Mi huu uchafu wa JK huwa siusomi, kimbelembele chake ndo kimemtuma kuandika riwaya haf anasema haimalizi, kama haukuwa na mpango huo ni vyema ungeweka tangazo la hiyo biashara yako, isitoshe hata kutunga bado haujaweza. Wadau kwa wale wapenzi wa hizi kitu aje facebook kwenye KONA YA RIWAYA RELODED kuna riwaya nyingi sana za watunzi wenye akili kama akina bawji, tuwa, misenyi, beka mfaume na wengine wengi