RIWAYA: Nilambe hapa

Utangulizi wa Story,,,,

Nilipojiunga na elimu ya Sekondari nilikuwa mshamba sana na mambo ya mapenzi mimi wala nilikuwa siyajui na wala sikuwa na mawazo hayo.

Nilipokuwa na wenzangu niliwasikia wakipiga stor kuhusu wasichana, na mimi nilikuwa nasapot tu ila kiukweli sikuwa najua chochote wala sikuwa na mazoea na wasichana wa pale darasani na ata wao walitambua hilo. Siku moja tulikuwa kwenye foleni ya kupata chai mda wa saa nne,shule ilikuwa ya kutwa ila saa nne tulikuwa tunakunywa chai pale
shuleni.

Nilichukua chai, nikawa naenda kukaa ila kabla sijafanya hivyo kuna dada alikuja na kunipamia kitendo kilichofanya chai yangu kunimwagikia na vipande vyangu vya mkate vikaloa.nilipomwangalia yule dada hasira zilinipanda kwa sababu dada yule alikuwa anatokea kidato cha pili sasa humu kwenye darasa la kidato
cha kwanza amefuata nini?

Nilimwangalia kwa hasira mda huo shati langu limeloa chai.kabla sijaongea chochote alinishika mkono akanipeleka mpaka nyuma ya darasa mda huo nina hasira kweli yani yule dem niliogopa kumpiga kwa sababu ni form two yani angekuwa form one kama mimi ningeshamtwanga ngumi ya kichwa.tulipofika nyuma ya darasa aliachia mkono
wangu alafu akaniambia, "mambo.najua nimekuudhi na nimekuleta huku ili kama ni kunipiga unipige tu mtu asione.naomba nisamehe " "nitakusamehe sawa.ila nitakaaje mpaka jioni na sijaja na sweta shati langu umenimwagia chai" "usihofu nitakusaidia.

Aliponiambia maneno hayo akaenda darasan kwao akaja akiwa amevaa sweta.nilijua anataka kunipa lile sweta ila haikuwa hivyo kwani aliponifikia alinishika mkono akaniambia "twende hivi" aliongea dada yule uku anatangulia mimi nikawa namfuata uku nimeshika shati langu nalivuta kwa mbele ili lisiniguse mwili kwani ilikuwa inanikera kwa jinsi ilivyokuwa limelowa chai,

Tulifika mahali akaingia kwenye mahindi ya shule.nilisita kidogo kumfuata mpaka aliponiita uku ananionyesha ishara kwa mkono kuwa nimfuate.

Tuliingia katikati ya mahindi mpaka nikawa nikiangalia nyuma sioni shule.

Dada yule alisimama akavua sweta lake akataka kunipa ila kabla sijapokea akaibania
kwenye mapaja yake kisha akavua shati lake na kunikabidhi niivae,yeye akabaki na kikata mikono kilichozuia matiti yake tu mimi nikawa nakodolea macho kifua cha binti yule yani alikuwa mweupe kitovu kimetoboka kiaina matiti yamekaa vizuri kiuno kimekata kama nyigu,kwa mbali mate yakaanza kunitoka ukizingatia hakukuwa na mtu kule kwenye mahindi yani ilibaki kidogo nimrukie, "vaa hilo shati langu nipe lako nikakufulie ntakuletea kesho."aliongea kwa kunong'ona baada ya kuona nimepokea shati silivai zaidi ya kumtolea macho, "hapana dada alafu wewe?
"usijali kuhusu mimi we vua hilo shati lako nipe"Nilivua nikamkabidhi mimi nikavaa lake,Yeye akavaa sweta bila shati.lile shat langu akawa amelishika mkononi. "naitwa Rita.wewe je" "naitwa Sparner"

Nimefurah kukufaham ila siumenisamehe" "ndio" Usiku sikulala yani nilikuwa nakumbuka kifua na umbo la yule dada ile picha ilikuwa inanijia mara kwa mara,

Siku zilienda tukazoeana na Rita ila shati langu hakunipa yani ilikuwa kama tumebadilishana.

Siku moja ijumaa ilikuwa siku ya mpira pale shuleni yani kuna team ya shule nyingine inakuja kuchuana na shule yetu.

Wakati mpira unaendelea Rita alinifuata akaniambia "twende nikakupe shati lako" alishika mkono tukawa tunakatiza pembeni ya uwanja uku wanafunzi wakituangalia.

Safari yetu iliishia kwenye nyumba moja nzur sana ambayo haikuwa mbali sana na shule kisha tukaingia ndani. "usijali apa ndio kwetu wazaz wangu hawapo huwa wanarudi jioni hivyo kuwa na amani"

Nillitikia nikataka kukaa kwenye sofa pale sebuleni ila kabla sijakaa Rita akaniambia "usikae hapo.njoo uku chumbani nikupe shati lako na wewe unipe langu alafu turudi shule" alitangulia chumbani na mimi nikawa namfuata uku nina wasiwasi kidogo kuhusu hili shati la kupeana chumbani,Tulipofika chumbani nilikuwa nashanga shangaa uzuri wa nyumba ile ila nilipoangalia ukutani kuna picha niliiona ambayo ilinishangaza kidogo, macho yangu bado yalizid kuangalia ile picha kwani nilishindwa kuielewa hii mambo inakuaje,,.....

Ni utangulizi wa Story mpya inayokwenda kwa jina la

"NILAMBE APA"

""DONT MISS,,,
iko poa
 
NILAMBE APA! ~4

By Sparner boy

Ilipoishia....
.Wakati tunaendelea kupeana raha mda huo na
mimi nimeshaanza kuhisi raha kwa mbali kuashiria
safar yangu pia haikuwa mbali.wakati ndio raha
zimekolea.mlango wa lile darasa tulilokuwepo
liligongwa kwa kishindo kikubwa paaa!

Endelea..
Tulishtuka sana haraka Rita akatoka alipokuwa
amenikalia na kukaa kwenye dawati uku
anatengenezea sketi yake mimi kwa haraka
nilichukua daftari nikajifanya nipo busy
nasoma.

Tulikaa kama dakika tano bila kuona mtu
yoyote akiingia ndani.
"nani amegonga mlango?"
"sijui ata mi nashangaa"

Niliamka pale nikachungulia nje mda huo mvua
imepungua ila sikuona mtu yoyote zaidi ya
wanafunzi kwa mbali waliokuwepo vibarazani
wanakinga mvua.

Nilirudi alipokuwa amekaa Rita
nikamwambia kuwa sijaona mtu,
"mpenzi wangu ulikuwa tayari umek*j*a?"
"hapana ndio nlikuwa nakaribia"
"maskinii..sasa tufanyaje"
"tuache tutaendelea siku nyingine"
"tuendelee kidogo basi uko*oe"
"tuache tu kwanza apa sintakuwa na mzuka tena
yani mzuka umekata"

Niliongea hayo uku namkabidhi chupi yake nae
akapokea na kuivaa.yani kitendo cha mlango
kugongwa nilihis kuna mtu alikuwa
anatuangalia.

Baada ya muda kidogo mvua
ilikata,tukatoka mle darasani nilianza mimi baada
ya dakika kadhaa nae Rita akatoka na hakuna
alietuhisi kuwa tulikuwa wote kwenye lile darasa.

Mda wa mtihani ulifika,Nikiwa kwenye mtihani akili
yangu bado ilikuwa inawaza utamu wa
Rita,Nilikumbuka raha alizonipa mda mfupi uliopita
apo ndio nikaanza kum-mis ingwawa nilikuwa nae
mda mfupi uliopita,gafla nikawa kwenye dimbwi la
mawazo ya kumuwaza Rita.

Wakati nawaza
nikashtushwa na sauti ya madam Ana ambae ndio
alikuwa msimamizi wa mtihani siku hiyo:
" we Sparner mbona haupo apa yani mda wote ata
jina tu haujaandika unawaza kitu gani"
"haa,,hapana Madam siwazi kitu"
"mda mrefu nakuangalia haupo apa unamuwaza
nani?"
kabla sijajibu dada mmoja anaetwa Jasmine
akajibu kwa sauti ya Chini "Anamuwaza Rita"
madam Ana akauliza "Nani"
karibu darasa zima wakajibu
"Rita wa fom twoo!"

Nilikasirika sana ila sikuwa na la kuwafanya.nilim
wangalia Jasmine kwa hasira kwa sababu yeye
ndio alieanzisha ule msemo,Madam Ana aliliona
hilo akaniambia,
"acha kumwangalia mwenzako vibaya kwa sababu
ni kweli na ole wako ufeli Somo langu nitakupeleka
form two ukakae na huyo Rita"

Sikujibu chochote,wanafunzi wote wanatulia
tukaendelea na mtihani.
Mwalimu William alianza kuonyesha chuki za wazi
kwangu baada ya kuniona bado nipo Rita
karibu.alianza kunitesa yani kosa dogo ananipa
adhabu kubwa sana,sikumuambia Rita masaibu
niliyokuwa nayapata kutoka kwa mwalimu Wiliam.

Siku moja alinikamata nimechelewa kidogo na yeye
ndio alikuwa mwalimu wa zamu,Alitukamata wengi
ila wengine akawachapa na kuwaruhusu waende
darasani,mimi hakunichapa akaniambia baada ya
wanafunzi kutawanyika nimuone,Siku hiyo sikukaa
kwa amani pale shuleni sikujua alikuwa anataka
kunipa adhabu gani.

Baada ya wanafunzi
kutawanyika nilimfuata akaniambia nichukue fyekeo
nimfuate,alinipeleka maeneo ya Hostel za
wasichana,akanionyesha uwanja mkubwa uliokuwa
na nyasi sana akaniambia
"huu uwanja uwe mweupe ndio uende nyumbani
yani ukishindwa kesho huingii darasani na Adhabu
itaongezeka.

Nilianza kufyeka mda huo wenzangu
ndio wanaenda majumbani.Nilifyeka mpaka giza
likaingia ila bado sikuwa nimemaliza.wakati
naendelea kufyeka nilihisi mtu amenigusa na jani
shingoni.

Nilishtuka na nilipogeuka nikakuta ni
Jasmini akiwa ndani ya kanga moja,uku
anatabasamu alinipa pole mimi nikakataa kuitika
bado nilikuwa na hasira nae.

Alikuwa ametoka
hostel kwa sababu pale nilipokuwa ilikuwa eneo la
hostel zao,nadhani aliponiona ndio akajiibia na
kunifuata,niliogopa nikikutwa nae usiku ule
ingekuwa balaa.

