Kajuni
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 486
- 186
Hi wana JF poleni kwa foleni juzi,jana na leo (Kwa waishio Dar)...msemo huu unanikumbusha wale tulio soma hizi shule za sikinde/Kayumba au vodafasta!!!!.
Wana JF hivi sasa tupo kwenye mjadala kuhusu katiba mpya, katiba ambayo tunategemea kama MOLA akipenda itadumu kwa miongo mitano ijayo au hata karne kama wenzetu huko Marekani na kwingineko. Hivyo basi ili kutusaidia katika kutafakali na kuchambua muswada ulio mbele yetu na kujaribu kutorudia rudia mambo yaliyo kwisha fanyiwa kazi na watangulizi wetu(to re-invent the wheel). Naomba kwa yeyote ambaye anaweza kutuwekea hizo ripoti zinazo usiana na mapendekezo ya katiba... sina hakika kama ni ripoti ya jaji kisanga au jaji Nyalali au nyinginezo muhimu in relation to constitutional writing/review. wadau tuwekeeni ili tuendelee kufikiri na kuchambua mambo ki JF. Naomba kuwakilisha.
Wana JF hivi sasa tupo kwenye mjadala kuhusu katiba mpya, katiba ambayo tunategemea kama MOLA akipenda itadumu kwa miongo mitano ijayo au hata karne kama wenzetu huko Marekani na kwingineko. Hivyo basi ili kutusaidia katika kutafakali na kuchambua muswada ulio mbele yetu na kujaribu kutorudia rudia mambo yaliyo kwisha fanyiwa kazi na watangulizi wetu(to re-invent the wheel). Naomba kwa yeyote ambaye anaweza kutuwekea hizo ripoti zinazo usiana na mapendekezo ya katiba... sina hakika kama ni ripoti ya jaji kisanga au jaji Nyalali au nyinginezo muhimu in relation to constitutional writing/review. wadau tuwekeeni ili tuendelee kufikiri na kuchambua mambo ki JF. Naomba kuwakilisha.