Riwaya: Shamba la hela

Niwashukuruni sana wasomaji wote tuliokuwa pamoja tangu mwanzo mpaka mwisho wa riwaya hii ya SHAMBA LA HELA.

Maoni na mitazamo yenu, nimevipokea kwa mikono miwili, tegemeeni mabadiliko hasa katika riwaya na simulizi mbali mbali zitakazokuja hapo baadae.

Ni jukumu langu kuujali sana muda wenu kwa kuwapatia kilicho bora.

Ndimi fanani wenu,
Godlove Kabati.
 
Amani na Upendo mwingi kaka.

KAZI nzuri, mnyumbuliko, mtawanyiko na muunganiko wa matukio ni wa kutukuka....Usanifu wa lugha na mpangilio wa sarufi ni wa ajabu. Hakika Fasihi umeitendea haki.
Mapungufu ni machache ila yanamezwa na mazuri mengi.

HESHIMA KAKA.
 
Oh! Asante sana ndugu yangu.
Nafanyia kazi mapungufu, wakati ujao nirejee nikiwa bora!
Shukrani sana.
 

Shukran mwandishi wa riwaya , kongole kwako riwaya imetulia 🫡
 
good
good
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…