Aliniambia;
"nisamehe kwa kukuudhi saa zile.ila si uachane na
Rita cheki tabu zote hizi"
"ntamuacha nikipenda"
"kamoon boy acha hasira ata mimi naweza kukupa
anachokupaga njoo basi ee"
aliongea hayo uku ananishika kidevu changu
kimahaba.alichukua ile fyekeo kutoka mkonon
kwangu akaitupa pembeni.akashika mkono wangu
na kupeleka kwenye chuchu zake nikasahau
nilikuwa nafyeka nikaanza kuyapapasa uku
nambusu-busu shingoni,ile kanga moja aliokuwa
amefunga ilizidi kunichanganya pia mwili wake
ulikuwa na maji maji kiashrio alikuwa ametoka
kuoga mda si mrefu,Nilianza kunyonya chuchu
zake nikashuka mpaka kitovun mda huo ile kanga
imenifunika nikaenda mpaka kwenye buyu lake la
asali nikazama chumvin mda huo yeye amesimama
mi nimechuchumaa ulimi upo kwenye buyu la
asali.

sijui niligusa nini akaniambia

Sparner
yees.yeess bbyy yeeesss.......

Toa maoni yako na stor

itaendelea,,,,,,,
 
Nilambe Apa~25

By sperney boy

Ilipoishia..

macho yangu yakatua kwenye Chuchu zake zilizokuwa zimesimama vizuri,kwa upande wa pili Rita alikuwa ananyonya chuchu zangu uku anavua chupi yake taratibu..

Endelea..
Niliona kama naangalia video ya pono sikutaka kuamini kama ni kweli,Wakati nawaza hayo,nilihisi raha ya ajabu kumbe Rita alisha jipimia na ndio ilikuwa inaingia taratibu uku anauma uma lips zake kwa raha alizokuwa anasikia. Dozi ilianza uku Rita anatawala sehem kubwa ya mchezo kwa sababu yeye ndio alikuwa juu mimi chini uku Anita amesimama pembeni ananipapasa kifua changu kimahaba uku naendelea kumpa dozi Rita.Niliwapa dozi kwa zamu uku wanapokezana nadhani akili ya pombe ilichangia sikuona aibu yoyote.Tuliporidhika tulipitiwa na usingizi ila nilikuwa nimechoka,viungo vya mwili hasa magoti hayakuwa na nguvu kabisa.
Nilikuja kushtuka asubuhi na kilichoniamsha ni kelele za mlango uliokuwa unagongwa.Nilishtuka sana baada ya kujua aliekuwa anagonga mlango ni Bricila.Nilihaha mle ndani skujua nifanyaje na aliendelea kugonga uku ananiita.Rita aliniuliza kwa sauti ya kunong'ona..
"nani huyo"
"dada yangu"
"una ndugu uku mwanza Mungu wangu"
Alimwamsha Anita haraka wakavaa nguo zao na kurudi kitandani wakajifanya wanakoroma kwa usingizi,Nilivaa nguo na kufungua mlango
"usingizi gani jaman nusu saa nagonga mlango?"
"jana niliangalia sana t.v mpaka saa nane"
"na hawa ni nani kumbe umepata mchumba huniambii mimi dada ako"
"hapana,hawa ni mapacha nilikutana nao wamepotea njia sasa kwa kuwa ilikuwa usiku nikaona niwape msaada walale hapa leo waendelee na safari yao"
"ok ila usipende sana kufanya hivi huenda ni watu wabaya wakakudhuru"
"sawa Dada nmekuelewa"
Bricila aliongea akujua mabinti wale wamelala kumbe walikuwa wanasikia kila kitu.Aliniambia kuwa kilichomleta ni kwamba Chalz amepona na amesharuhusiwa kurudi nyumbani,sasa anafanya sherehe kubwa ijumaa ijayo nyumbani kwake hivyo anaomba tuende.Nilimwambia
"yule mjinga mbona unamfuatilia sana adhabu anayopata ni malipo ya aliyokutendea"
"namuonea huruma tumsamehe tu adhabu aliyoipata inamtosha"
"sasa ijumaa nitakuwa kazini itakuwaje"
"nitaongea na Herieth pia sherehe ni jioni"
Nilikubali kumsindikiza Bricila kwenye party ile,tuliongea kidogo akawasalimia akina Rita, Baada ya kuondoka.Rita aliniambia..
"kwa hiyo sisi ni wapotea njia"
"ndio hivyo,nilikosa ujanja mwingine"
"sio mbaya mpenzi"
sikumjibu nikanyamaza uku hasira inatawala kichwa changu baada ya wazo kunijia kuwa Rita hanipendi,angekuwa ananipenda asingekubali kuniona namgonga Pacha mwenzake alafu yeye anyamaze tu ina maana hana wivu?"
"mbona umenyamza beb unawaza nini"
"aah niache bana"
"he! Yamekuwa hayo"
niliamka na kukaa kwenye kiti nikamuacha pale kitandani mda huo Anita alikuwa bafuni anaoga.Ile nimekaa kwenye sofa ni kama machale yalinicheza,pale pale Herieth aliingia bila hodi,alipomuona Rita alisimama pale pale mlangoni akawa anatuangalia kwa zamu uku amekunja sura kwa hasira,aliniuliza
"spana nani huyu"
"hawa ni mapacha siwajui walipotea njia nikaona niwape hifadhi apa,wapo wawili"
"hifadhi tokea jana mpaka sasa hivi saa 7 mchana apa sielewi kitu"
wakati tunabishana Anita aliingia na kukuta mzozo ule.Herieth alipomuona Anita kidogo nyodo zilipungua kwa jinsi Anita na Rita wanavyofanana nadhani aliamini maneno yangu.Anita aliuliza
"kwani dada wewe ni nani wake Sparner"
"mke wake"
"waaat"
nini unashangaa tafadhali naomba muondoke mlipewa hifadhi au kuna lingine liliendelea nyie tokeni mimi nitadili na huyu"
Kwa hali isiyo ya kawaida Anita alianza kubadilisha nguo pale pale kwa makusudi akavua ile kanga na kuitupa taratibu akaelekea kwenye kibeg chake akatoa chupi tayari kuivaa wala hakuwa na haraka
"spana hawa ni wake zako angalia anabadilisha nguo mbele yako"
"hiki ni chumba kimoja ngoja nitoke nje sio wake zangu"
nilitoka nje uku kijasho cha uoga kikinitoka na kumuacha Herieth anawaarakisha akina Rita watoke mle ndani.Bado sikuwa na nguvu ata kidogo magoti yalikuwa yanagongana kwa kukosa nguvu kwa sababu ya dozi niliyotembeza usiku,Niliwaza sijui nitamuambia nini Herieth kama akitaka nimgonge kwa kweli sikuwa na nguvu ata kidogo.Nilienda dukani nikanunua glucose pakti moja nikalamba kwa pupa mpaka nikaimaliza yote walau kurudisha nguvu kwa haraka.Niliporudi nyumbani nilikutana na akina Rita ndio wanatoka,Rita aliniangalia kwa hasira akaniambia
"sparner kumbe hutujui vizuri sasa utatujua kuwa sisi ni watoto wa mjini au kijijini,haya yote utayalipa"
"mtamfanya nini nyie.yaone kwanza yamefanana kama manguruwe"
Herieth aliwajibu na kunivuta ndani kwa hasira akaniambia
"we ndio wa kunichanganya na malaya"
"hapana"
"atabadilishaje nguo mbele yako tena anavua zote kabisa nisingekuwepo ungemuacha?"
"ndio ninge.."
"nyamaza apa lazima umewat*mba hawa mabinti na lazima nikukague"
aliongea uku anapeleka mkono wake kwenye suruali yangu,niliwaza kwamba akikagua atajua ukweli ingawa nimeoga ila kwa mjanja lazima ajue sasa nikawa njia panda mda huo anaingiza mkono tayari kuitoa pipi rungu yangu aikague..
Itaendelea..
 
Nilambe apa~26

Sparner boy

Ilipoishia..
niliwaza kwamba akikagua atajua ukweli ingawa nimeoga ila kwa mjanja lazima ajue sasa nikawa njia panda mda huo anaingiza mkono tayari kuitoa pipi rungu yangu aikague..

