Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Kama una uwezo wa uendelea endelea tu mkuu arosto inatumalizaHaya Ngoja Nisiiweke kabisa ili Uniume vzr
Kama una uwezo wa uendelea endelea tu mkuu arosto inatumalizaHaya Ngoja Nisiiweke kabisa ili Uniume vzr
Jamaaani tuwekeee koncho anaweweseka na arosto tusaidie mkuuHaya Ngoja Nisiiweke kabisa ili Uniume vzr

Nilizani kawekaNaona kitu Kimetulia!

Mwee yaani kitu anachofanya mungu anamuonaNilizani kaweka![]()
Hata usipoiweka niliiachaga zamani sana kuisomaHaya Ngoja Nisiiweke kabisa ili Uniume vzr
Hawa wananata kweli yani na wapo wengi humu wanaanzisha story na badae wanaanza kunata mara oooh simu yangu sahv haina uwezo Mara ooooh niliko huku mtandao unasumbua mala cjui nibi khaaaa kama hamtaki kuzileta hizo story si mkaushe tu au kama mnataka kuchangiwa si mseme tu tuchange..
Mkuu numekutumia SMS pmMbulula wewe
Huna pesa ya kunichangia
We pambana na hali yako
Mkuu nilikupm na nimekupa hadi namba zanguMwenye Kuitaka Hio Hadith Mwanzo Mwisho amcheki Mtunzi whatsapp kwa no zake hapo
Sawaaa nicheke tuu
Yaani wanakeraa sana, nadhani hawamaliziagi kutunga ila wanakiherehere cha kuleta story ambazo hazijakamilika.Hawa wananata kweli yani na wapo wengi humu wanaanzisha story na badae wanaanza kunata mara oooh simu yangu sahv haina uwezo Mara ooooh niliko huku mtandao unasumbua mala cjui nibi khaaaa kama hamtaki kuzileta hizo story si mkaushe tu au kama mnataka kuchangiwa si mseme tu tuchange..
Asee itabidi waache kihelehele sasaYaani wanakeraa sana, nadhani hawamaliziagi kutunga ila wanakiherehere cha kuleta story ambazo hazijakamilika.
Ngoja niendelee kumsoma remuttuz kwanza