Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,417
- 5,276
situlikubaliana nyie mnaangalia helaa tuu?Umbo lake huyu jamaa ni kama halina mvuto kidogo eti?
πππndiyo Mkuuπsitulikubaliana nyie mnaangalia helaa tuu?
ππacha ukorofi bhanaπUmekwisha tamani, aisee ila mtaendana
Hela zake sasa ndo electromagnetic kabisaUmbo lake huyu jamaa ni kama halina mvuto kidogo eti?
πana mapesa huyo balaaHela zake sasa ndo electromagnetic kabisa
hahaha pesa ndio kila kitu kitu mnasemaga wenyewe ,πππana mapesa huyo balaa
Ivo yaanπhahaha pesa ndio kila kitu kitu mnasemaga wenyewe ,ππ
hela mbaya sana Kuna mwanangu alikua anaruka na lishangazi lina mandevu kama Rick Ross ila Lina mapene balaa likawa linamtumikisha mwana kingono ππIvo yaanπ
Na unapelekeshwa mbaya ukifanya mtamuπ siye mashangazi ni nomahela mbaya sana Kuna mwanangu alikua anaruka na lishangazi lina mandevu kama Rick Ross ila Lina mapene balaa likawa linamtumikisha mwana kingono ππ
Halafu huyu jamaa atakuwa mnyaki wa U.Sππacha ukorofi bhanaπ
Sio wallet yake ilichangia hilo... (natania tu )....ππkuna mrembo wa ki tz alilizimikia akafa akaozea hapo. Huyo mrembo ni mrembo hasa alilipenda umbo la rick ross