Endelea,,
"Herieth haya mambo ni ya kudhalilishana"
"sio nakudhalilisha kitendo cha yule binti kuvua nguo mbele yako kimenipa wasiwasi sana"
"hapana huwezi kunikagua bana au kisa wewe bosi wangu"
"mambo ya ubos tena yametoka wapi jamani ee"
wakati anaongea hayo bado mkono wake ulikuwa ndani ya suruali yangu ameshika mnara wangu,sasa na ile mikono yake milaini ilifanya mnara wangu upadishe netweki,Herieth aliligundua hilo gafla akawa mpole akaanza kunirembulia macho,sikutaka kumkawiza nilimnyanyua tukasimama tukatizamana kwa sekunde kadhaa,taratibu lips zetu zikakutana maandalizi yakaanza uku navua nguo yake moja baada ya nyingine mpaka tukajikuta wote tumebaki kama tulivyozaliwa uku bado tumesimama mda huo mdomo wangu upo kwenye chuchu zake ni mkono wangu mmoja upo kwenye naniliu yake nachezea kis*mi taratibu uku mkono mwingine nimemshikilia kama nimemkumbatia akawa analalamika
"ooh,mpenzi niingizie sasa mwenzako nina hamu,nataka jamani nipe,nipe,,ingiza sasa oooh aaaah ooooshshsh...!
Miguno ile ilinipa mzuka zaidi,tuliamia kitandani nikamlaza kwa tumbo nikachukua mto nikamuwekea kwa chini usawa wa kiuno hivyo akawa amelala kwa tumbo ila utamu ukawa umenyanyuka kidogo mimi nikaja kwa nyuma nikaanza kumpa mambo.Ingawa nilikuwa nimechoka ila nilijitahidi kumfanya Herieth Aridhike ili asigundue kuwa niliwagonga akina Rita.
Baada ya mechi ile Herieth aliniambia
"mpenzi asante pia nisamehe nilikuhisi vibaya"
"asante pia kwa penzi lako Herieth me siwezi kukusaliti"
"mimi nataka dada yako ajue kuwa sisi ni wapenzi"
"unataka kumwambia Bricila?"
"sio Bricila tu,ikiwezekana wazazi wako kabisa nataka unioe"
nilishtuka sana nikamwambia
"wazo zuri ila kwa sasa sipo tayari kuoa"
"sawa ila mimi nijulikane kwenu na wewe ujulikane kwetu"
Nilimvuta kifuani kwangu nikamkumbatia michezo ya apa na pale dozi ikaanza tena ila kitendo cha kusema nimuoe kilinishtua kwa kiasi fulani.
* * *
Siku ya party ilifika,Saa 9 alasiri nikiwa dukani,Herieth alinipigia na nilipopokea akaniambia
"mpenzi Bricila alikuomba umsindikize kwenye Party,naomba ufunge duka umsindikize wifi yangu"
"poa baby"
Niliitikia na kwenda nyumbani, nilijianda,nikampigia Bricila akaniambia mahali pa kukutana na safari ya kwenda kwenye sherehe ile ikaanza.Tulifika watu walikuwa wengi kiasi na wengine walikuwa wanaendelea kuingia na wengi walikuwa matajiri wengine ata kiswahili hawakuwa wanajua.Mimi na Bricila tulikaa kwenye meza moja ya peke yetu,alikuja dada mmoja akatuuliza tunatumia nini mimi nikaagiza Savana,Bricila akaagiza ndovu ambapo zililetwa tukaanza kunywa,Bricila aliniambia
"kaka unakunywa pombe mimi nilikuwa sijui"
"hii ni mara ya pili sikuwah kutumia kabla"
"vizuri,mimi natumiaga sana tu inachangamsha mwili"
Tuliendelea kunywa uku sauti ya mziki laini ikitawala eneo lile.Baadae Charlz alisimama akawakaribisha wageni pia kuwashukuru watu waliudhuria hafla ile na baada ya hapo sherehe ikaanza rasmi.Wakati tunaendelea kunywa,Bricila aliniambia kuwa anaenda msalani,Alivyoondoka tu,alikuja dada mmoja mkubwa mkubwa akaniuliza
"vipi kaka yule dada uliekuja nae ni mkeo"
"hapana ni dada yangu"
"sasa chukua hii busines kadi yangu naomba unitafute nina shida na wewe"
"sawa nitakutafuta ila mbona mimi sikujui"
"utanijua kwanza shika hii"
aliongea yule dada na kunikabidhi kiasi cha pesa kama laki moja ivi kisha akaondoka.Nilishangaa huyu dada anataka kuongea nini na mimi pia sura yake ni kama nilishamuona mahali ila sikukumbuka ni wapi.
* * *
Usiku niliwaza sana ni wapi nilipomuona yule dada ila picha haikunijia,baada ya wiki moja nilimpigia,tuliongea sana ila katikati ya maongezi nikagundua ata kiswahili hakuwa anajua vizuri,hapo nikakumbuka kuwa nilimuona hosptal nilipoenda na Bricila kumsalimia Charlz siku ya kwanza na anaonekana ni mtu wa karibu sana na charlz.Aliniambia tukutane njia panda siku inayofuata kwa sababu ana maongezi na mimi,nilikubali kwani nilitaka kumjua kiundani zaidi dada yule.
Niliendelea na kazi zangu uku nasubiri siku ya kuonana na dada yule ifike na nilikuwa busy sana mda mwingi nachati nae.Siku moja Herieth alikuja pale dukani ila hakuwa na furaha,nililigundua hilo nikamuuliza
"haupo sawa leo sababu ni nini"
"siku hizi umekuwa bize sana bebi sababu nahis hunipend tena"
"hapana nipo kawaida"
"pia huniombagi mapenzi kila siku mimi ndio naanzisha ina maana huwa haunimis au mimi sio mtam kwako"
"nisamehe kwa hilo,kesho nakuja nimemis sana raha zako"
"kwa nini isiwe leo"
"leo sijiskii vizuri baby"
wakati napiga story na herieth mesej iliingia kwenye sim yangu na kabla sijaisoma alinipokonya sim,alisoma ile mesej uku amekunja sura kwa hasira na alipomaliza aliandika zile namba kwenye sim yake na kuzipiga kisha akatupia ile sim yangu mezani mda huo natetemeka skujua aliendika meseji ni nani,,,
itaendeleau
 
nilambe apa~27

by Sparner boy
Ilipoishia...

kabla sijaisoma alinipokonya sim na kusoma ile mesej uku amekunja sura kwa hasira na alipomaliza aliandika zile namba kwenye sim yake na kuzipiga kisha akatupia ile sim yangu mezani mda huo natetemeka skujua aliendika meseji ni nani...
Endelea..
Nilinyanyua ile sim kuangalia alieandika meseji ambapo niligundua kuwa ni ni Rita na alikuwa ameandika maneno ya kunitisha mimi na Herieth.Herieth baada ya kupiga namba ile mara kadhaa bila kupokelewa alinigeukia akaniambia,
"si nilikwambia waleh mabinti ni malaya zako,yani wananitishia mimi wananiambia wataniamisha apa mjini?"
"mimi Sielewi baby ukweli wale mabinti siwafaham"
"eeeh,nyamaza uko usijifanye unajua kuongea sana,kwa taarifa yako apa mjini siwezi kuama kwa sababu ya kugombania kikaragosi kama wewe"
"unanitukana?"
"eee kwani vipi,au unayoyafanya mazuri"
nilishindwa kuzuia Hasira zangu nikajikuta nimemnasa Herieth kibao cha uso paah!
"unanipiga mimi"
"ee wewe,huwezi kunitukana kiasi hicho ata kama wewe bosi wangu"
Niliongea hayo nikatoka nje na kurudi nyumbani bila kuongea nae chochote.Siku iliyofuata sikwenda kazini kutokana na ugomvi niliyokuwa nao na Herieth nilihisi anaringa kwa sababu ananiweka mjini yeye na kazi yake,Pia ndio ilikuwa siku ya kuonana na yule dada Rahel kama busines kad yake inavyoonesha anaitwa Rahel,hivyo ilikuwa muda mzuri kwangu,Ilifika muda tuliyopanga, nikaenda njia panda ambapo nilimkuta amepaki gari pembezoni kabisa mwa barabara ananisubiri.
"waaoh karibu,umeshine ila nimekusubiri sana"
"samahan nimechelewa kidogo"
"worry not hakuna shida"
Nilipanda kwenye gari macho yangu yakatua kwenye mapaja malaini ya Rahel yanayong'aa yenye rangi ya chocolate yani kisketi alichokuwa amekivaa sijui mfano gari likiaribika atashukaje,Mara kwa mara nilikuwa natupia macho yale mapaja kiwizi wizi kimoyo moyo nikasema kweli Mungu kaumba.
Tulitembea mwendo wa dakika 10,akakata kona na kupaki nje ya gate moja nzuri sana,gate lilifunguliwa gari likaingia mpaka ndani.Uzuri na ukubwa wa nyumba ile vilinifanya niogope kuingia ndani.
"Karibu sana ndani"
"tukae nje tu ndani kuna joto"
"noo,kuna Ac hakuna joto welcome"alinijibu na kiswahili chake ambacho hakijanyooka,akanishika mkono tukaingia ndani.Nilikaa kwenye sofa akaja na kukaa karibu yangu, kile kigauni kikapanda mpaka usawa wa chupi apo nikazid kupagawa ata uoga niliyokuwa nao ukatoweka.
"any drink plz like cofee,wine juice,utapenda nini"
"juice ya pasion au embe"
"embe,unamaana mango juice"
"ndio"
dada wa kazi aliitwa akatuletea juice,tukiwa tunakunywa akaniambia..
"apa ndio kwangu,lengo la kukuita apa nadhani umeshalifaham"
"hapana sijalifahamu" Nilipomjibu hivyo akanisogelea akalaza kichwa changu kwenye kifua chake kisha akaniuliza
"kwa nini jamani,unanionaje mimi mzuri au m'baya"
"we mzuri"
"kweli,nikikuambia nakupenda na nataka uwe mpenzi wangu utanijibu vipi"
nilitulia kidogo nikamjibu
"itategemea kama hujaolewa au huna mpenzi mwingine"
"sijaolewa wala sina mpenzi zaidi yako huby"
aliongea hayo uku nyuso zetu zimetizamana zipo 0distance.taratibu lips zetu zikagusana tu kaanza kupeana mabusu ya apa na pale uku napapasa yale mapaja yake kuelekea kwenye utamu,alikuwa na moto sana inaonekanay alikuwa na hamu ya kitendo tulichokuwa tunataka kukifanya.nilisogeza chupi pembeni nikapenyeza kidole na kufanikiwa kugusa utamu wake apo sasa ndio akapagawa zaidi baada ya mimi kuongiza kidole changu kwenye utamu wake kama sentimeta 5 kwa juu nikawa nagusa gusa kitu kama sponji,Alinikumbatia uku anaongea maneno ambayo sikuyaelewa,vuta nikuvute tukaamia chumbani kule nikamlaza nikaja kwa juu taratibu nikaanza kumpa mambo mda huo anauma lips zake uku amefumba macho anaskilizia raha nilizokuwa nampa.Baada ya round ya kwanza tulipumzika kidogo,nilipotaka tuanze round ya pili akanikataza akiniambia
"tuishie apa,kwanza sijui nimefanya nini sikutaka tufanye leo,nimeshindwa kuzuia hisia zangu"
"kwa nini unasema hivyo Rahel"
"nilitaka tukapime kwanza we unajua nimetembea na wanaume wangapi"
"ila kweli sasa itakuwaje tumeshafanya"
"shoot moja haina shida,tuishie apa kesho tukapime tufanye kwa uhuru mimi siwezi kutumia condoms"
tulipiga stor mbili tatu tukaoga akanirudisha mpaka njia panda aliponitoa.Aliniacha pale nikawa nawaza maneno aliyoniambia Rahel,nilikumbuka wasichana niliowagonga na wote skutumia dhana,Jude.Herieth,Rita na Anita pamoja na Rahel ambae sasa ndio amenifumbua macho.Mhudum wa Bar hakunipa mawazo sana kwa sababu nilimgonga bao moja ambayo huwa haina madhara.Nilitaka kwenda nyumbani ila miguu ikawa mizito gafla nikaona bora nikapime kwanza mwenyewe kabla sijaenda kupima na Rahel siku inayofuata.Niliita pikipiki nikampa maelezo anipeleke kituo chochote cha afya,Kumbe haikuwa mbali na pale ata kwa mguu ningeenda tu,nilifika nikatoa maelezo yangu nikachukuliwa damu nikaambiwa nisubiri dakika 20 mda huo picha ya wasichana wote niliowagonga ikawa inanijia,uoga ukazidi kunitawala huenda nimeukwaa na Raheli ndio namkosa hivi hivi...itaendelea
 
Nilambe apa~28
by Sparner boy

ILIPOISHIA..

niliambiwa nisubiri dakika 20 mda huo picha ya wasichana wote niliowagonga ikawa inanijia,uoga ukazidi kunitawala huenda nimeukwaa na Raheli namkosa hivi hivi..

