Rest in peace comrade Chacha Wangwe


RİD Comrade Horace Kolimba.
 
Mbowe na Slaa! Kwa hiyo serikali inawaogopa hawa jamaa hata wakiua hawakamatwi! Mhh! Tuache kufike huko siasa za namna hii hazijengi bali hata wewe nafsi yako kuna wakati inalipuka na kukusuta.

R.I.P Kamanda chacha wangwe

RİP Kamanda Edward Moringe Sokoine
 
Mkuu unauliza makofi polisi,waliofnya unyama ni viongoz wa chadema akiwemo mbowe na mwenzake slaa na baadhi ya viongoz wengine,ila naona damu ya zakayo chacha inawatafuna na ndio hyo mpaka leo inawakosesha amani kwenye chama chao cha kikabila

Mungu amrehemu Meja Jenerali İmran Kombe.
 

Mnamo Tarehe 28/7/2014 MBONA UNATUCHANGANYA Nijuavyo Alipata Ajali Tarehe 25/4/2008 Una Lako Jambo Sio Bure.
NO CURRUPTION NO CCM
 
Chacha Wangwe alikuwa mpinzani wa kweli. Sio hawa wengine wapenda pesa na ngono.
 
Kamanda haswaa Chacha Rasta.

deus Malya.
 
Last edited by a moderator:
Chacha Wangwe alikuwa mpinzani wa kweli. Sio hawa wengine wapenda pesa na ngono.

Nilicho Jifunza Kwenu Mtu Yoyote Ndani Ya CHADEMA Anayekwenda Kinyume Nyie CCM Ndio Mnampenda Na Kujidai Kumuonea HURUMA. Mpinzani Yeyote Anayeonewa Huruma Na CCM Huyo Si Mpinzani.
NO CURRUPTION NO CCM
 
Kuna maswala mengine hayahitaji mihemko hebu rudia tena kusoma ulichoandika hapa halafu upime kama upo sahihi.
 
Rest in peace Chacha Z Wangwe, roho yako ipumzike kwa amani, japo lengo lao lilitimia lakini Chama hakiendi mbele tena kwani kinaelekea mwisho, hakika Mungu kaamua kuwaadhibu hapa hapa Duniani.
 
Mkuu unauliza makofi polisi,waliofnya unyama ni viongoz wa chadema akiwemo mbowe na mwenzake slaa na baadhi ya viongoz wengine,ila naona damu ya zakayo chacha inawatafuna na ndio hyo mpaka leo inawakosesha amani kwenye chama chao cha kikabila
Vipi, inakuwaje watu wauwe mtu halafu waendelee kudunda mtaani bila hata kupelekwa polisi na mahakamani?
 
Nilicho Jifunza Kwenu Mtu Yoyote Ndani Ya CHADEMA Anayekwenda Kinyume Nyie CCM Ndio Mnampenda Na Kujidai Kumuonea HURUMA. Mpinzani Yeyote Anayeonewa Huruma Na CCM Huyo Si Mpinzani.
NO CURRUPTION NO CCM
Uko sahihi mkuu. Eti leo hii hata Zitto ni kipenzi chao ila hawataki kumkaribisha. Dr Kitila naye sasa hivi ni mtoto wa kuonewa huruma sana ila wakati hajatangazwa kuwa msaliti hata vyeo walimvua UDSM kwa chuki yao kwake. Mwigamba naye alikuwa mwiba kwao hasa kwa zile makala zake hadi wakamfungulia kesi ya uchochezi lakini baada ya chama chake kutangaza kuwa kahusika na usaliti kageuka kipenzi chao.
Huu ndio unafiki na uzandiki wa CCM.
 




Mwigulu Nchemba hoyeeeeeeeeeee!!!!!!!, ACT na CCM tunakuunga mkono kwa umaafia wako!
 
Mungu amrehemu Meja Jenerali İmran Kombe.
Kuandika hivi ni kwamba kuhalalisha tukio kwamba CCM walimuondoa Imran Kombe na Nyie Mkamuondoa Chacha Wangwe au kusudio lako ni lipi.
unajaribu kujenga hoja kwamba CCM imefanya kwa wengi nyie Huyu mmoja tu kelele nyingi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…