Alafu mkuu mbona ile anaenda mission Congo kila nikiitafuta siipati? Waweza kunilink pls? Hata jina tu nikaisearch maana niliishia pale amepangisha chumba hotel iliyokaribu na kambi ya jeshi Congo akimvizia mkubwa flani ambaye nae alikuwa kwenye list yake.Miguu ya kokoriko a.k.a Jogoo wa Congo hapa tena, Ikiwa ni katika Viunga vya Jiji la Nairobii
Hata hii pia anaiuza,mi nishaisoma yote whatsup!Alafu mkuu mbona ile anaenda mission Congo kila nikiitafuta siipati? Waweza kunilink pls? Hata jina tu nikaisearch maana niliishia pale amepangisha chumba hotel iliyokaribu na kambi ya jeshi Congo akimvizia mkubwa flani ambaye nae alikuwa kwenye list yake.
Anauza sh ngapi ngapi?Hata hii pia anaiuza,mi nishaisoma yote whatsup!
2500Anauza sh ngapi ngapi?
Ukimtumia 5000 anakutumia zote mbili!Anauza sh ngapi ngapi?
Pale juu anapoanza riwaya kaweka namba zake,wasiliana nae ndio umtumie pesa!Ukimtumia 5000 anakutumia zote mbili!
Mwandishi wa tamthilia hii ndio yule yule wa ile ya miguu ya kuku Congo ili nimtafute PM now?Ukimtumia 5000 anakutumia zote mbili!
Asante mkuu...maana si kwa alosto hii aliyonisababishia😂😂Pale juu anapoanza riwaya kaweka namba zake,wasiliana nae ndio umtumie pesa!