Baba Watoto
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 393
- 278
Wana jamvi, nikiwa kama mwanajamvi na aghalabu kidogo nimekula kula chumvi naona ni vyema kile ninachokijua hasa nishirikiane na watu wengine, kwa mantiki hiyo na kuweka maanani kuwa wengi huumizwa na mahusiano, natoa fursa ya kupoke na kujibu maswali mbalimbali yanayohusu mahusiano, ni sehemu ambayo najua nina uwezo nayo kwa kuzingatia muda niliotumia.
Kati ya hao watoto ulionao unadhani yupi siyo damu yako??
- hivi kwa nini mwanmke ukimwonyesha mwananume unampenda anakutesa?
- unashuri tuwe tunafanya mapenzi kwa style ipi?
- kwenye mahusiano kusamehe mwisho mara ngapi?
- je kuna fomula ya kuishi na mpenzi?
- unafanyaje kujua kama mwenzio anacheat?
kula like kubwa! naunga hoja ya haya maswal,na swal la nyongeza...kwanini wanaume ni wagumu kusamehe kuliko wanawake?mfano mwanamke anaweza mfumania mumewe akamsamehe na maisha yakasonga mbele lakini mwanaume akimfumania mkewe si rahisi.
- hivi kwa nini mwanmke ukimwonyesha mwananume unampenda anakutesa?
- unashuri tuwe tunafanya mapenzi kwa style ipi?
- kwenye mahusiano kusamehe mwisho mara ngapi?
- je kuna fomula ya kuishi na mpenzi?
- unafanyaje kujua kama mwenzio anacheat?
kula like kubwa! naunga hoja ya haya maswal,na swal la nyongeza...kwanini wanaume ni wagumu kusamehe kuliko wanawake?mfano mwanamke anaweza mfumania mumewe akamsamehe na maisha yakasonga mbele lakini mwanaume akimfumania mkewe si rahisi.
- hivi kwa nini mwanmke ukimwonyesha mwananume unampenda anakutesa?
- unashuri tuwe tunafanya mapenzi kwa style ipi?
- kwenye mahusiano kusamehe mwisho mara ngapi?
- je kuna fomula ya kuishi na mpenzi?
- unafanyaje kujua kama mwenzio anacheat?