Ripoti ya CAG: TRC imepata Hasara ya shilingi Bilioni 224. Ni Mara 2 ya mwaka uliopita

Ripoti ya CAG: TRC imepata Hasara ya shilingi Bilioni 224. Ni Mara 2 ya mwaka uliopita

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
79,084
Reaction score
84,978
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imesema mwaka wa Fedha wa 2023/2024, Shirika la Reli Tanzania (TRC) lilipata hasara ya Shilingi bilioni 224 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 102 mwaka uliopita.

CAG imesema hasara hiyo imechangiwa na kupungua kwa mapato ya usafirishaji kutokana na uhaba wa vichwa vya treni na mabehewa pamoja na mvua kubwa iliyosababishwa kufungwa kwa njia kwa miezi minne.

Uwasilishaji ripoti ya CAG - Rais Samia akipokea Ripoti ya CAG kwa Mwaka 2023/2024 Ikulu Dar, Machi 27, 2025

Pia soma
- Ripoti ya CAG 2021-2022: TRC ilimkataa mzabuni wa Tsh bilion 616.4 na kumpa mzabuni wa tsh trilion 1.119 bila sababu za msingi

My Take
Mama akiyabinafsisha mnasema anauza mali zenu za Watanganyika,tuendelee hivi hivi Ili akili ziwakae sawa.
 
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imesema mwaka wa Fedha wa 2023/2024, Shirika la Reli Tanzania (TRC) lilipata hasara ya Shilingi bilioni 224 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 102 mwaka uliopita.

CAG imesema hasara hiyo imechangiwa na kupungua kwa mapato ya usafirishaji kutokana na uhaba wa vichwa vya treni na mabehewa pamoja na mvua kubwa iliyosababishwa kufungwa kwa njia kwa miezi minne.

Maoni yangu
 
NO REFORMS NO ELECTION ili tuingize Viongozi ambao sio wezi wa mali za Umma.
Na bado hujaelewa, mantiki ya ripoti kwa kiezi minne ambayo shughuli zilisimama kwasababu njia za treni zilisimama. Na hata hivo vichwa vya treni ni vichache. Mantiki kuu watu hawajasafiri, na mapato yakakosekana.
Ila pia wafanyakazi wamelipwa hapo.
Ww unadhani hela imeibiwa.😂😂😂😂😂. Na hiyo miezi minne si mfululizo, in 12 months all together ni sawa na miezi minne imepotea. Leo ilisimama keshokutwa ikasimma next month ikasimma siku tatu mfululizo. Vichwa ni viwili cha kuvuta nyuma na mbele kwa week treni ni mara moja. Ingekua inatembea kila siku, au ziko njia hata tatu. Mantiki hayo mapato yangefikika. Tuwaeleweshe kila kitu jamani.
Watanzania bwana. Yaani mawazo yako watu wameiba bilion almost 400+ in two years😂😂😂😂😂. Aiseee
 
Na bado hujaelewa, mantiki ya ripoti kwa kiezi minne ambayo shughuli zilisimama kwasababu njia za treni zilisimama. Na hata hivo vichwa vya treni ni vichache. Mantiki kuu watu hawajasafiri, na mapato yakakosekana.
Ila pia wafanyakazi wamelipwa hapo.
Ww unadhani hela imeibiwa.😂😂😂😂😂.
Watanzania bwana. Yaani mawazo yako watu wameiba bilion almost 400+ in two years😂😂😂😂😂. Aiseee
Unajaribu kutetea nini?
 
Na bado hujaelewa, mantiki ya ripoti kwa kiezi minne ambayo shughuli zilisimama kwasababu njia za treni zilisimama. Na hata hivo vichwa vya treni ni vichache. Mantiki kuu watu hawajasafiri, na mapato yakakosekana.
Ila pia wafanyakazi wamelipwa hapo.
Ww unadhani hela imeibiwa.😂😂😂😂😂. Na hiyo miezi minne si mfululizo, in 12 months all together ni sawa na miezi minne imepotea. Leo ilisimama keshokutwa ikasimma next month ikasimma siku tatu mfululizo. Vichwa ni viwili cha kuvuta nyuma na mbele kwa week treni ni mara moja. Ingekua inatembea kila siku, au ziko njia hata tatu. Mantiki hayo mapato yangefikika. Tuwaeleweshe kila kitu jamani.
Watanzania bwana. Yaani mawazo yako watu wameiba bilion almost 400+ in two years😂😂😂😂😂. Aiseee
Kwahiyo hapo hakuna wa kulaumiwa?
 
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imesema mwaka wa Fedha wa 2023/2024, Shirika la Reli Tanzania (TRC) lilipata hasara ya Shilingi bilioni 224 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 102 mwaka uliopita.

CAG imesema hasara hiyo imechangiwa na kupungua kwa mapato ya usafirishaji kutokana na uhaba wa vichwa vya treni na mabehewa pamoja na mvua kubwa iliyosababishwa kufungwa kwa njia kwa miezi minne.

My Take
Mama akiyabinafsisha mnasema anauza mali zenu za Watanganyika.

Sas twende hivi hivi Ili Waarabu wasifaidi na nyie Watanganyika mufaidi 😁😁😁👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DHsrI3nsyDH/?igsh=MXZwaWcyNWg3aWs0ZA==

Chura kiziwi hamna kitu kabisa nazi koroma haina maji wala nazi yenyewe
 
Back
Top Bottom