chiko18
Senior Member
- Jan 6, 2015
- 151
- 106
Nimecheka sana, kwa sababu ni member wa ukweli sisemi neno.!
Si unajua jokes ni nzur kweny maeneo ya burudan kama haya, tunataniana siku zinaenda, haiwezekan makazin tukawa serious had hku pia?
Nimecheka sana, kwa sababu ni member wa ukweli sisemi neno.!
Nimekupenda... Ukirudia kusoma utaelewa zaidi na sidhani kama huko mbele kuna ufafanuzi zaidi ya huo.
Labda ni hoza ndo huyo mtoto na majeraha kasha kufa nayo
Nimecheka sana, kwa sababu ni member wa ukweli sisemi neno.!
Nimeingia humu kwa mbwembwe nyiiiingi! Kumbe bado bila bila