Reginald Mengi ajitoa rasmi kwa Lowassa

Status
Not open for further replies.
Hawa ndiyo wale vijana wa kitengo cha IT-masaki chini ya JM.
Kama unalosema ni kweli basi hii inatokana na kuamini vijana wasio na uzoefu katika uongozi wa siasa. Chama cha Siasa makini lazima kithamini UZOEFU la sivyo ni majanga.
 
Ukiona mtu anamuita lowasa fisad uku akishabikia ccm ujue anaupungufu wa kufikilia.
 
Tatizo Ccm wamelewa madaraka kwa pesa za ufisadi.wewe wananchi wanakula mlo mmoja.hayo masikio au macho ya kuwaingiza ndani ya mioyo yao.hao wasaani mpaka wawashawishi .unatokea wapi ?? .ccm sio wazima !!

Ungekula mmoja ung'ang'ana na uzi kila dakika?
 

"Aisha Ngedere katika ubora wake "
 

Wewe Aisha Iddi naona biashara yako ya vitumbua inakulevya, yaani unaridhika na hicho unachopata hata kuwapeleka watoto shule huwezi.

1. Hapo kwenye rangi nyekundu weka 'Kikwete na familia yake pamoja na wapambe'
2. Kwenye kijani weka 'Edward Lowassa'
3. Na hapo kwenye blue wek CCM
 
Huyu naye ni wale wale angalia kaanza lini. Naamini kuanzia tarehe 25.10.2015 hatutamwona JF

Join Date : 25th August 2015
Posts : 33
Rep Power : 309
Likes Received12
Likes Given0

Hee mwezi na nusu posts 33 nae ni mama lwao kweli. Kwanza atuambie ni kikao au mkutano upi Mengi alipotangaza kuwa yupo kambi Lowassa na hivyo hivyo ni kikao gani alitangaza kujitoa na kujiunga na kambi Magufuli.
 

 

Huu UZI amekuandikia shemeji yetu ambaye alitoswa uenyekiti wa serikali ya mtaa. Pole saana dada AISHA.
 
mtoa post unaumwa subiri tu nawe siku yako kufa taratibu inakaribia nenda ukapime afyav yako
 
Tatizo kayumba school ndio hii mengi na hao wasanii wana impact gani? Omba ada kwa ndugu urudi shule
 

sasa kama kaondoka ,sisi inayuathiri nini?kwamba vyombo vyake vitamtangaza sisiyem?,hawez mabilisha msimamo shoka liko shinani 25/10 tunamalizia tuuu
 
mengi sio mbinafsi kama matajiri wengine nina uhakika 100% hana chuki na UKAWA. yuko fair km mustaf sabodo hawa jamaa ni makini saaaana nia watetezi wa wanyonge.
 
Ukiwasikiliza na kusoma wanacholeta utadhani wameacha ufisadi,EL tumemwambia apumzike kujinadi sisi tumeshaamua.
 
Mzee Mengi anajitambua.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…