Endelea..
Nilisubiri pale uku nina mawazo tele,baada ya dakika kadhaa niliitwa kwenda kuchukua majibu yangu,Nilienda uku natetemeka na tumbo likawa kama linanikata kwa uoga;
"kijana mbona unatetemeka sana mpaka jasho limekutoka au unaumwa" lilikuwa swal la kwanza daktari kuniuliza baada ya kuingia nami nikamjibu.
"kawaida tu docta"
Baada ya maelezo pamoja na ushauri nasaha ambayo haikuniingia akilini kutokana na uoga aliniambia
"majibu yako sio mabaya saana chukua angalia"Aliongea na kunikabidhi ile karatasi yenye majibu yangu.Baada ya kusoma nilifurahi sana kwani nilikuwa mzima,nilionesha furah yangu waziwazi mpaka Daktari akashangaa,neno moja tu aliniambia kuwa nipunguze uasherati.
Nilirudi nyumbani uku ninasubiri kesho yake ifike mimi na Rahel tukapime kuhakikisha kuwa na yeye ni mzima ila skutaka ajue kuwa nilishapima kabla.
Usiku sikulala nilitamani pakuche haraka nionane na Rahel na niliapa kama Rahel ni mzima basi naachana na wasichana wote nabaki na yeye peke ake kwani mpaka wakati huo nilitokea kuvutiwa nae sana ingawa alionekana kunizidi umri kidogo.
Kesho yake tulienda hosptali nyingine tukapima ambapo wote tulikuwa wazima,Rahel anikumbatia kwa nguvu pale pale mbele ya dakrari akanipa busu nzito kwa staili ya denda kitu ambacho ata daktari alishangaa.Alikuwa na furaha sana Rahel.Baada ya kutoka pale tulielekea kwenye hotel moja maarufu sana jijini mwanza.Tulishuka tukaingia mapokezi Rahel akaongea na mtu wa mapokezi,waliongea kiingereza ila nikaelewa kuwa walikuwa wanaongea kuhusu chumba,Alilipa akapewa funguo tukapanda lift iliyotupandisha mpaka gorofa ya tisa.Tulitoka na kuanza kutembea mpaka chumba namba 801,Rahel alifungua tukaingia.Chumba kilikuwa kizuri sana ila hakikuwa na kitanda,baada ya kuingia Rahel alibonyeza moja ya swichi ukutani kitanda kikatokea ukutani nilishtuka kidogo nikimbie nilijua ni uchawi ila Rahel akanipa maelekezo yaliyonitoa ushamba.Tulivua nguo tukajifunga taulo,kisha tukaelekea bafuni,tuliogeshana uku tunafurah sana Rahel alinichezea mpaka nikawa hoi,Tulitoka na kurudi kitandani,maandalizi ya kupeana Raha yakaendelea na safari hii rahel alionekana kuchangamka sana tofauti na jana yake.
Tulipeana mambo na Raha za ukweli mimi nilihisi tofauti sana Rahel alikuwa mtamu isivyo kawaida labda kwa sababu alikuwa tofauti na wasichana niliowahi kutembea nao yeye alikuwa mnene kidogo na weusi wa kuteleza.Baada ya mechi tulikuwa hoi nimeegemeza kichwa changu kifuani kwake uku namsifia kwa jinsi alivyo mzuri.Pia alinisifia kuwa ame-enjoy game langu.Wakati tunaendelea na stori za apa na pale ili tukaoge kila mtu aende kwao mara sim yangu iliita nami nikaipokea baada ya kuona namba za herieth,nilipopokea ata bila salam akaniambia kuwa nikamsaidie yeye anakufa hana ndugu apa mjini,nilishtuka kidogo kwa sababu aliongea kwa msisitizo uku analia kwa uchungu tena ilionekana kama kuna mtu au kitu kinamuumiza kwa wakati ule.Alikata sim nikamuambia Rahel,
"mpenzi boss wangu ana matatizo sijui kapatwa na nini ngoja nimuwah"
"ooh,am sory baby ngoja nikuwahishe haraka ukamuangalie"
tulivaa nguo bila kuoga,akanipeleka mpaka dukani kwa Herieth akanikabidh kiasi cha pesa ambazo ata sikuziesabu nikaziweka mfukoni haraka nikaanza kupiga hatua kuelekea nyumbani kwa Herieth.Nilifika na kumkuta amelala kitandani anagala gala uku ameshika sehem zake za siri.Aliponiona alitaka kuamka anifuate ila akashindwa kwani alipojaribu alirudi kitandani uku analia kwa maumivu makali na mikono bado ameshikilia kwenye kikojoleo chake.Nilimsogelea,kabla ya kumuuliza chochote aliniambia
"nakufa mimi,nakufa naomba nisaidie"
"tatizo nini Herieth"
"uku panauma sana,pia panachoma choma tatizo limeanza mchana nikiwa kazini nikalazimikia kurud..mamaa,nisaidiee"
kabla hajamalizia alipiga kelele ya uchungu,ilionekana anateseka sana.Nilimvua nguo yake ya ndani ,kwa sababu alikuwa mpenzi wangu na hakuna nisichokijua kwake nilimkagua na kugundua kuwa imevimba kwa kiasi fulani tofauti na nilivyoiacha mwanzo.hakukuwa na muda wa kupoteza haraka nikatafuta gari na kumuwahisha Hospital mda huo giza limeanza kuingia,Kwenye gari alikuwa analia kama mtoto uku anagumia maumivu.
Tulifika hosptal akachukuliwa vipimo na kupewa dawa za kutuliza maumivu akapelekwa wodini apumzike wakati anasubiria majibu.Nikiwa pale kitandani alipokuwa amelala uku nam'bembeleza daktari alirudi na kuniuliza,
"huyu dada ni nani wako"
"mpenzi wangu"
"tumempima damu hana ugonjwa wowote,mkojo pia hana ugonjwa wowote ila ana mimba ya wiki 8"
"mimba? Ya nani?"
"we kijana umechanganyikiwa unaniuliza mimba ni ya nani kwani mgodi nani anachimbaga si umesema ni mpenzi wako?"
Nilinyamaza uku najiuliza kichwan hii mimba itakuwa yangu au la!,Pia nikawa najiuliza kitu gani kimemkuta Herieth,pale pale kuna wazo likanijia..
Itaendelea..
 
Nilambe apa~29

by sparner boy
Ilipoishia..
uku najiuliza ile mimba itakuwa yangu au la!,Pia nikawa najiuliza kitu gani kimemkuta Herieth,pale pale kuna wazo
likanijia..

Endelea..
Kuwa Herieth apigwe sindano ya usingizi alale kwa sababu alikuwa anateseka sana mpaka nikawa namuonea huruma.Nilimfuata daktari nikampa wazo hilo akaniambia ni wazo nzuri na mda huo huo akachua sindano na kuweka dawa,kisha akaenda kwa Herieth uku na mimi namfuata kwa nyuma.Alishika mkono wa Herieth akawa anatafuta mshipa ila cha ajabu Herieth akatoa mkono wake kitendo kilichomaanisha hakuwa tayari kuchomwa sindano.Nilim'bembeleza sana akubali ila akakataa kata kata,
"sitaki sindano roho yangu imekataa sitaki"
"kubali upunguze maumivu siunaona u.."
"eee nmesema sitaki alafu Sparner nataka kuongea na wewe dokta naomba utupishe kidogo"
Dokta alitii akaondoka na kuniacha pale kitandani mimi na Herieth,Herieth kwa huzuni sana akaniambia,,
"mimi nitakufa,maumivu sasa yanapanda mpaka tumboni..siponi mimi ila huu ugonjwa sio wa kawaida"
"unanitisha sana kwa nini ufe na una maana gani kusema huu ugonjwa sio wa kawaida"
"nimelogwa nahis ni kama mtu ananikata kata na wembe,cha kufanya naomba nipeleke kwetu ukerewe kama ni kufa nikafie kwetu ila nikifanikiwa kufika nikiwa hai basi sintakufa"
Aliongea hayo kwa shida uku anagumia kwa maumivu machozi uakimtoka,sikuuliza mambo ya mimba ingawa nilikuwa na hamu sana ya kujua mimba aliyonayo ni ya nani.Nilikaa nae pale hosptali mpaka saa 4 usiku ambapo aliomba arudi nyumbani kwani pale hakuwa anataka msaada wowote sindano hataki pia dawa tumejaribu kumpa ata ya usingizi badala ya sindano nayo pia akakataa.Nilirudi nae mpaka nyumbani kwake.Saa 6 usiku maumivu yale yalitoweka ila akawa kama kichaa kwani alikuwa anaongea peke yake akisema
"ee watasubiri sana silali,silali usingizi mimi nimesema silali"
alikuwa anasema hivyo mara kwa mara,nilimuuliza anaongea na nani ila hakuniambia akawa ananishangaa utadhani jambo nililomuuliza ni geni sana.Nilipitiwa na usingizi nikaja kushtuka saa 10 nikakuta bado Yupo macho hajalala,nilipoamka kitu cha kwanza akaniambia,
"nipeleke kwetu kama unataka niendelee kuishi,ata kama hunipendi kumbuka nina mimba yako"
"nakupenda sana,uliniudhi kunitukana ila nimekusamehe"
niliongea kwa adabu sana baada ya kusikia kuwa Herieth ana mimba yangu,mda huo huo tuliamka na kuoga uku namsaidia Herieth kutembea kwani ata nguvu zlimwishia,saa moja kasoro tayari tulikuwa kwenye boti kuelekea ukerewe,nilimuuliza Herieth nitoe jibu gani nikiulizwa mimi ni nani wake akaniambia nisihofu hilo swala atalimaliza mwenyewe cha muhimu apone kwanza,alikuwa anaongea kwa shida sana mpaka nikaogopa na pale pale Rita alinipigia,nilipopokea akaniambia
"halow pole tumeskia umepata msiba"
"msiba wa nani"
"he!,hamna msiba wowote wa mtu wako wa karibu,basi poa tumesikia vibaya"
alikata sim nikakosa amani kabisa ila sikumwambia Herieth chochote.
* * *
Tulifika ukerewe jioni,tukachukua piki piki iliyotupeleka mpaka kwenye kijiji flani ambapo sikujua jina kijiji kile na watu wanaoishi kijijini pale inaonekana hali zao ni duni kutokana na nyumba wanazoishi za nyasi na miti.Safari yetu iliishia kwenye nyumba moja ndogo sana ya nyasi iliyobomoka bomoka ni kama hakukuwa na mtu anaeishi mule.Herieth aligonga bati lililokuwa limeegeshwa mlangoni kama mlango sauti kutoka ndani ikaitika apo nikajua kuna mtu mle ndani.kwa sauti ya chini nilimuuliza Herieth kama pale ndio kwao akaniambia pale ni kwa babu yake.Haikupita muda akatoka mzee mmoja na mkononi ameshikilia taa ya chemli na kutukaribisha ila alipommulika Herieth alimzuia asiingie ndani akisema
"mjukuu wangu usiingie ndani,walitaka kukuuwa kwa sababu ya mapenzi"
"ndio babu kidogo nife"alijibu Herieth.Mzee aliingia ndani akatoka na dawa kama unga na kumwagia Herieth,akaturuhusu tukaingia ndani.Walianza kuongea kikabila mi nikawa sisikii nikawa nashangaa mle ndani palikuwa panatisha kuna lisanamu likubwa la chatu limetoka kwenye chungu kikubwa sana kilichokuwemo mle ndani na kupanda ukutani lilikuwa linanitisha sana,yule mzee akatoa dawa akampaka Herieth kiunoni kwenye alama za chale alizokuwa nazo ambazo nazionaga ila nikawa najua ni alama tu za kawaida.Herieth aligeukia akaniambia
"Rita ndio amenifanyia hivi na mtego ni kwamba nikilala nifie usingizini ila sikulala ndio maana sijafa na jana kama nilikuwa naongea mwenyewe basi nilikuwa naongea na babu yangu huyu alinisaidia kwa sababu kabla sijaenda mjini nilimuaga sasa wanajua nimekufa na watakoma"
Nilimsikiliza Herieth kwa makini,uku siamini kuwa Rita anaweza kuwa na roho ya kikatili kiasi kile,wakati namsikiliza Rita niliona ile sanam ya chatu inatingishika,nilipoangalia vizuri na kugundua kuwa haikuwa sanam ni chatu la ukweli tena mkubwa sana.Pale pale niliishiwa nguvu,macho yakaanza kuona giza,nikaanguka chini na kupoteza fahamu.Nilikuja kuzinduka nipo nje napigwa na baridi ya ajabu pembeni alikuwepo Herieth,alinipa pole akaniambia kitu cha ajabu sana kuhusu Rita...
Itaendelea
 
