Ripoti ya UN inadai askari wa Tanzania waliuawa na wanajeshi wa Congo

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
34,113
62,821
..kama mtakumbuka kuna taarifa za askari wetu wawili kupoteza maisha na wengine ishirini na sita kujeruhiwa huko DRC ktk shambulizi la kushtukiza.

..habari za mwanzo ziliekea kuwatuhumu waasi wa ADF kwa shambulizi hilo. Taarifa zilizotolewa na Reuters hivi karibuni zinasema wachunguzi wa UN wametoa ripoti wakidai kwamba askari wetu waliuawa na wanajeshi wa DRC.

..kuna madai kwamba walifanya hivyo baada ya kupewa taarifa kuwa askari wa Tanzania wanashirikiana na waasi wa ADF.

..Taarifa hizi zinachanganya. Askari wetu wametumwa kwenda kuwalinda wananchi wa DRC dhidi ya mashambulizi ya vikundi vya waasi/magaidi. Sasa imekuwaje tena watuhumiwe kushirikiana na kikundi cha waasi/magaidi?

..Pia Tanzania iko kusaidia jeshi la DRC ambalo bila shaka limeelemewa na utitiri wa vikundi vya magaidi. Sasa inakuwaje jeshi tulilokwenda kulisaidia linaua askari wetu? Ni majuzi tu, mamia ya askari wa Congo walihitimu mafunzo yao hapa Tanzania. Sasa leo tumegeuka maadui wao?

..Je, kuna askari wetu wamekosa nidhamu na uzalendo na kwenda kunyime na kile walichotumwa kwenda kufanya DRC. Kama ni hivyo jeshi limechukua hatua gani?

..Je, jeshi la DRC liliwashambulia askari wetu kimakosa? Kama ni hivyo hatua gani zimechukuliwa na jeshi na serikali ya DRC?

..Hivi muda wote mpaka UN wanatoa taarifa, JESHI letu ilikuwa halijafanya uchunguzi wake na kufahamu askari wetu walishambuliwa na nani huko DRC? Kwanini umma wa wa-Tz haujapewa taarifa zozote mpaka tusome kwenye vyombo vya habari vya nje?


cc Moshe Dayan, Nyenyere, Kichuguu, MK254, Echolima, MsemajiUkweli, Pasco, Manyerere Jackton, Ritz, MsemajiUkweli, Nguruvi3
 
DRC is corrupted..sina imani na wanajeshi wao..pia waTZ hawajaanza kwenda congo mwaka huu..!! Naona hapo kuna kamchezo kachafu kalifanyika...
 
Mkuu JokaKuu, hii ni ya lini tena! Au ni kile kikosi kilichokuwa chini ya Jenerali James Mwakibolwa?
 
..kama mtakumbuka kuna taarifa za askari wetu wawili kupoteza maisha na wengine ishirini na sita kujeruhiwa huko DRC ktk shambulizi la kushtukiza.

..habari za mwanzo ziliekea kuwatuhumu waasi wa ADF kwa shambulizi hilo. Taarifa zilizotolewa na Reuters hivi karibuni zinasema wachunguzi wa UN wametoa ripoti wakidai kwamba askari wetu waliuawa na wanajeshi wa DRC.

..kuna madai kwamba walifanya hivyo baada ya kupewa taarifa kuwa askari wa Tanzania wanashirikiana na waasi wa ADF.

..Taarifa hizi zinachanganya. Askari wetu wametumwa kwenda kuwalinda wananchi wa DRC dhidi ya mashambulizi ya vikundi vya waasi/magaidi. Sasa imekuwaje tena watuhumiwe kushirikiana na kikundi cha waasi/magaidi?

..Pia Tanzania iko kusaidia jeshi la DRC ambalo bila shaka limeelemewa na utitiri wa vikundi vya magaidi. Sasa inakuwaje jeshi tulilokwenda kulisaidia linaua askari wetu? Ni majuzi tu, mamia ya askari wa Congo walihitimu mafunzo yao hapa Tanzania. Sasa leo tumegeuka maadui wao?

..Je, kuna askari wetu wamekosa nidhamu na uzalendo na kwenda kunyime na kile walichotumwa kwenda kufanya DRC. Kama ni hivyo jeshi limechukua hatua gani?

