Retrieving error

askari mpole

Member
Joined
Mar 24, 2014
Posts
19
Reaction score
2
habari wakuu, natumia samsung galaxy tab..kuna mtu alichezea pattern mara nying na kusababisha simu kujifunga kwa kutaka gmail, nilikuw nimesahau password za gmail hivyo nikaamua kuireboot simu..basi tangu hapo nikiingia kwenye playstore kupakua application inaleta jibu hili "error retrieving".....naomba msaada wakuu..
cc chief mkwawa...kikulacho
 
Nenda setting General Apps hafu All Apps kisha ifungue hiyo kisha Clear Chache na Clear Data.
Ikikataa tena itabidi uwe unadownload app kwa njia ya apk
Na last option ni kutafuta latest apk ya Google Play kisha install
 
Make sure. APNs zako ziko poa pia
 
Nenda setting General Apps hafu All Apps kisha ifungue hiyo kisha Clear Chache na Clear Data.
Ikikataa tena itabidi uwe unadownload app kwa njia ya apk
Na last option ni kutafuta latest apk ya Google Play kisha install

nimejaribu kuclear mkuu lakin imekataa....vp nawez download apk ya google?
 

Mkuu wakati unaendelea kusubiri kupata utatuzi wa tatizo lako, Install 1mobile.com kwenye tab yako, hakika itakusaidia. Inafanya kazi kama google play
 
Nilijua tu itakuwa voda.

Make sure apn zako hazina proxy wala port

Yaani zifanane na zangu
 

Attachments

  • 1435575849796.jpg
    16.3 KB · Views: 89
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…