Nilambe apa 30
By Sparner boy
ILIPOISHIA...
Nilikuja kuzinduka nipo nje napigwa na baridi ya ajabu pembeni alikuwepo Herieth,alinipa pole akaniambia kitu cha ajabu sana kuhusu Rita..
Endelea..
Aliniambia tukifika mjini kitu cha kwanza nimtafute Rita nifanye nae mapenzi,sikujua kwa nini aliniambia hivyo,niliangalia pale nilipo ni wapi nikagundua ni eneo la pale pale kwa babu yake taswira ya yule chatu ikanijia ubaridi wa uoga unaniingia mwilini,Herieth kwa sauti ya kunong'ona akanisisitizia
"umesikia kitu nilichokuambia?"
"mimi naogopa"
"unaogopa kufanya mapenzi?"
"si nitakuwa nimekusaliti"
"haina shida nimekuruhusu anaonekana anakupenda mpaka anataka kuniua ni hatari,apa amefika na atakoma"
"atakoma tena,sasa mbona unaniambia nifanye nae mapenzi wakati una hasira nae?"
Alishindwa kujibu swali lile kichwani nikajua lazima kuna kitu sio bure,Aliniambia tuingie ndani tukalale nikakataa,akaniletea shuka nikajifunika pale pake chini ya mti na yeye hakupata usingizi mara kwa mara alikuwa anakuja kuniangalia.Asubuh na mapema tulimuaga babu vizuri akatupa baraka tufike salama mjini ila akaniambia nisiwe mwoga na mambo ya kiasili.Nilimwitikia na safari ya kurudi mjini ikaanza,tulipofika ukerewe mjini tukaingia hotelini kupooza njaa tuliyokuwa tunahisi,nilikula kama nafukuzwa kutokana na njaa kali ukizingatia usiku wa jana yake sikuwa nimetia chochote mdomoni,baada ya hapo safari ikaendelea uku Herieth ananisisitiza kuwa lazima nifanye mapenzi na Rita
"usikatae mpenzi unajua usipofanya hivyo lile tatizo litanirudia tena ila ukifanya hivyo babu ameniambia ataakijaribu tena hataweza"
nilimsikiliza ila haikuniingia sasa ili kumridhisha nikakubali.
Tulifika mjini tukiwa hoi kwa uchovu wa safari,tukaagana kila mtu akaenda kwake.Nilifika nyumbani na kujitupa kitandani nikachomeka simu kwenye chaji na kutulia kitandani uku nawaza hawa wanawake wamejiingiza kwenye mambo ya uchawi waliniumiza sana kichwa changu sikujua nifanye nini.
* * *
Rahel aliniita mahali ambapo sikupajua vizuri ni wapi,nilienda nikiwa na furaha ya ajabu kwani siku mbili tatu hatukuwa tumeonana,Nilifika nikamkuta amekaa peke yake eneo flani ambapo hakukuwa na mtu,kwa furaha nilimfuata ili nimkumbatie ila hakuonesha furaha na wakati nimemkumbatia pembeni nilimuona Rita amelala analia uku ananiomba nimuokoe,Nilishtuka nikamuuliza Rahel kuwa Rita amefikaje pale? Rahel badala ya kunijibu alichomoa bastola akaninyooshea akaniambia
"kuhusu amefikaje apa mimi hainihusu,nilichotaka kwako nimekipata sasa naomba usinifuatilie tena na usinijue la sivyo nitakuuwa Sparner boy"
"mbona sielewewi Rahel mpenzi kwangu ulitaka nini?"
"hilo sio swali la kuniuliza kwanza naona hunijui vizuri.."
kabla hajamalizia kuongea alifyatua risasi iliyonikosa nikaanza kukimbia uku Rahel ananifukuza sambamba na kunifyatulia Risasi zilizokuwa zinanikosa.Nikiwa nakimbia nilimuona Herieth amesimama mahali ananicheka sana,nilimuomba anisaidie ila akawa ananicheka tu ni kama alikuwa anafurahia kilichokuwa kinanitokea.Rahel alinikamata shati kwa nyuma akaniwekea bastola kichwani,bila huruma akafyatua risasi nikalia mamaa...na apo nikastuka nipo kitandani na simu yangu iliyokuwa kwenye chaji ilikuwa inaita,Nilitetemeka sana sikuamini ile ni ndoto.sim iliendelea kuita wala sikupokea nilikuwa nahema sana mwili mzima nimeloa jasho.Nilitamani nipate tafsiri ya ndoto ile mbaya huenda ina maana.Baada ya simu kukata na kupigwa tena niliangalia nikakuta Rahel ndio anapiga,
"ha..hallow Rahel"
"vipi mpenzi wangu hali ya boss wako"
"nzuri tu anaendelea vizuri"
"unaongea kwa woga sana upo salama"
"nipo salama nilikuwa nafanya mazoezi siunajua asubuhi mazoezi lazima"
"ivi una kichaa,saa tatu usiku mazoezi gani alafu unaniambia sasa ivi ni asubuhi"
"aah..sasa ivi ni usiku kumbe samahani"
"f*ck you"
Alitukana akakata simu,mimi kwa mawazo yangu nilijua ni asubuh kwani ndio nilikuwa nimetoka usingizini.Nilikaa kitandani uku natafakari kuhusu ile ndoto,niliwaza mda mrefu sana ila sikupata jibu.Nilianza kupasua mayai kadhaa nikaange nile kupooza njaa,Mara mlango wangu uligongwa kwa fujo,
"nani wewe"
"mpenzi wako Rahel"
nilifungua uku najiuliza kwangu amepafaham vipi.Aliingia akawa anaangaza macho kama atamuona mtu mwingine, aliniuliza nipo na nani nikamuambia nipo peke yangu,nikamueleza kuwa nilikuwa nimelala pia kuna ndoto niliota mbaya nahisi imenichanganya ndio maana nikamuambia ni asubuh wakati ni usiku.Alinipa pole akaendelea kuandaa mayai mimi nikaenda bafuni kupunguza uchovu wa safari. Nilirudi tukala uku tunapiga story,baada ya kuhakikisha nimeshiba akaniaga na kuondoka uku ananiomba msamaha kwa kunihisi vibaya.
Siku zilienda,Herieth alizidi kunisistiza nifanye mapenzi na Rita,nilikuwa nakataa ila mwisho akaniambia nichague kati ya yeye na Rita namtaka nani,nilimchagua yeye kwa sababu alikuwa na mimba yangu,akaniambia basi kama ni ivyo nikafanye mapenzi na Rita ndio tuelewane nami nikakubali kwa shingo upande bila kujua lengo lake hasa ni nini...
Itaendelea..
 
