Ripoti ya CAG 2017/2018: Uhuru Publications ina mikakati dhaifu ya Mauzo na Masoko

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,577
6,582
Screenshot 2019-04-10 at 13.01.36.png

Screenshot 2019-04-10 at 13.02.52.png
 
... Uhuru Publications si likampuni binafsi hili? CAG anahusikaje na ukaguzi wa makampuni binafsi? Au linapokea ruzuku ya Serikali hili?
 
... Uhuru Publications si likampuni binafsi hili? CAG anahusikaje na ukaguzi wa makampuni binafsi? Au linapokea ruzuku ya Serikali hili?
anakagua hesaby za vyama inajumuisha na mali wanazomiliki, ni kwa mujibu wa sheria hakurupuki
 
Usishangae utakaposikia rasmi kuwa hata taasisi za umma zimepewa maagizo ya chini chini kutangaza na hao jamaa. Mark my words.
 
... Uhuru Publications si likampuni binafsi hili? CAG anahusikaje na ukaguzi wa makampuni binafsi? Au linapokea ruzuku ya Serikali hili?
NI gazeti la chama cha mapinduzi ambalo linaendeshwa kwa ruzuku za chama ambazo kimsingi ni pesa za KODI zetu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom