Navyojua kwenye research kuna kuandika Methodology /data collection/ Analysis and the best interpretation of the results.. Ili kuyafanya yote haya yakupasa uwe na knowlege ya kutosha kuhusiana na mada husika. Mfano mtu wa mwenye BaEd ni vigumu sana kumwandikia mtu wa Engineering research.. Sasa mtoa mada unaandika type ipi ya reasearch ..