Nilambe Apa 31
Sparner boy
Ilipoishia..
aliniambia nikafanye mapenzi na Rita ndio tuelewane nami nikakubali kwa shingo upande bila kujua lengo lake hasa ni nini..
Endelea..
Siku zilienda,nilikosa mda wa kimtafuta Rita,penzi la Rahel lilinichanganya sana.Ata Herieth sikuwa na hamu nae na ikitokea tumekutana ni round moja nimejitahidi sana mbili.mapenzi yangu yote yalikuwa kwa Rahel.Alinipenda na alinipa kila nilichokuwa nahitaji,njaa na ukata wa maisha nikawa nasikia tu kwa wenzangu mtaani.
Siku moja tukiwa mjini mimi na Rahel tunafanya manunuzi ya vitu mbali mbali,nilimuona Rita kwenye bar moja na marafiki zake wanakunywa.Ni muda sana sijamuona na urembo wake uliongezeka,niliwaza,
"binti mzuri kama huyu anajihusisha na mambo ya uchawi?"
kwa kuwa nilikuwa kwenye gari hakuweza kuniona.Tulifanya manunuzi uku namuharakisha Rahel lengo langu nimrudie Rita aniambie ukweli kuhusu kitendo alichomfanyia Herieth.Mwisho
tulimaliza na kurudi nyumbani.Kupunguza uchovu Rahel akaniambia tuingie bafuni.tulivua nguo tukajifunga taulo na kwenda bafuni ambapo tulianza kuogeshana kimahaba uku tunachezea maji,Umbo na uzuri wa Rahel ulinichanganya utadhani sikuwahi kumuona kabla,lolipop ilituna.nilijitahidi kuficha ila Rahel akaona. alinisogelea na kuniambia
"beby unataka?"
"ha..hapana"
"sasa mbona upo hivyo mpenzi ata mimi nataka"aliongea taratibu uku anasogeza mdomo wake kwangu.taratibu tulianza kupena mabusu uku tunapapasana kimahaba na miguno ya apa na pale ikawa inasikika,nilimpeleka ukutan,uku amesimama akanyanyua mguu mmoja akaniwekea kiunoni apo mashine yangu ata bila kuelelekezwa taratibu ikaanza kuingia kwenye utamu wa Rahel.Nilianza kumpa mambo uku amenikumbatia kwa nguvu anaongea maneno ambayo sikuyaelewa,baada dakika kadhaa tukabadili staili safar hii akashika sink mi nikaja kwa nyuma yake yani hii staili niliskia raha ya ajabu,Mechi iliamia kitandani mpaka tukawa hoi.Tulipumzika kidogo nikaoga tayari kuondoka.
"baby tulale jaman"
"hapana naomba leo niondoke nitakuja siku nyingine tulale"
nilimjibu na kumpiga busu la shavu,nikaondoka uku ananisindikiza kwa macho.
* * *
Nilitoka pale na kumpigia Rita. nilimuuliza alipo akaniambia mimi nikakodi taxi na baada ya muda mfupi nikawa nimefika.Nilimkuta yupo na majamaa wawili na msichana mmoja jirani na ile bar niliyomuona mchana.Alinikumbatia akaniambia amenimis na sauti yake ilionesha kabisa kuwa amelewa kwani akiwa amenikumbatia mimi ndio nilikuwa namzuia asianguke alikuwa anapepesuka kwa ulevi.Niliwasalimia wale majamaa na yule msichana stori mbili tatu tukawaaga na kuondoka.Niliwaza nikae nae mahali ila nikaona hatanielewa kwani alikuwa amelewa hivyo nikaenda nae kwangu.Tulifika akajitupa kitandani uku anaongea ovyo kilevi
"nipo kwa mpenz wanguu...leo ni zamu yangu..beby njoo nilambe apa.."
"nyamaza Rita sasa ivi ni usiku"
"ook,ook.njoo basi nilambe apa au ngoja nivue nguo kabisaa,leo navua mwenyewee"
alizidi kuropoka kilevi mi nikawa nimesimama mlangoni namuangalia.Alipobaki na skin tyte pekee,aliniangalia akaniambia
"haya njoo.come beby f*ck me please hii tyte utaimalizia mwenyewe au nivue na hii?"
sikumjibu.
Ingawa nimemgonga Rahel mda mfupi uliopita,ila nilipoangalia chuchu na mapaja ya Rita ashki ilinipanda.Nilipokumbuka kuwa Herieth alikuwa ananisisitiza nifanye mapenzi na Rita hamu ilitoweka nikawa na wasiwasi huenda kuna kitu,Rita aliendelea kuniita uku anatukana ovyo mimi nikawa nawaza nimgonge au la, pale ikatokea nafsi mbili zinabishana.Nafsi moja ikaniambia kama kungekuwa na tatizo basi Rahel angeshapata kwa sababu nilimgonga mchana,Nilitoka nje nikampigia Rahel Sim kujua kama ni mzima.
"hellow mzima wewe"
"yess am okey beby ila nimeshakumis natamani uje unipe tena you are so sweet"
"mi ni wako Rahel wangu nilitaka kusikia sauti yako tu"
"poa darling,i love you"
Nilikata simu nikarudi ndani,Rita alinifuata akanikumbatia na kunitupa kitandani alianza kunivua nguo zangu uku ananipa mabusu yasiyo na idadi,nilienjoy harufu ya wine aliyokunywa sijui ilikuwa ni wine gani nae akavua ile tyte yake sasa wote tukabaki kama tulivyozaliwa,alitoa pipi rungu yangu akawa anaishika kimahaba mimi nikawa hoi kwa raha,taratibu alipeleka mdomo kwenye pipi rungu ili ainyonye,kabla hajaifikia akaniambia..
"baby mbona huu ub*o unawaka waka"
"unawaka waka kivipi imekuwa taa ya krismas au madini?"
"inaonekana imetoka kuchimba madini mahali unanisaliti Sparner"
"inawaka waka kivipi"
Niliangalia na kugundua kweli kutokana na mwanga hafifu mle chumbani mpipii wangu ulikuwa unawaka waka na Rita akagundua kuwa nimetoka kupukuchua mtu.Ni kweli kabisa ila nikaendelea kubisha
"sijafanya mapenzi na mtu we pombe zako ndio zinakutuma vibaya"
tuligombana mwisho akanielewa.
Tulianza moja vuta nikutute mwisho mi nikiwa chini yeye juu akaiset mashine yangu kwenye utam wake akaanza kuukalia taratibu uku anauma lips zake kwa raha.
Wakati naendeleana dozi Rita aliniambia
"baby mbona shoti,napigwa shoti shoti jamani nakufaa"
aliongea hayo na kunyamaza kimya kifuani kwangu.
Itaendea
 
Nilambe Apa 32

by Sparner boy

Ilipoishia..
Wakati naendelea na dozi Rita aliniambia
"baby mbona shoti,napigwa shoti shoti jamani nakufaa"
aliongea hayo na kunyamaza kimya kifuani kwangu.
Endelea..
Nilimsukuma pembeni nikaanza kumwita kama ataitika bila mafanikio,niliposikiliza mapigo yake ya moyo,niliyasikia kwa mbali sana tena mara chache ni kama kila baada ya sekunde nane mpaka kumi.Kwa hali aliyokuwa nayo hakuwa wa kupona kabisa.Niliwaza nikamfukie usiku ule ule ila nikakumbuka nilipoondoka nae kuna marafiki zake walioniona nikiondoka nae hapo
nikachanganyikiwa nisijue la kufanya.Nilimuwaza Rahel mpenzi wangu atajiskiaje,ni mchana tu amenipa penzi ila bado nimemsaliti na yamenikuta haya yaliyonikuta roho iliniuma sana.Nilimvalisha Rita nguo zake hivyo hivyo akiwa amenyamaza kimya ata pumzi zilikuwa ni kama zinaendelea kufifia.Pale pale nikapata wazo la kumpigia Herieth,Nilimpigia mara mbili ila hakupokea.nilipojaribu mara ya tatu akapokea
"hallow Herieth"
"vipi mbona unahema hivyo usiku wote huu?"
"nimeisha,si uliniambia nifanye mapenzi na Rita"
"ehe,kwani vipi"
"amekufa amefia apa kwangu nimeisha mimi naomba nisaidie"
"aha,,safi,sasa si ni dem wako msaidie we unataka mimi nikusaidie nini?"
aliongea kwa jeuri na kukata sim ambapo nilijaribu kupiga mara kadhaa ila hakupokea.Jasho la hasira na uoga lilinitoka sikuamini Herieth angeweza kunifanyia ukatili wa aina hiyo.Niliangalia saa ilikuwa yapata saa sita usiku nikagundua hakukuwa na namna yoyote ya kumpeleka Rita hosptal kwani mtaa ninaokaa usiku kama ule madereva huwa wanaogopa kufika.Nilikaa kwenye sofa mpaka asubuh bila kupitiwa na usingizi.kulipopambazuka nikaita taxi na kumpeleka Rita hosptali ya bugando.Pale nilitoa maelezo kuwa ameanguka gafla asubuh na kupoteza fahamu,haraka alichukuliwa na kupelekwa wodi ya wagonjwa mahututi na baada ya muda doctor aliniita akaniambia.
"inaonekana amepigwa shoti ya umeme pia alifanya mapenzi mda mfupi kabla ya kukutwa na tatizo hilo"
"docta sio kweli ni.."
"unabisha nini au tuwaachie polisi wafanye uchunguzi,vipimo vinaonesha hivyo na amekutwa na mbegu za kiume kwenye uke au mlikuwa mnatiana uku anapika na jiko la umeme"
"isiende polisi docta naomba"
docta aliniangalia akatikisa kichwa na kuondoka.
Nilirudi nyumbani uku nikiwa na mawazo tele.Nilikagua pochi ya Rita na kukuta simu yake ambayo ilikuwa silent mode,ikiwa na miss call nyingi sana pamoja na meseji.Wakati nasoma soma zile meseji.kuna namba ikawa inapiga ambayo aliisave my twin mimi nikajua ni Anita,nilisita kidogo.kisha nikapokea
"hellow Anita mi Sparner""
"waaoh,kumbe Shem ndio umemzuia Rita ata kunijulisha mmh"
"hapana,naomba uje apa kwangu mara moja"
"kuna tatizo"
"wewe njoo"
Haikupita muda Anita alikuja ambapo bila kumficha nilimweleza ukweli kuwa tukiwa tunafanya mapenzi gafla Rita alipoteza faham nikampeleka hosptali.Anita alipanic sana ilinichukua masaa matatu kumwelesha apo kidogo akaanza kunielewa.tuliongozana mpaka wodi aliyolazwa Rita akiwa na drip pamoja na mipira ya kutosha uku hajitambui.Anita alipomwona dada yake katika hali ile aliangua kilio kila mtu akawa anamwonea huruma,haikuruhusiwa kumuona Rita ila Anita ilishindikana kumzuia.Machozi yalinitoka,nilikumbuka mambo niliyoyafanya na Rita toka tunasoma na alivyonikaribisha kidato cha kwanza yeye akiwa kidato cha pili nilibubujikwa na machozi.
Siku zilienda hali ya Rita bado ilikuwa vile vile uku Anita akiwa anamlinda hatoki pembeni ya kitanda cha Rita.Madaktari walimuacha kwa imani kuwa kwa sababu ni mapacha nafsi zao zitasaidiana Rita asipoteze uhai.
* * *
Kwa upande wa Rahel alishindwa kunielewa kwani nilikuwa nimebadilika sieleweki mda wote ni mtu wa mawazo na akiniambia tuonane nilikuwa namkwepa kutokana na mawazo niliyokuwa nayo.Siku moja alikuja kwangu bila taarifa mchana ambapo alinikuta ndio nimetoka kuoga,ni wiki sasa ilikuwa imepita pasipo mimi kugusa maji mda mwingi nilikuwa mtu wa mawazo.
Alifungua mlango akanimbia
"waaoh nimekuja mda muafaka,beby usivae surual i miss it"
"sipo sawa Rahel naomba niache kwanza nitakupa siku nyingine"
"waat,you are not serious beby"
aliongea maneno hayo na kunisukumia kitandani ile taulo niliyokuwa nimejifunga ikadongoka,alikuja kwa juu na kuanza kulamba dunduso yangu kwa staili kama mtu anelamba koni,aliamia kwenye magololi uku mkono wake mlaini unapapasa kipara cha koni yangu,alifanya hivyo kwa ustadi wa hali ya juu sana ila mnara wangu bado uligoma kusachi netweki mi akili yangu haikuwa pale kabisa
"honey jamani leo vipi au huna ham na mimi umetoka kwa madem zako"
"sipo sawa Rahel nilikuambia ila hukutaka kunisikiliza"
hakukata tamaa,alivua blause yake na kunisogezea chuchu zake nizinyonye kwani ndio udhaifu wangu ulipo uku akiniambia
"suck my boobs beby suck"
nilikataa ila kumridhisha nikafanya hivyo akawa anatoa miguno ya raha uku anapapasa koni yangu kiufundi sana,pamoja na juhudi zote hizo bado mnara uligoma kusachi netwek mawazo yangu yalikuwa hosptalini kwa Rita.sijui aliwaza nini akanipiga kibao cha uso paah..

