M Macho Member Apr 15, 2016 38 17 Jun 19, 2017 #161 Nafikiri hii habari ina kaukweli fulani ndani yake dhulma, uonevu ukizidi mioyo ya watu hubadilika.
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 46,954 122,246 Jun 19, 2017 #162 Nakubaliana na hii taarifa kwa asilimia kubwa. Busara inahitajika kwa viongozi wetu katika kufanya uchunguzi wa kina na kutoa maamuzi ambayo yatadhaa amani katika maeneo hayo.
Nakubaliana na hii taarifa kwa asilimia kubwa. Busara inahitajika kwa viongozi wetu katika kufanya uchunguzi wa kina na kutoa maamuzi ambayo yatadhaa amani katika maeneo hayo.
Inamonga JF-Expert Member Jun 25, 2016 779 473 Jun 21, 2017 #163 Raisi amesema kuwa hao vibaka wamesha anza kuionja joto ya jiwe huko..
Old - Hand JF-Expert Member Apr 9, 2017 2,040 1,896 Jun 21, 2017 #164 Habari haijitoshelezi..... haujafanya utafiti.... umechukua akili ya mtu ukaiweka hapa... tena kwa hisia zake tu
Habari haijitoshelezi..... haujafanya utafiti.... umechukua akili ya mtu ukaiweka hapa... tena kwa hisia zake tu