Sio kweli kuwa Majeshi ya Tanzania kwa namna yoyote waliweza kusaidia ADF, Ila Inawezekana Kabisa Katika Jeshi la Congo kuna Maafisa ambao wanahongwa na yale mataifa mawili yanayoleta shida Congo, Mnayajua. Ushahidi uliyopo ni Ushirikiano wa Karibu uliokuwepo baina ya Baadhi ya Maofisa wa Jeshi la Kongo na Viongozi wa waasi Major Nkunda na Yule aliyekamatwa na IHRT Bosco Ntaganda.
Kadhalika ilitolewa Amri na afisa asiyejulikana Kumuua Askari Kijana Shupavu sana Colonel Mamadou Ndala, ambaye sambamba na majeshi ya UN aliongoza Jeshi la Miguu kuteka maeneo mengi yaliyokuweko chini ya waasi Ikiwepo mji wa Goma. Mamadou Ndala alikuwa na upendo sana kwa Raia na Kuweka Nidhamu na undugu wa hali ya juu kwa askari wake. Ni wazi Kuwa Kama ilivyokuwa wanajeshi wa Tanzania asingeweza Kupendwa na Maafisa hao!
Congo Ni shiida, Unapokuwa na Jeshi Lenye infiltrators na collaborators (Wasaliti).


..Je, jeshi la DRC liliwashambulia askari wetu kimakosa? Kama ni hivyo hatua gani zimechukuliwa na jeshi na serikali ya DRC?

..Hivi muda wote mpaka UN wanatoa taarifa, JESHI letu ilikuwa halijafanya uchunguzi wake na kufahamu askari wetu walishambuliwa na nani huko DRC? Kwanini umma wa wa-Tz haujapewa taarifa zozote mpaka tusome kwenye vyombo vya habari vya nje?


cc Moshe Dayan, Nyenyere, Kichuguu, MK254, Echolima, MsemajiUkweli, Pasco, Manyerere Jackton, Ritz, MsemajiUkweli, Nguruvi3
..kama mtakumbuka kuna taarifa za askari wetu wawili kupoteza maisha na wengine ishirini na sita kujeruhiwa huko DRC ktk shambulizi la kushtukiza.

..habari za mwanzo ziliekea kuwatuhumu waasi wa ADF kwa shambulizi hilo. Taarifa zilizotolewa na Reuters hivi karibuni zinasema wachunguzi wa UN wametoa ripoti wakidai kwamba askari wetu waliuawa na wanajeshi wa DRC.

..kuna madai kwamba walifanya hivyo baada ya kupewa taarifa kuwa askari wa Tanzania wanashirikiana na waasi wa ADF.

..Taarifa hizi zinachanganya. Askari wetu wametumwa kwenda kuwalinda wananchi wa DRC dhidi ya mashambulizi ya vikundi vya waasi/magaidi. Sasa imekuwaje tena watuhumiwe kushirikiana na kikundi cha waasi/magaidi?

..Pia Tanzania iko kusaidia jeshi la DRC ambalo bila shaka limeelemewa na utitiri wa vikundi vya magaidi. Sasa inakuwaje jeshi tulilokwenda kulisaidia linaua askari wetu? Ni majuzi tu, mamia ya askari wa Congo walihitimu mafunzo yao hapa Tanzania. Sasa leo tumegeuka maadui wao?

..Je, kuna askari wetu wamekosa nidhamu na uzalendo na kwenda kunyime na kile walichotumwa kwenda kufanya DRC. Kama ni hivyo jeshi limechukua hatua gani?

..Je, jeshi la DRC liliwashambulia askari wetu kimakosa? Kama ni hivyo hatua gani zimechukuliwa na jeshi na serikali ya DRC?

..Hivi muda wote mpaka UN wanatoa taarifa, JESHI letu ilikuwa halijafanya uchunguzi wake na kufahamu askari wetu walishambuliwa na nani huko DRC? Kwanini umma wa wa-Tz haujapewa taarifa zozote mpaka tusome kwenye vyombo vya habari vya nje?


cc Moshe Dayan, Nyenyere, Kichuguu, MK254, Echolima, MsemajiUkweli, Pasco, Manyerere Jackton, Ritz, MsemajiUkweli, Nguruvi3


