M mwasu JF-Expert Member Jul 13, 2011 10,161 11,523 Apr 10, 2019 #2 Haahaaahaaa, UHURU jamani nchi ina vituko kweli hata magazeti yao hawayasomi na ndio wanajinasibu WAZALENDO? Wanasoma MWANAHALISI na TANZANIA DAIMA kimya kimya haaaahaaa.
Haahaaahaaa, UHURU jamani nchi ina vituko kweli hata magazeti yao hawayasomi na ndio wanajinasibu WAZALENDO? Wanasoma MWANAHALISI na TANZANIA DAIMA kimya kimya haaaahaaa.
dudus JF-Expert Member Feb 28, 2011 22,131 49,392 Apr 10, 2019 #3 ... Uhuru Publications si likampuni binafsi hili? CAG anahusikaje na ukaguzi wa makampuni binafsi? Au linapokea ruzuku ya Serikali hili?
... Uhuru Publications si likampuni binafsi hili? CAG anahusikaje na ukaguzi wa makampuni binafsi? Au linapokea ruzuku ya Serikali hili?
shamajengo JF-Expert Member Jan 17, 2015 1,217 1,431 Apr 10, 2019 #5 Mkuu ni Mali ya ccm hiyo nadhani ndiyo maana inakaguliwa dudus said: ... Uhuru Publications si likampuni binafsi hili? CAG anahusikaje na ukaguzi wa makampuni binafsi? Au linapokea ruzuku ya Serikali hili? Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni Mali ya ccm hiyo nadhani ndiyo maana inakaguliwa dudus said: ... Uhuru Publications si likampuni binafsi hili? CAG anahusikaje na ukaguzi wa makampuni binafsi? Au linapokea ruzuku ya Serikali hili? Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
mgodi JF-Expert Member Nov 5, 2010 2,780 1,845 Apr 10, 2019 #6 Ripoti ya ukaguzi wa TBC, vipi upande wao wakoje?
I Idofi JF-Expert Member Dec 14, 2010 2,255 1,952 Apr 10, 2019 #7 dudus said: ... Uhuru Publications si likampuni binafsi hili? CAG anahusikaje na ukaguzi wa makampuni binafsi? Au linapokea ruzuku ya Serikali hili? Click to expand... anakagua hesaby za vyama inajumuisha na mali wanazomiliki, ni kwa mujibu wa sheria hakurupuki
dudus said: ... Uhuru Publications si likampuni binafsi hili? CAG anahusikaje na ukaguzi wa makampuni binafsi? Au linapokea ruzuku ya Serikali hili? Click to expand... anakagua hesaby za vyama inajumuisha na mali wanazomiliki, ni kwa mujibu wa sheria hakurupuki
Nyaka-One JF-Expert Member Oct 27, 2013 4,319 6,003 Apr 10, 2019 #8 Usishangae utakaposikia rasmi kuwa hata taasisi za umma zimepewa maagizo ya chini chini kutangaza na hao jamaa. Mark my words.
Usishangae utakaposikia rasmi kuwa hata taasisi za umma zimepewa maagizo ya chini chini kutangaza na hao jamaa. Mark my words.
kabanga JF-Expert Member Dec 12, 2011 37,208 18,476 Apr 10, 2019 #10 yaani sisiem wenyewe hawanunui gazeti lao....
M Mazindu Msambule JF-Expert Member Feb 22, 2012 7,509 6,863 Apr 10, 2019 #11 dudus said: ... Uhuru Publications si likampuni binafsi hili? CAG anahusikaje na ukaguzi wa makampuni binafsi? Au linapokea ruzuku ya Serikali hili? Click to expand... NI gazeti la chama cha mapinduzi ambalo linaendeshwa kwa ruzuku za chama ambazo kimsingi ni pesa za KODI zetu
dudus said: ... Uhuru Publications si likampuni binafsi hili? CAG anahusikaje na ukaguzi wa makampuni binafsi? Au linapokea ruzuku ya Serikali hili? Click to expand... NI gazeti la chama cha mapinduzi ambalo linaendeshwa kwa ruzuku za chama ambazo kimsingi ni pesa za KODI zetu
mrangi JF-Expert Member Feb 19, 2014 80,907 106,196 Apr 10, 2019 #12 Nyie hamsomi li gazeti lenu Linawadodea jingalao stroke Etwege Ova Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie hamsomi li gazeti lenu Linawadodea jingalao stroke Etwege Ova Sent using Jamii Forums mobile app
habari ya hapa JF-Expert Member Dec 20, 2012 12,791 8,739 Apr 10, 2019 #13 mrangi said: Nyie hamsomi li gazeti lenu Linawadodea jingalao stroke Etwege Ova Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
mrangi said: Nyie hamsomi li gazeti lenu Linawadodea jingalao stroke Etwege Ova Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app