Itaendelea
 
Nilambe apa 33

Sparner boy


ILIPOISHIA..
bado mnara uligoma kusachi netwek mawazo yangu yalikuwa hosptalini kwa Rita.sijui aliwaza nini akanipiga kibao cha uso paah.

Endelea
Nilitaka nimrudishie ila nikabaki nimeduwaa namuangalia.Aliniangalia kwa hasira akaniambia
"Umenisaliti mshenzi wewe au hunitaki"
"Rahel bora tuachane mimi naona umenifanya mtumwa wa ngono mi nakuambia sijiskii vizuri hunielewi"
"unasema tuachane?"
"ndio"
"c'moon baby usifanye hivyo nisamehe nimekumis sana ndio maana,sasa umeenda hospital"
"hapana kuna ela nasubiri mahali ndio niende"
"usijali ngoja nikupe hizi zitakusaidia uwah ili upone mpenz sawa"
"sawa"
Aliingiza mkono kwenye pochi akatoa noti mbili za dola 200 na kunipatia na baada ya hapo akaanza kunipigisha soga mpaka alipohakikisha furaha yangu imerudi ndio akaondoka.
Nilifurahi sana kupata zile pesa,kwangu ilikuwa bahati kubwa kwani pesa zangu za akiba ziliishia kwenye matibabu ya Rita na sikuwa na kitu tena.Jioni ya siku hiyo nilikwenda hospital,kwenye kitanda alicholazwa Rita nilikuta wazazi wake wamekuja kutoka Arusha,Mama Rita alikuwa analia sana baba Rita akawa anamtuliza akimwambia Rita atapona nae Anita macho yalikuwa mekundu kwa kulia usiku na mchana.Huruma ya ajabu iliniingia nilipoangalia familia ile inavyoteseka uku chanzo cha matatizo yote ni mimi.Nilijikaza machozi yasinitoke,kwa hasira nikatoka pale hospital mpaka nyumbani kwa Herieth ambapo nilimkuta amekaa sebuleni anaangalia tv na tumbo lake lilishaanza kuwa kubwa.Aliponiona akaniambia
"ooh baba watoto umekuja"
"sijaja kufanya utani na wewe naomba Rita apone"
"hee..mkuki kwa nguruwe mtamu ee,mimi alivyotaka kuniua mbona hukumfuata na kumuomba niwe mzima?"
"ni sawa ila umeniweka kwenye matatizo sasa mimi naonekana m'baya
"aah.hayanihusu"
"sikupendi huna huruma kwanza hiyo mimba itoe sitaki mtoto na shetani kama wewe"
"kwani nilishakufuata kukuomba msaada wowote?mimba sitoi,na wewe sikutaki"
"utatoa"
" sitoi kwanza toka kwangu.tokaa"
Kiunyonge niliondoka na kwenda nyumbani uku namuwaza Herieth,nilimchukia kuliko chochote kwenye hii dunia.
Usiku sikulala nilikuwa nawaza cha kufanya ili Rita apone.baada ya kumfuata Herieth na kunifukuza nilipata wazo kesho yake mimi mwenyewe nirudi ukerewe kwa yule mzee nikamuombe amsamehe Rita.Nilifurah kupata wazo hilo kesho yake asubuh nikaanza safari.Nilifika mjini na kuchukua usafiri wa pikipiki mpaka kwa mzee yule.Nilimkuta nje ananoa kisu kwenye jiwe nikamsalimia na uzuri akanikumbuka. Nilimwambia shida na historia yangu yote inayohusu mimi,Rita na Herieth.Alinisikiliza kwa makini akaniambia..
"pole mjukuu wangu mimi ndio nilikuwekea huo mtego kwamba ukifanya mapenzi na Rita yatokee hayo yaliyotokea na hii ni baada ya wewe kuzimia siku ile"
"Herieth ndio alinilazimisha nifanye mapenz na Rita babu nisaidie"
"ni lazima mgonjwa aletwe apa ndio apate tiba"
Hakukuwa na jinsi,nililala kwa yule mzee ata uoga niliokuwa nao mwanzo sikuwa nao tena na lile joka kwenye chungu sikumwogopa yani nililala fofofo.
Kesho yake nilirudi mjini nikiwa na furaha kuwa sasa Rita anaenda kupona.Kwa furaha niliyokuwa nayo nilienda kwa Rahel bila kumtaarifu nikampe mambo pia anitoe ela kidogo ya kunisaidia kumpeleka Rita ukerewe.Nilifika kwenye geti la Rahel ila kabla sijagonga nilisikia watu wanaongea kwa ndani
"Rahel unaonekana umenogewa na penzi la yule dogo "
"hapana usiseme hivyo ni kwamba.."
"kwamba nini mda wote malengo hayatimii mnapeana raha tu?"
"juzi ilikuwa ndio siku nzuri ila alikuwa mgonjwa hivyo hatukufanya kitu ila nimempa ela aende hospital kwanza ngoja nimpigie nimuulize hali yake"
Sauti ya Rahel niliitambua ila sauti ya pili ya kiume sikuitambua,niliposikia wanataka kunipigia sim nikaondoka eneo lile haraka uku nawaza wana malengo gani na mimi na juzi ningekubali kumgonga Rahel kwani nini kingenitokea,Nilijiuliza hayo maswali uku natetemeka kwa uoga.Sikutaka kuumiza kichwa sana kwa hilo nikawahi hospital.Nilifika na kumwita Anita pembeni nikamueleza kuwa kuna docta anaetumia dawa za kiasili anaweza kumtibu Rita.Anita hakunielewa akaniambia nataka nikamuue dada yake.Nilimpanga sana ila hakunielewa sasa sikuwa na ujanja tena nikarudi nyumbani uku nawaza nitafanyaje kwa sababu Anita hakuniamini ata kidogo na huwa habanduki pale.Kichwa kilikuwa kizito kwa mawazo.Nikimfikiria Rahel sikujua alikuwa na lengo gani na mimi,Herieth nae ameniacha wakati ana mimba yangu na Anita nae ndio hivyo hataki nikamtibu dada yake na sikutaka suala hili nimshirikishe mtu mwingine zaidi yake.
Siku zilienda na kutokana na muda niliyokaa mtaani,zile pesa nilizopewa na Rahel ziliisha na pakupata zingine sikujua.Ni hapo nilipogundua kuwa maisha yangu sasa yanaenda kuwa duni kama zamani ina maana Rahel akiniacha basi sina kimbilio tena.
Niliamua nimpigie kama kuna uwezekano nionane nae kwani udhaifu wake ni kwenye mapenzi na nilishalijua hilo,niliona nijitoe sadaka kama kuna baya anataka kunifanyia afanye tu kwani sikuwa na namna na nilikuwa tayari kufa ila Rita apone...

Itaendelea BILA KUSAHAU KUWASILISHA MCHANGO WAKO KABLA HUJATOLEWA. JUMANNE YANI KESHO NDIO MWISHO

SPARNER BOY..
 
