibaya zaidi kilichonifanya niwe mtumwa wa ngono ilitokana na kutumia wa dawa za kuongeza nguvu kitu kilichonipelekea kutaka kukutana na mwanaume aliyeshiba na si mzee wangu.
Ni kweli mume wangu ana uwezo wa kipesa lakini alikuwa hana kitu muhimu ambacho ndiyo ugonjwa wangu. Mzee Kupe alikuwa kama bata akigusa hanyanyuki tena na kunipa mateso kila nilipokutana naye na kunilazimisha nijikande na maji ya moto kama nimejifungua.
Kwa upande wangu uamuzi wangu niliuona una maana kubwa kwangu kwani kama shamba lilimshinda babu Kupe wapo vijana wenye nguvu za kuweza kumsaidia kupitia pesa zake mwenyewe.
Kwa maisha niliyo yazoea hata mwanaume asiwe na kitu lakini akinishika nikashikika moyo wangu unajaa furaha na kujiona nina raha kuliko kiumbe chochote nikikohoa naitikiwa.
Niende wapi zaidi ya kumlinda mume wangu kwa kumpa mahaba motomoto ambayo yatamchanganya akili kwa kujituma muda wote wa mchezo huku nikimpa maneno matamu ya kumtoa nyoka pangoni.
Nilijiona sawa na gari zuri lililokosa dereva mzuri mwenye kujua kulikimbiza bila huruma wakati barabara inaruhusu. Sikuwa na njia nyingine ya kutoka nje ya ndoa ili kukidhi haja zangu.
Na haya nisemayo ni yangu peke yangu unisifuate kwani ndoa ni muhimu ndugu yangu.
*******************
Siku moja mume wangu alirudi nyumbani akionyesha kuna kitu kinamsumbua akilini mwake, lakini kila nilipomuuliza alisema yupo kwenye hali ya kawaida japokuwa niliamini hakuwa kwenye hali yake ya kawaida.
Sikutaka kujisumbua kwa kuuliza kitu kisicho nihusu kwa kuamini huenda ni kwenye shughuli zake. Japokuwa nilitakiwa mkewe kujua na kumliwadha, lakini kwa vile nilijitahidi kumuuliza kwa kumbembeleza lakini alikataa ningemfanyaje nami nilitulia tuli kwa kujua nitampata sehemu gani.
Nilipanga wakati wa kuukwea mnazi wangu akifika karibia na madafu hapo ndipo nitakapohoji kitu gani kinachomsumbua lazima asema kuanguka juu ya mnazi mchezo!. Baada ya chakula ambacho vile vile hakula vizuri.
Wasi wasi wangu huenda anaumwa vile vile nilipomuuliza alisema haumwi. Nilijiuliza mume wangu ana tatizo gani ambalo lilianza kunitia wasi wasi na kunikosesha raha.

culbby Analyse amina mabata princetx Sir Good
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom