Rifine Chasser Inauzwa

Rifine Chasser Inauzwa

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,521
Reaction score
13,999
Toyota Rifine Chaser (Saloon car) for SALE in Arusha.
Make year:2000
Engine capacity:1988 CC (4 cylinders)
Color:White
Transmission:Automatic
Odometer:179,000KM
5 doors (5 seats)
Registration number: T969AYW
Gari imelipiwa kodi zote hadi 26/02/2016

Gari ipo kwenye hali nzuri sana na vitu vyote vinafanya kazi kama AC,Radio nk
Unaweza kuiona muda wowote utakapoihitaji pamoja na test drive.

BEI: 6.7 milioni (Milioni sita na Laki saba)Tshs

Mawasiliano:0752489529 au niPM
 

Attachments

  • DSCN4061.JPG
    DSCN4061.JPG
    558.9 KB · Views: 288
  • DSCN4065.JPG
    DSCN4065.JPG
    719.5 KB · Views: 275
Jamani watu hamtaki hii gari,mnataka IST,VITZ NA SUZUKI CARRY?

Toyota Rifine Chasser (Saloon car) for SALE in Arusha.
Make year:2000
Engine capacity:1988 CC (4 cylinders)
Color:White
Transmission:Automatic
Odometer:179,000KM
5 doors (5 seats)
Registration number: T969AYW
Gari imelipiwa kodi zote hadi 26/02/2016

Gari ipo kwenye hali nzuri sana na vitu vyote vinafanya kazi kama AC,Radio nk
Unaweza kuiona muda wowote utakapoihitaji pamoja na test drive.

BEI: 6.7 milioni (Milioni sita na Laki saba)Tshs

Mawasiliano:0752489529 au niPM
 
Mkuu umeweka maelezo yako vizuri sana,kama vile umeitengeneza wewe aisee
Mkuu Gari hizi nzuri ila sema tu watu wamekimbilia kwenye Kiingia mji.

Na kwa vile ni 4 C basi ukishusha bei unaweza kupata wateja.

Halafu jazia picha mbili za ziada,moja ya nyuma,ingine ya ubavuni,maana wengine hizi Chassers wanaziona tu ila kutofautisha ndio issue
 
Toyota Rifine Chaser (Saloon car) for SALE in Arusha.
Make year:2000
Engine capacity:1988 CC (4 cylinders)
Color:White
Transmission:Automatic
Odometer:179,000KM
5 doors (5 seats)
Registration number: T969AYW
Gari imelipiwa kodi zote hadi 26/02/2016

Gari ipo kwenye hali nzuri sana na vitu vyote vinafanya kazi kama AC,Radio nk
Unaweza kuiona muda wowote utakapoihitaji pamoja na test drive.

BEI: 6.7 milioni (Milioni sita na Laki saba)Tshs

Mawasiliano:0752489529 au niPM
Mkubwa Emilias kula 4M
 
DSCN4060.JPG DSCN4062.JPG DSCN4063.JPG
Asante mkuu Zanzibar Spices picha hizo hapo juu.Bei ya mwisho ni 6 milioni kwa kuwa nina uhitaji wa pesa ya haraka,otherwise ingekaa home kwa matumizi mengine.



Mkuu umeweka maelezo yako vizuri sana,kama vile umeitengeneza wewe aisee
Mkuu Gari hizi nzuri ila sema tu watu wamekimbilia kwenye Kiingia mji.

Na kwa vile ni 4 C basi ukishusha bei unaweza kupata wateja.

Halafu jazia picha mbili za ziada,moja ya nyuma,ingine ya ubavuni,maana wengine hizi Chassers wanaziona tu ila kutofautisha ndio issue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom