King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,614
- 68,543
Aliyasema hayo mjini bagamoyo kwamba amechoka kuchafuliwa na vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ameomba vyombo usika kumchunguza mali zake.
Inputs zetu.
Haya haya Takukuru anzeni na machimbo ya mawe na mchanga iringa,kisha njooni kwenye kiwanda cha cement(mkuranga),mkimaliza njooni buyuni kwenye heka 15 baharini,kisha njooni mbezi kwenye ikulu ndogo,mkimaliza chunguzeni maroli yale 200,pia njooni big bon sinza,pia ile bil64 ya epa ichunguzwe iliyorudishwa.
Source:Jambo Leo
Inputs zetu.
Haya haya Takukuru anzeni na machimbo ya mawe na mchanga iringa,kisha njooni kwenye kiwanda cha cement(mkuranga),mkimaliza njooni buyuni kwenye heka 15 baharini,kisha njooni mbezi kwenye ikulu ndogo,mkimaliza chunguzeni maroli yale 200,pia njooni big bon sinza,pia ile bil64 ya epa ichunguzwe iliyorudishwa.
Source:Jambo Leo