Ripoti ya "ajabu" ya NAPE huko Houston...!

Badala watekeleze ahadi walizotoa ktk kampeni tangu 2005,akili yao yote ipo ktk uchaguzi wa 2015!!.Ile ya maisha bora
kwa kila Mbongo waulizeni pindi wakija tena huko.Huu ugonjwa si wa Nape peke yake ni dondandugu sugu ktk
 

Hapo penye RED mmeniacha hoi WaTZ mlioko huko US. Iweje muamini kitu msichokijua. Hii ni sawa na kuuliza kuku ana miguu mingapi wakati wewe unayeuliza huna idea kabisa kuku yukoje na hapa jibu lolote utakalopewa utaliona sahihi kabisa. Hiki ndicho mnachomsifia nacho Nape .i.e. IGNORRANCE Yyenu kwa mambo yalivyo sasa TZ. SHAME ON YOU" kwa sababu hamkuweza kuwa na independent verification ya aliyosema Nape na hapo sichelei kusema nyie mna akili butu na isiyokuwa analytical na hamna msaada wowote kwa nchi yenu zaidi ya ushabiki. Kwa bahati mbaya taarifa alizowapa Nape ni za kuendeleza utawala wa CCM kwa kuficha ukweli ambao sisi tulioko huku tunauona ila ninyi mnapigwa changa la macho kwa hadaa ya kuimarisha chama na kudumisha umoja. Ndani ya CCM kwenyewe hapa TZ hakuna umoja inakuwaje mnapigwa tobo bila kushtuka au ni yale yale ya uchu wa madaraka yamewapumbaza. NASHUKURU TULIOKO TZ TUNA AKILI, UPEO NA ANALYTICAL MIND KULIKO NINYI NA TZ ni ya walioko TZ ninyi endeleeni kuwa GUINESS PIG za CCM ila sisi tumekataa na tutaendelea kukataa.!!!
 
mgogoro ambao ulishindwa kumalizika hata pale ambapo Rais alifanya ziara nchini humo hivi karibuni
kwahiyo Nape anaakilim kuliko Mzee wa Msoga a.k.a Mkwereee, ama kweli hamna chama , wote humo ccm ni kaputi tu
 
mgogoro ambao ulishindwa kumalizika hata pale ambapo Rais alifanya ziara nchini humo hivi karibuni
kwahiyo Nape anaakili kuliko Mzee wa Msoga a.k.a Mkwereee, ama kweli hamna chama , wote humo ccm ni kaputi tu
 
........Uwezo wa Nape jamani tunaujua, hv majuzi tu kwenye kipindi kinachorushwa na Star tv cha Tz tunayoitaka, alitimuliwa vumbi na Jussa na Marando kweli kweli, sasa huko Marekani kama mnamwona wa ajabu napata mashaka na uwezo wenu wa kufikiri, pengine kulingana na kazi mnazotumikishwa huko, heri mbaki huko huko hamna msaada wowote wa kifikra hata mkirudi nyumbani
 
Habarini Watanzania wenzangu mlipo popote duniani.
Habari juu ya Nape kuhusu kilichotokea Houston Texas kama zilivyoandikwa hapa kwenye jukwaa letu kuu na kwenye blog mbali mbali hasa Michuzi zimepotoshwa kwa kiasi kikubwa sana.

Tunawahakikishia watanzania kuwa tutawaletea yale yaliyojiri houston Texas.

Wakazi wa Houston wana uchungu mkubwa sana na maisha duni ya ndugu zao wanaoishi Tanzania, wakijua wazi uduni huu kwa asilimia kubwa ni ubovu wa uongozi wa CCM kwa zaidi ya miaka 30. Watanzania walionyesha kutokuridhishwa kabisa na vile serikali ya CCM inavyotenda na jinsi inavyotawala. Walieleza wazi bila kumumunya maneno jinsi nchi inavyoliwa na CCM wakibakia bila kutoa maamuzi hasa ya kuwajibisha wazembe na wahujumu. Watanzania walieza matatizo ya umeme, shule, huduma za jamii na vita dhidi ya ufisadi jinsi CCM ilivyoshindwa kuvikabili.

Watanzania tunaandaa ripoti na jinsi mambo yalivyokwenda ndani ya jiji la Houston.
 
Correctly put. Hata hao wanaomsikiliza ni Kansa juu ya kansa.
 
Nape ni NURU na TAA ya matumaini yaliopotea CCM kwa siku nyingi.Anawanyima usingizi wapinzani wake na anazidi kuwatimulia vumbi, ushahidi ni Igunga.viva nape viva ccm viva kikwete.

kule igunga NAPE alishiriki kwa namna gani? na pia tathimini ya waangalizi wa uchanguzi huo wame toa ripoti gani?
 

Loh...hayo mashati mapya ya kijani nadhani wamepewa na Nape mmependeza!
 
Mashavu yako. Umeona hii ndio taarifa ya kutuletea ma'analysts? Maisha ya anasa ya watu na sifa za kijinga endeleen nazo nyie wenyewe (magamba)!
 
Nape ameenda kufanya shopping chini ya mwamvuli wa kusuluhisha mgogolo wa CCM USA.Hivi hao wanachama wangapi?Inasikitisha ni bora angelienda kimya kimya chini ya kivuli kingine.Hapa nyumbani CCM mambo hovyohovyo ndani ya CCM kila kukicha,kama usuluhisho ungelianzia hapa.CHARITY BEGINS AT HOME.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Wewe kweli bonge bonge aka bwenyenye..,watu wa dizaini yako huwaga na uwezo mdogo sana wa kutafsiri mambo..,hivyo sishangai unapokuja kuyaongea mambo uliyosimuliwa (nina uhakika haukuangalia mdahalo huo) bila kuwa na usahihi wake...!
 
Nyie watu wa houston hamsomeki..,wengine wanasema NAPE alifanya kikao na watu saba tu wote wanaCCM.,wengine wanadai kuwa walikuwepo watu wengi na ni wapinzani ambao walienda na mabango yao na NAPE akawapokea mabango hayo..,wengine walidai walisafiri kutoka newyork mpaka houston kufuata mkutano wa NAPE., na bado wengine waliandika ripoti ya kusahihisha upotoshaji na katika ripoti hiyo wakadai NAPE hakufanya mkutano na wanahouston..,nawe unasema unaandaa ripoti yako..,lakini naitabiri kuwa ni pumba nyingine katika zilizotangulia.,tayari umeanza kujichanganya katika post yako..,makinika hapo kwenye blue na red....!
 
Kama ni muhimu kuweka Utanzania kwanza, mambo ya kuanzisha Matawi ya Vyama vya siasa nje yanasaidia nini ??? Kuna matawi mangapi ya CDM, CUF, TLP, NCCR MAGEUZI, PPT-Maendeleo n.k.

alama ni jembe na nyundo; chama cha wakulima na wafanyakazi, hapana shaka wakulima na wafanyakazi wa kitanzania wapo pia huko ng'ambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…