deejaywillzz
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 637
- 224
wabongo tunapenda wizi sana,
karibia computer zote zinakuja na copy halali ya windows, uliponunua laptop/desktop yako inamaana ulinunua machine pamoja na windows. ila kwa sababu hatujitambui tuna tabia ya kutoa windows halali na kueka windows feki.
mfano wake ni mtu atupe makochi yake halafu aende akaibe makochi mengine aeke kama yale.
cha muhimu ni kujua pc yako ilikuja na windows gani nyingi zinakuwa ni home premium, then eka windows hiyo iliokuja na pc yako halafu after that tafuta key yako genuine. hii utaipata ukibinua laptop kwa chini, au kwenye cd iliokuja na laptop au makarabrasha mengine yaliyokuja na laptop, tumia key yako activate pc yako then enjoy maisha bila tabu.
Sio wote wenye uwezo wanapenda kutumia copy ya windows inayokuja na laptop/desktop, kwa mfano mimi personally sipendi Windows 8. Ila naweza kupata laptop yenye specifications nzuri kwa kazi zangu lakini ina Windows 8 na mimi napenda Windows 7 of course nitaipiga chini Windows 8 niweke Windows 7.
Tukiachana na hilo nina uhakika asilimia mia moja Chief-Mkwawa una software nyingi sana kwenye kompyuta yako ambazo si halali, nikimaanisha Adobe, Converters and others. PrintScreen laptop yako nianze kukuhesabia
sure i own baadhi lakini mbili au tatu ila nyingi ni za bure/ open source
ila kama sehemu unaweza kuavoid ni vizuri uka avoid.
photoshop-gimp
converter-freemake
iso-daemon light
video-vlc
download-dam
android-genymotion
torrent-bitorent
rar/zip-7zip
karibia kila software tunayoiba ina alternative ya bure ambayo inatosha kabisa kwa ajili ya homeuse
hahaha nadhani hata Anti-Virus yako itakuwa ni open source
hahaha nadhani hata Anti-Virus yako itakuwa ni open source
only kama mitandao yote unayopakua ina usalama, jambo ambalo nina shaka nalo.situmii ant virus kabisaa, pia kuna microsoft security essential ni bure kama unatumia windows.
asilimia 90 ya virusi vya hapa bongo vinatembea kupitia flash, external hdd, memorycard na vitu kama hivi. kama utakua unadownload kila kitu mwenyewe na ku avoid vitu hivyo hapo juu huna haja ya kuwa na ant virus.
Mi nachomoka boss!mie nnatumia sophos ya bure pia zipo free version karibia antivirus kibao kuanzia avast. avg na kuendelea. anyways swala la kutumia vya wizi au kutotumia ni jambo pana. hata wazungu wenyewe wanatumia izo pirated ila sio tiketi ya sisi kushabikia vya wizi.
sasa ivi kuna kampeni ya kushika wanaodownload illegal copies kwenye site za torrent kama kat na tpb akyanani wakifika bongo achomoki mtu
Niungane na Chief kuwa wabongo wengi ni masters wa wizi na wengine hata hawajui kama ni vibaka sugu
Wote wezi tu.
only kama mitandao yote unayopakua ina usalama, jambo ambalo nina shaka nalo.
Windows na security packages ni kama chanda na pete
siku hizi watengeneza virusi wote wameelimika hawatengenezi kuifanya computer yako ichanganyikiwe bali wanatengeneza malware wanaoingiza hela.
mfano wa threat kubwa ya sasa hivi ni hizi bitcoin mining, ilishawahi ku affect pc yangu mara moja inatumia pc yako kama power house inagenerate hayo mahesabu yao na watu wanakula hela. always pc yangu cpu ilikua 100% full.
apart from huyo malware sjawah kupata kirusi chochote, mwaka na nusu sasa hivi.
na wale virusi wa java adblocker anawahandle vizuri tu.
C6 umeongea point hata hao wazungu wanatumia pirate, hoja yangu ni kwamba mtu asikemee utumiaji wa pirate software wakati yeye anazo halafu anajifanya hana.mie nnatumia sophos ya bure pia zipo free version karibia antivirus kibao kuanzia avast. avg na kuendelea. anyways swala la kutumia vya wizi au kutotumia ni jambo pana. hata wazungu wenyewe wanatumia izo pirated ila sio tiketi ya sisi kushabikia vya wizi.
sasa ivi kuna kampeni ya kushika wanaodownload illegal copies kwenye site za torrent kama kat na tpb akyanani wakifika bongo achomoki mtu
mie nnatumia sophos ya bure pia zipo free version karibia antivirus kibao kuanzia avast. avg na kuendelea. anyways swala la kutumia vya wizi au kutotumia ni jambo pana. hata wazungu wenyewe wanatumia izo pirated ila sio tiketi ya sisi kushabikia vya wizi.
sasa ivi kuna kampeni ya kushika wanaodownload illegal copies kwenye site za torrent kama kat na tpb akyanani wakifika bongo achomoki mtu
wabongo tunapenda wizi sana,
karibia computer zote zinakuja na copy halali ya windows, uliponunua laptop/desktop yako inamaana ulinunua machine pamoja na windows. ila kwa sababu hatujitambui tuna tabia ya kutoa windows halali na kueka windows feki.
mfano wake ni mtu atupe makochi yake halafu aende akaibe makochi mengine aeke kama yale.
cha muhimu ni kujua pc yako ilikuja na windows gani nyingi zinakuwa ni home premium, then eka windows hiyo iliokuja na pc yako halafu after that tafuta key yako genuine. hii utaipata ukibinua laptop kwa chini, au kwenye cd iliokuja na laptop au makarabrasha mengine yaliyokuja na laptop, tumia key yako activate pc yako then enjoy maisha bila tabu.
Using command script
Click start menu, on the search form type cmd then a command prompt will appear, click on it
After that type SLMGR/REARM then press enter.
Restart your computer and its gone
==================================================================
Linux Live boot CD/USB
Boot you computer with the CD/USB then navigate windows folder named system32
Delete or rename a file named WgaTray.exe and WgaTray.dll
Restart and its gone
==================================================================
Or you can download Windows Gunuine Notification Remover