Riwaya: Bring back our girls

Riwaya: Bring back our girls

KUTOKA MASIMULIZI

NAWAJULISHA WAPENZI WASOMAJI WETU KWAMBA KUMEKUWA NA UKIMYA MKUBWA SIKU ZA KARIBUNI.NIMEPOTEZA (IBIWA) KOMPYUTA YANGU NINAYOTUMIA KUANDAA NA KUHIFADHI SIMULIZI HIVYO NIMEANZA UPYA KUANDAA MWENDELEZO WA SIMULIZI ZILIZOKUWA ZINAENDELEA.HATA HIVYO WAKATI TUNASUBIRI NINAWALETEA SIMULIZI MPYA YA KUSISIMUA
THE FOOTBALL.
 
ae1a00b27fb3203ea8202320682971e8.jpg
 
Me ndo NaanZa Kuisoma anaeitaka Amuone Mtunzi Hii iko Sokoni kwa Buku 3 tu

b64951aec764e9263c68b62b38d79781.jpg
Ni kali sana. Ndo nimemaliza kusoma season 3.
Kinachofurahisha ni kwa wale walioisoma hadithi ya Paniela. Basi kwenye hii Methew na Paniela wamo.

Natamani wiki ijayo ifike mapema tupate S4
 
Ni kali sana. Ndo nimemaliza kusoma season 3.
Kinachofurahisha ni kwa wale walioisoma hadithi ya Paniela. Basi kwenye hii Methew na Paniela wamo.

Natamani wiki ijayo ifike mapema tupate S4

Mkuu naomba unitumia pm hiyo hadithi nami nipitishe macho!!!
 
Mtu wa maana alikua LEGE tu jamaa muungwana sana lakini haya mengine famba tu yanaroho mbaya km yule jamaa wa magogoni.
 
*KUTOKA MASIMULIZI*

TUNAKUJULISHA KUWA SIMULIZI YA THE FOOTBALL SEASON 4 IMETOKA NA UNAWEZA KUIPATA
 
huna maana kabisa mbwembwe nyingii kumbe misifa yakiboya tu kwanini hukusema mapema kama unaleta nusu ili mtu aamue mwenyewe kusoma au kuacha ona unavyotesa watu' au ndio furaha yako-
 
huna maana kabisa mbwembwe nyingii kumbe misifa yakiboya tu kwanini hukusema mapema kama unaleta nusu ili mtu aamue mwenyewe kusoma au kuacha ona unavyotesa watu' au ndio furaha yako-

Mkuu Kipande nilicho kileta ndo ambacho kisha tungwa na Mtunzi mpaka sasa
Bado tunasubiria mtunz aimalizie kisha tutaodondosha yote hapa na Utakuwa mwisho wa Matuc yako
Ila kama unayo basi ilete nami ntakupa cash 100,000
Wakati mwingine Mikono yako huondoa haiba yako
So plz Fikiri kabla ya Ku type
 
Mkuu Kipande nilicho kileta ndo ambacho kisha tungwa na Mtunzi mpaka sasa
Bado tunasubiria mtunz aimalizie kisha tutaodondosha yote hapa na Utakuwa mwisho wa Matuc yako
Ila kama unayo basi ilete nami ntakupa cash 100,000
Wakati mwingine Mikono yako huondoa haiba yako
So plz Fikiri kabla ya Ku type
Mkuu watu kama hao potezea ujue ebu malizana na tumosa
 
Back
Top Bottom