Riwaya: Nitakupata tu

Wakuu mi nna wazo!! Naamin watunzi wote wanaopost riwaya humu jf wanaweza kuchanganya mawazo Na kui develop hii riwaya ya Marehemu IBRA! Nas nashauri kuwa wenzetu mnaotunga Na kupost mkutane may be PM au tuunde kundi WhatsApp ili story hii ikamilike Na isiletwe humu kwanza hadi tujichange tutengeneze kutabu tumuenzi mwenzetu huyu kwani ndoto yake ulikuwa kutoa kitabu!! Angalizo! Kama kuna msomaji ambaye anaifahamu familia atusaidiw kuishirikisha kwenye kwa Jambo hili ili kurahisisha mambo ya management ! Ni hayo tu
 
Kwa huzuni naamua Ku unwatch thread, hakika kaburi ni katili, kaburi dhulmat, pumzika kwa amani kaka IBRA Mungu atujalie mwisho mwema
 
R.I.P kaka Ibra njia ni moja nasi tupo safarin twaja,
Mwanzo wakati naanza kusoma hii story sikujua kama mtunzi ameshatangulia mbele za haki.
Inauma sana unapokuwa na ndoto lakin ukaondoka bila kuzitimiza,
Pumzika kwa Aman.
 
Aah...hii riwaya ilikuwa kiboko..basi tu..hakuna hata wa kuendeleza.
RIP...kipenzi...
Kaondoka mapema na kipaji chake..
 
Dah RIP ibra
 
Kaliiii sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…