Richard Kasesela ashiriki kuopoa mwili kwenye Machimbo ya madini

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,717
55,819
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela akiwa katika mgodi wa Nyakavangala uliopo katika Kata ya Malengamakali Mkoani Iringa wakati wa Juhudi za kuuokoa mwili wa marehemu Viskadi Nyenza aliyetumbukia katika shimo wakati shughuli za Uchimbaji zilipokua zikiendelea.
acdf9c2a2c711568d07aebf11ab49c65.jpg
 
Mbunge Msukuma alimponda Mhe Msigwa kwamba Iringa wazungumzie Nyanya lakini Geita wanajua kuhusu Madini? Nashangaaaa hilo tukio kutokea Iringa tena muda mfupi tokea Msukuma aongee.
By the way. Allah amlaze mahala pema peponi Bwana Viskadi Nyenza.
 
Mbunge Msukuma alimponda Mhe Msigwa kwamba Iringa wazungumzie Nyanya lakini Geita wanajua kuhusu Madini? Nashangaaaa hilo tukio kutokea Iringa tena muda mfupi tokea Msukuma aongee.
By the way. Allah amlaze mahala pema peponi Bwana Viskadi Nyenza.
hata mimi nashangaa kusikia madini Iringa. lakini nimeamini kwasababu Chunya nako kuna madini hadi migodi mikubwa sana. zamani tuliaminishwa kwamba nyanda za juu kusini hakuna madini ya dhahabu, sasa naona wameyagundua. lakini kusema ukweli, kama hadi iringa kuna madini ya dhahabu, basi tz nzima imekalia madini. tuweke sheria zetu vizuri tu tuchimbe.
 
Mbunge Msukuma alimponda Mhe Msigwa kwamba Iringa wazungumzie Nyanya lakini Geita wanajua kuhusu Madini? Nashangaaaa hilo tukio kutokea Iringa tena muda mfupi tokea Msukuma aongee.
By the way. Allah amlaze mahala pema peponi Bwana Viskadi Nyenza.
Hayo ni machimbo mapya yameibuka kama mwezi mmoja uliopita..of course ni mapya kwa maana ya kuyafufua upya ila long kitambo yalikuwepo
 
Ila mie naye sijui kwanini eti akili yangu kila mara inaniambia kuwa huyu mleta uzi mwana jf figganigga ndie Richard Kasesela mwenyewe maana thread zake nyingi zinamhusu huyo DC.
 
Asije enda kuaribu shamba la Mch msigwa, maana wakiona wamekosa ukuu wa mkoa wanafanya vituko sana
 
Back
Top Bottom