silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Kuelekea kusomwa Report ya CAG, mimi ninamtazamo tofauti, inawezekana watu wanaisubiria sana wakifikiria mbali zaidi kwamba hao Vibaka walio chota pesa za ESCRO watazirudisha. Mimi pia nategemea watafikishwa sheriani ili wapate hukumu stahiki na walicho kikwapua.
Labda mimi niseme kitu hapa, kama Zitto Kabwe, Kwafulila, CAG, na kamati nzima wamefanya kazi kubwa sana na mzito. Sasa kama mpango huu utaishia ile report isomwe tu na Vibaka kujulikana na iwe Basi bora usingemaliza Nguvu zao kuteka attention ya Watanzania kuhusu Sakata hilo.
Watanzania tunacho hitaji sasa Kama kweli munauhakika na hao vibaka mutakao wataja, basi wafikishwe mahakamani, ikiwezekana wafilisiwe malizao Zote, wafungwe kifungo kikali iwe Fundisho kwa walio bakia, nitawaona wa Maana sana.
Kama mutaishia Bungeni this is useless.
Labda mimi niseme kitu hapa, kama Zitto Kabwe, Kwafulila, CAG, na kamati nzima wamefanya kazi kubwa sana na mzito. Sasa kama mpango huu utaishia ile report isomwe tu na Vibaka kujulikana na iwe Basi bora usingemaliza Nguvu zao kuteka attention ya Watanzania kuhusu Sakata hilo.
Watanzania tunacho hitaji sasa Kama kweli munauhakika na hao vibaka mutakao wataja, basi wafikishwe mahakamani, ikiwezekana wafilisiwe malizao Zote, wafungwe kifungo kikali iwe Fundisho kwa walio bakia, nitawaona wa Maana sana.
Kama mutaishia Bungeni this is useless.