Aliyekuwa Katibu wa BAVICHA mkoa wa Dar es salaam, Renatus Mulashani, ametangaza nia ya kugombea jimbo la Muleba kaskazini lupitia CHADEMA. Mbunge anayemaliza muda wake ni Charles Mwijage (CCM) aliyekuwa waziri wa Viwanda na biashara.
Kama Mwijage atapitishwa na CCM basi ni wazi jimbo hilo litachukuliwa na CHADEMA
View attachment 1502331
Sent using
Jamii Forums mobile app