Ripoti: Njia pekee ya kukomboa South African Airways (SAA) ni kuliunganisha na shirika lingine

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,492
8,723
saa.jpg

Imeelezwa kuwa moja ya mipango ya kuokoa biashara hya Shirika la Ndege la Afrika Kusini (SAA) ni kuliunganisha na Shirika la ndege la Ethiopia lenye mafanikio, kwa lengo la kukuza biashara ya usafirishaji kwa pamoja.

Mapendekezo hayo yalitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa zamani wa SAA Vuyi Jarana. Katika ripoti yake iliyopewa jina la “The Investment Case for South African Airways’’ inaonyesha kwamba kuiunganisha SAA na shirika lingine la ndege ndio nafasi pekee ya kuweza kuishi kwa shirika hilo.

Mashirika mengine mawili ikiwemo Emirates na Lufthansa la Ujerumani yametambuliwa kama washirika wengine wanaoweza kusaidia kulifufua SAA, ingawa nyaraka zilizoonwa na gazeti la Sunday Times la Afrika Kusini, Ethiopian Airlines limeonekana kuwa shirika lililopendekezwa (linalofaa) zaidi.

============================

It has been revealed that one of the plans to save the nosediving South African Airways (SAA) business is to merge it with the wildly-successful Ethiopian Airlines, in a bid to grow the West-African travel hub together.
SAA: Merger with Ethiopian Airlines “on the cards”

The proposals were made by former SAA CEO Vuyi Jarana. His report, titled “The Investment Case for South African Airways”, suggests that merging with another airline is the SA carrier’s best chance of survival.
Both the UAE-based Emirates and German operator Lufthansa have been identified as potential partners, but documents seen by the Sunday Times highlight the importance of “consolidating air traffic through Africa” – making Ethiopian Airlines their preferred choice.

“Given the thin margin nature of the airline business, under government control or under government rules, it is unlikely SAA will deliver better margin performance. Government should consider exiting the airline business,”
“The biggest opportunity is to grow the West Africa hub together where traffic throughout Africa is consolidated, before connecting to the US and Canada.”

Government could dump an SOE

It’s understood that this plan of action would see the government offload SAA from its beleaguered roster of state-owned entities, providing a massive relief for the government. More than R40 billion has been spent on bailouts for the business, yet nothing seems to be good enough for the flailing airline.

This wouldn’t just be a case of palming-off the airline and its workers, however. Ethiopian Airlines would actually sublet aircraft into the joint venture and provide pilots, while SAA provides cabin crew. Avoiding retrenchments was a big part of the airline’s strike last month, and this solution seems to be a viable one that protects jobs.

Whoever inherits the hot mess of SAA will have to deal with recently-increased wages – up 6% after industrial action. They will also have to find a way of overcoming the operational challenges that have made South African Airways one of the least trustworthy airlines in the country. As the national carrier, a reputational facelift is required.



Chanzo: The South African
 
Ethiopian airline wasikubali hii proposal
Wasouth Afrika wanataka kupewa mbeleko kupitia Ethiopia airline, yaani wasithubutu kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom