Hongera Mkuu idawa sikujua kama una kipaji cha utunzi Mkuu. Mie wala sijaisoma ila nilikuwa nafuatilia michango ya wasomaji wa riwaya hii ambao wanaelekea wameipenda sana. Kila la heri Mkuu.
idawa weeee mwenzako hii foleni huwa naipoza kwa MSAKO WA HAYAWANI sasa leo unaua bendi mkuu. Kama unabanwa sana mpatie collabo mdau mwingine muwe mnatupia kwa zamu km kidikudi na wenzake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.