Relate na kipindi unasoma

Munru

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
1,340
Reaction score
667
Wanafunzi wanapokuwa Darasani siku za masomo macho yao huwa hivi :
(-_-) (-_-) (-_-) (-_-) (-_-) (-_-) (-_-) (-_-)
siku mwalimu akisema kesho mtihani hutoa macho iviiii

(O_O) (O_O) (O_O) (O_O) (O_O) (O_O)
siku ya mtihani sana macho yao yana kuwa ivi

(→_&#8594πŸ˜‰ (←_&#8592πŸ˜‰ (→_&#8594πŸ˜‰ (←_&#8592πŸ˜‰ (→_&#8594πŸ˜‰ (←_&#8592πŸ˜‰
Msimamizi akisogea karibu nae macho yao huwa ivi:

(↓_&#8595πŸ˜‰ (↓_&#8595πŸ˜‰ (↓_&#8595πŸ˜‰ (↓_&#8595πŸ˜‰ (↓_&#8595πŸ˜‰
 
teh teh teh!!Paty umenikosea sn jamani yani mie ndo wakupiga miyayo ha ha haaaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Ucje ukafanya niku2mie barua kwa S.L.P ukaprove dat am rock wit gud handwritting...
 
Ucje ukafanya niku2mie barua kwa S.L.P ukaprove dat am rock wit gud handwritting...

du S.L.P yako kwani bado nzima? hebu tuma tuone mwandiko wako kama ume improve
 
.....umeniacha hoi nikiumbuka enzi zilee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…