Nilambe Apa 34
By Sparner Boy
Ilipoishia,,
sikuwa na namna na nilikuwa tayari kufa ila Rita apone.
Endelea..
Nilimpigia sim akapokea kwa furaha.
"ooh baby umenikumbuka leo"
"nmekumis sana Rahel upo wapi"
"nipo nyumbani pia nmekumis ila naogopa kukupigia tokea uniambie nimekufanya mtumwa wa ngono iliniumiza ata kukutafuta siku hizi naogopa"
"hapana mpenzi wala usiogope ilikuwa hasira tu"
"njoo basi nyumbani ndio nmetoka bafuni ata nguo sintavaa nakusubiri"
"wewe si uje kwangu?"
"njoo buana wewe uku,alafu sina mpango wa kutoka leo"
Sikuwa na ujanja kwa sababu nilikuwa na shida,nikajiandaa na kwenda kwake.Njiani niliwaza yule mwanaume ni nani na wanataka nini kwangu au ndio wauzaji wa ngozi za binadamu?mawazo ya ajabu yaliendelea kunitawala mpaka miguu ikawa mizito nikatamani kurudi ila nilipokumbuka Rita anahitaji msaada wangu nilipata nguvu na kusonga mbele.
Nilifika nikamkuta Rahel amejilaza kitandani amefunga kanga moja mapaja yapo wazi yani alikuwa anavutia sana.Akiwa amelala kwa tumbo nilimlalia kwa juu nikam'busu shavuni,kwa kutumia ulimi wangu nikawa namlamba nyuma ya shingo yake kwa staili kama nachora duara,
"ooh baby nilimis mautundu yako jaman ooh yees"
nilifanya hivyo kwa muda nikatoka apo akashuka na kuondoka mle chumbani.Nilipunguza nguo zangu nikabaki na bukta juu na vest,Haikupita muda alikuja na chupa ya red wine pamoja na glass mbili.Tulikunywa uku tunapiga stori za kawaida,mda mchache baadae ile wine ilianza kunikolea na ashki ikanipanda ajabu.Nilimfungua ile kanga na kumlaza chali kitandani akiwa kama alivyozaliwa nikamwaga wine kidogo katikati ya matiti yake.Alishtuka kidogo nilipomwagia ile wine ambapo ilianza kusambaa sehemu mbalimbali za mwili wake,taratibu nikaanza kufuata michirizi ile ya wine kwa kutumia ulimi wangu kila wine ilipopita nilikuwa nafuata kwa ulimi Rahel akawa anajinyonga nyonga pale kitandani.Nilianza ya kwenye shingo,tumboni,kwenye kitovu na kuna ingine ilitiririkia karibu na kwenye utam,nilipeleka ulimi mpaka eneo lile ambapo ilikuwa karibu sana na kwenye utamu,Rahel alichanganyikiwa nilipofika maeneo yale akawa anaongea tu kingereza
"ooh,suck.suck my p*ssy beby,suck it,oh yes,yess"
niliamia kwenye mapaja yake sasa kule ata wine haikufika nikarudi pembezoni mwa mlango wa utamu kisha nikazama utamuni apo akawa amenishika kichwa anapapasa nywele zangu kuna mda akawa anazivuta vuta yani siku hiyo nilipanga kumpa mambo ya uhakika apagawe.Vuta nikuvute mwisho alikuwa hoi ata kufumbua macho hakuweza tena na hapo nikamuweka sawa taratibu nikaanza kumpa mambo,nilimpa mambo uku nawaza matatizo yanayonikabili katika maisha yangu,Akili haikuwa pale na hali hiyo ilifanya nisifike mwisho mapema.Nilitoka kwenye dimbwi la mawazo baada ya kusikia kelele rahel amezidisha uku ananipiga piga mgongoni hali iliyoashiria alikuwa anakaribia kuvunja dafu,niliongeza kasi ambapo alinikwaruza shingoni uku anapiga kelele za utamu.
Baada ya mechi tulijilaza kitandani Rahel akanilalia kifuani na kusema
"sijui kama nitaweza kuachana na wewe na sintakusahau kamwe"
"kwa nini unasema hivyo,unataka kuniacha?"
"mmh,,basi tu yani"
aliongea kama kuna kitu alitaka kuniambia ila akawa anasita"
Sikutaka kumuhoji sana kuhusu hilo.Siku hiyo nililala nae mpaka asubuhi na dozi niliyompa nilijua atachukua wiki mbili ndio atake dozi yangu.Asubuh niliamka yeye alikuwa bado amelala nikaoga na kumuamsha kuwa nataka kuondoka.
"mpenzi nimechoka ata kupika chai nmeshindwa"
"usihofu nitakunywa barabarani"
"okey"
aliitika na kujigeuza sasa pale nikashindwa jinsi ya kuanza kumtoa pesa.Wakati naondoka nilitupa macho kwenye meza ya kujipambia(dresin table) ambapo niliona pochi ya Rahel na huwa anapenda sana kutembea nayo.Nilifungua na kukuta dola nyingi zikiwa zmejipanga,nilichomoa noti moja ya dola 500 na kuondoka nayo zingine nikaziacha.
* * *
Baada ya siku kadhaa nilienda kubadilisha ile dola ambapo kwa wakati ule nilipata laki 9 na elfu 75.Wakati narudi nyumbani uku nawaza jinsi ya kumtoa Rita pale hosptal kuna gari lilikuja na kupaki mbele yangu,nilirudi nyuma kwa kudhani ni majambazi ila nikasikia nimeitwa jina langu na kwenye lile gari akashuka Domy
"njoo twende kaka za mida"
"aah,poa aisee"niliitikia na kupanda safari ikaendelea.Domy maisha yalikuwa mazuri alikuwa na gari tayari.Aliniambia..
"aise ulinisaidia sana kwa Jude sintakusahau kaka mi chuo niliacha niliona hana faida kwangu"
"ila hongera maisha yamekunyookea"
"asante wewe vipi"
"mabaya sana nina matatizo"
"matatizo gani kaka nikusaidie kama nitaweza?"
bila kumficha nilimuadithia matatizo yangu yote.alinisikiliza kwa makini akaniambia
"daah,,pole kaka yani kama movie"
"acha tu jamaa"
"kinachokusumbua ni kwamba unataka kumtoa Rita na kumpeleka ukerewe ila Anita anabana si ndio?"
"Ndio"
"hiyo Rahisi,tutafanya kitu cha hatari na itaonekana kama ukatili kwa sasa ila faida badae"
"ukatili gani?"
"utajua we twende kwanza ivi"
aliongea tukawa tunelekea nisipopajua uku ameongeza mwendo wa gari..
Itaendelea..
 
Nilambe Apa~35
Sparner boy 1
Ilipoishia
"ukatili gani?"
"utajua we twende kwanza ivi"
aliongea hayo tukawa tunaelekea nisipopajua
Endelea..
Aliniuliza kama nipo tayari kwa siku hiyo nikamwambia nipo tayari,safari iliishia kwenye nyumba moja nzuri sana Domy akaniambia pale ni kwa boss wake hivyo nimsubiri anaenda kuonana nae alafu atarudi.Nilimwitikia akachukua begi lililokuwepo mle ndani ya gari na kuingia nalo kwenye lile jumba ambapo baada ya nusu saa akarejea.
"nimechelewa ee"
"aah kawaida tu mwana"
"sasa niskilize,kati ya Rita na Anita unampenda nani zaidi"
"wote ila Rita zaidi kwa sababu ni demu wangu"
"tumuuwe Anita tuweze kumchukua Rita"
"aah,jamaa ndio umenileta uku kunieleza huo ujinga mimi sipo tayari kwa kuuwa mtu"
"haha,umepanic sana natania tu,point ni ivi,unaona hiki kitambaa"
"ndio kwani vipi"
"kina madawa ya kulevya tutamnusisha Anita atalala na hapo tutatoka na Rita kiulaini"
Nilifikiria lile wazo lake nikaona linafaa.
Usiku majira ya saa tatu tulienda hospitali,mlinzi alituzuia kwani haukuwa mda wa kuona wagonjwa,tulimpanga sana na baada ya kumuonga pesa akaturuhusu na akatuambia tukiulizwa tuseme kuwa tumeleta chakula cha mgonjwa. Tulitoka apo tukaenda hotelini na kununua chakula ili ikitokea tumebanwa sana tuoneshe kile chakula.Tulirudi na kuingia mpaka sehemu ya parking na kuegesha gari pale taratibu tukaanza kupiga hatua kuelekea ndani.Docta mkuu kwa muda ule hakuwepo zaidi ya manesi wawili tu ambapo tuliwaita pembeni tukawaeleza shida yetu bila kuwaficha mwanzoni ilikuwa vigumu wao kutuelewa ila kwa kuwa mimi wananijua pale hospital na huwa naenda sana pale waliniruhusu kwa sharti ya kuwapa laki tatu.Tulivutana tukawapa laki 2 wao wakaendelea na kazi zao kutupisha sisi tufanye tunachotaka.Tulielekea kwenye kitanda cha Rita ambapo Anita alikuwa amesinzia uku ameegemeza kichwa kwenye miguu ya Rita,afya ya Anita ilikuwa imenyong'onyea sana alikuwa anatia huruma.Bila kupoteza muda Domy alitoa kile kitambaa na kumnusisha Anita na baada ya kutapa tapa akijaribu kujinasua bila mafanikio alinyamaza kimya.Kwa kuwa wodi ilikuwa ya wagonjwa mahututi hatukuwa na wasiwasi taratibu tulim'beba Rita mpaka kwenye gari na kuondoka nae.Kwa usiku ule tusingepata boti inayoenda ukerewe hivyo tulinyoosha mpaka kwenye bar moja na kupaki kisha tukafunga vioo na kuingia ndani na baada ya kula tuliagiza pombe tukaanza kunywa,Domy aliniambia
"umeona kazi ilivyo rahisi ee"
"tumetumia akili sana aise sio rahis"
Wakati tunaendelea kunywa uku tunapiga story za apa na pale waliingia wasichana wawili wazuri sana na kuomba kukaa kwenye meza yetu na sisi bila kujiuliza tukawakaribisha.Waliagiza pombe wakaanza kunywa uku Domy anawapigisha sana stor mimi sikuwa muongeaji sana,Kadiri muda ulivyokuwa unaenda ndivyo hali ya pale ilibadilika hasa kwa Domy ambapo alianza kumshika shika mmoja wa wale wasichana pale pale mezani mda mwingi mkono wake ulikuwa ndani ya kimini cha huyo dada sijui alikuwa anafanya nini kule kwenye buyu la asali yule dada mara tule dada akaropoka
"yes,ooh,,una sh..ngaap"
nilishtuka kusikia anamuuliza Dommy kuwa ana shilingi ngapi apo nikajua wale akida dada na makahaba watu nnaowaogopa sana katika maisha yangu.Domy alimsikiliza kwa makini akamuuliza..
"kwani wewe unataka shilingi ngapi"
"ooh,kwenye gari au chooni ni elfu 10,guest 15 kama tulienda kwako ni elfu 50"
"mi nataka apa apa itawezekana?"
"ndio elfu kumi"
mimi na yule binti mwingine tulikuwa tunaendelea kunywa kama hatujui kinachoendelea bila aibu yule binti akavua chupi na kuweka kwenye kibegi akabaki na kimini cheupe apo ndani akawa hajavaa kitu.Taratibu alifungua zipu ya Domy tayari kutoa pipi rungu ila mimi nikawazuia kwa kuwaambia bora waende gest pale ni aibu.Domy alinisikiliza wakachukua chumba pale pale na kuingia wakaniacha mimi pale mezani na yule binti mwingine.Yule binti aliniangalia,kwa sauti ya upole akaniambia
"wewe hutaki nipo tayari kukuliwaza"
"hapana"
"ni nzuri au nkupe ujaribu na kidole"
"hapana nmesema sitaki"
"nyoo,,huna dola wewe kafie mbali"
aliongea yule binti na kuondoka kwa hasira,Nilimalizia pombe yangu pale nikaona hapanifai nikarudi kwenye gari nikafungua na kupumzika mle ndani na kila nilimwangalia Rita roho iliniuma sana ni kama alikuwa amekufa.Nilikaa pale usingizi ukanipitia nikaja kushtuka kumekucha na Domy bado hajaja.Niliamka haraka kwa sababu nilitaka kuwahi boti ya asubuh na mapema ila wakati nawaza nishuke nimfuate kule chumbani nilimuona anakuja,tukasalimiana na safari ikaanza uku Domy bara bara nzima alikuwa anamsifia yule kahaba mimi story hizo zilikuwa haziniingii mawazo yangu nilikuwa nawaza nifike ukerewe haraka Rita apone nimuone kwa mara nyingine.Nilifanikiwa kupata boti ingawa nilipata usumbufu kwani walikuwa wanagoma kumpakiza Rita wakidai ni marehemu.Mwisho nilifanikiwa kupata boti na safari ikaanza uku nampungia Domy yeye nilimuacha mwanzaNilivyofika mbali niliona magari kadhaa ya polisi wamekuja na kumuweka domy chini ya ulinzi na nilipoangalia
Itaendelea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom