Nelson Kapaya
Member
- Aug 7, 2014
- 99
- 15
Kwa yeyote anayehitaji usaidizi katika uandishi wa research proposal na research report wasiliana nami 0753101293
Kwa yeyote anayehitaji usaidizi katika uandishi wa research proposal na research report wasiliana nami 0753101293
bei maelewano tu mkuuWeka bei kabisa
Kwan anayeandikiwa research lazima awe anasoma!!? mbona wapo maprof. kibao ufanya utafit wao then utafta wadaidiz kama huyoHuyo utakayemuandikia akihitimu huko Chuo Kikuu nae atajiita Academician au Intellectual?
Umemuumbua mlevi Wa balimi Wa mlima Wa moto pale Kawe! achana nae huyo lofa!Kwan anayeandikiwa research lazima awe anasoma!!? mbona wapo maprof. kibao ufanya utafit wao then utafta wadaidiz kama huyo
Navyojua kwenye research kuna kuandika Methodology /data collection/ Analysis and the best interpretation of the results.. Ili kuyafanya yote haya yakupasa uwe na knowlege ya kutosha kuhusiana na mada husika. Mfano mtu wa mwenye BaEd ni vigumu sana kumwandikia mtu wa Engineering research.. Sasa mtoa mada unaandika type ipi ya reasearch ..Kwa yeyote anayehitaji usaidizi katika uandishi wa research proposal na research report wasiliana nami 0753101293
Umeuliza swali la msingi sana ambalo huwa najiuliza kila nikiona matangazo ya hawa jamaa.Navyojua kwenye research kuna kuandika Methodology /data collection/ Analysis and the best interpretation of the results.. Ili kuyafanya yote haya yakupasa uwe na knowlege ya kutosha kuhusiana na mada husika. Mfano mtu wa mwenye BaEd ni vigumu sana kumwandikia mtu wa Engineering research.. Sasa mtoa mada unaandika type ipi ya reasearch ..
Kwan anayeandikiwa research lazima awe anasoma!!? mbona wapo maprof. kibao ufanya utafit wao then utafta wadaidiz kama huyo
Hujaelewa au unajilazimisha kutoelewa, Auditor/tax consultant ili afanye kaz yake lazima awe na wasaidiz, yeye uonekana dk za mwisho kwenye signature na mhuri wake tuu, sijui huo mfano umekusaidia.Huwezi ukawa Mtu unayeandikiwa Research yako halafu ujiite Msomi. Acha kutetea ' Upuuzi ' tafadhali unless na Wewe ni mmoja wa hao hao ' Wapuuzi '. Nimemaliza.
Yaani hichi kitu ni kigumu sana ku-implement kktu cha namna hiyo, maana other study ina bidii uwe na foundation .. Sasa mtu anasoma vitu miaka minne. We hujawahi kusoma kabisa, wala kujua kama vitu hivyo vinaexist leo uandike research ya kitu kwa kugoogle definition .. If cant beUmeuliza swali la msingi sana ambalo huwa najiuliza kila nikiona matangazo ya hawa jamaa.
editor na na researcher writer anayehitaji nipo kwa gharama nafuu kabisaKwa yeyote anayehitaji usaidizi katika uandishi wa research proposal na research report wasiliana nami 0753101293