ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,785
Jeshi la Polisi Tanzania latajwa miongoni mwa Majeshi Bora yanayotumia Uweledi kwenye utendaji wake.
Tanzanian Police imeshika namba 9 kwenye 10 Bora huku Majirani zetu hakuna hata mmja anaetufikia.
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1767202964836352353?t=ihB0XlMJQnrIOOJVjxH8Dg&s=19
My Take
Hongera Jeshi la Polisi Tanzania ndio maana hata Machadema wanapoandamana walitegemea muwape kiki kwa.kuwapiga mabomu lakini wameachwa wamepoteana 😁😁
Tanzanian Police imeshika namba 9 kwenye 10 Bora huku Majirani zetu hakuna hata mmja anaetufikia.
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1767202964836352353?t=ihB0XlMJQnrIOOJVjxH8Dg&s=19
My Take
Hongera Jeshi la Polisi Tanzania ndio maana hata Machadema wanapoandamana walitegemea muwape kiki kwa.kuwapiga mabomu lakini wameachwa wamepoteana 😁😁