Sio kweli kuwa Majeshi ya Tanzania kwa namna yoyote waliweza kusaidia ADF, Ila Inawezekana Kabisa Katika Jeshi la Congo kuna Maafisa ambao wanahongwa na yale mataifa mawili yanayoleta shida Congo, Mnayajua. Ushahidi uliyopo ni Ushirikiano wa Karibu uliokuwepo baina ya Baadhi ya Maofisa wa Jeshi la Kongo na Viongozi wa waasi Major Nkunda na Yule aliyekamatwa na ICC, Bosco Ntaganda.
Kadhalika ilitolewa Amri na afisa asiyejulikana Kumuua Askari Kijana Shupavu sana Colonel Mamadou Ndala, ambaye sambamba na majeshi ya UN aliongoza Jeshi la Miguu kuteka maeneo mengi yaliyokuweko chini ya waasi Ikiwepo mji wa Goma. Mamadou Ndala alikuwa na upendo sana kwa Raia na Kuweka Nidhamu na undugu wa hali ya juu kwa askari wake. Ni wazi Kuwa Kama ilivyokuwa wanajeshi wa Tanzania asingeweza Kupendwa na Maafisa hao!
Congo Ni shiida, Unapokuwa na Jeshi Lenye infiltrators na collaborators (Wasaliti).

Maelezo mazima ya Maisha ya Kuuwawa kwa Mamadou Ndala.

Nkunda anayedhaniwa anaundugu na Rais wa Rwanda yeye alikuwa hana Ukatili sana kwa Raia, Kwa sasa amekimbilia Rwanda na Inadaiwa ati awekewa Kifungo cha Ndani. Naamini ameficha kusaidiwa asikamatwe na ICC
 
Nchi corrupted na wananchi wake ni hivyo hivyo.. Walificha ukweli wakifikiri hata nje ya Tanzania kuna siri na kulindana. Kama walikwenda kinyume na kile kilicho wapeleka huko basi DRC walifanya busara kuwa fyeka risasi ili next time iwe fundisho kwa wengine wenye kwenda kinyume na malengo husika. Hii nchi kila kukicha ni skandols zisizo na kichwa wala miguu.
 
Kama uliwahi kuiamini serikali ya Mkwere kwa jambo lolote lile basi nakupa pole sana,you were trusting the wrong people.
..kama mtakumbuka kuna taarifa za askari wetu wawili kupoteza maisha na wengine ishirini na sita kujeruhiwa huko DRC ktk shambulizi la kushtukiza.

..habari za mwanzo ziliekea kuwatuhumu waasi wa ADF kwa shambulizi hilo. Taarifa zilizotolewa na Reuters hivi karibuni zinasema wachunguzi wa UN wametoa ripoti wakidai kwamba askari wetu waliuawa na wanajeshi wa DRC.

..kuna madai kwamba walifanya hivyo baada ya kupewa taarifa kuwa askari wa Tanzania wanashirikiana na waasi wa ADF.

..Taarifa hizi zinachanganya. Askari wetu wametumwa kwenda kuwalinda wananchi wa DRC dhidi ya mashambulizi ya vikundi vya waasi/magaidi. Sasa imekuwaje tena watuhumiwe kushirikiana na kikundi cha waasi/magaidi?

..Pia Tanzania iko kusaidia jeshi la DRC ambalo bila shaka limeelemewa na utitiri wa vikundi vya magaidi. Sasa inakuwaje jeshi tulilokwenda kulisaidia linaua askari wetu? Ni majuzi tu, mamia ya askari wa Congo walihitimu mafunzo yao hapa Tanzania. Sasa leo tumegeuka maadui wao?

..Je, kuna askari wetu wamekosa nidhamu na uzalendo na kwenda kunyime na kile walichotumwa kwenda kufanya DRC. Kama ni hivyo jeshi limechukua hatua gani?

..Je, jeshi la DRC liliwashambulia askari wetu kimakosa? Kama ni hivyo hatua gani zimechukuliwa na jeshi na serikali ya DRC?

..Hivi muda wote mpaka UN wanatoa taarifa, JESHI letu ilikuwa halijafanya uchunguzi wake na kufahamu askari wetu walishambuliwa na nani huko DRC? Kwanini umma wa wa-Tz haujapewa taarifa zozote mpaka tusome kwenye vyombo vya habari vya nje?


cc Moshe Dayan, Nyenyere, Kichuguu, MK254, Echolima, MsemajiUkweli, Pasco, Manyerere Jackton, Ritz, MsemajiUkweli, Nguruvi3
 
Back
Top Bottom