...karibia robo tatu ya madaktari bingwa wanao hudumia Hospitali za Dar wanatokea Muhimbili' ni vingumu kuwapata Muhimbili' kwa sababu ya ukiritimba wa taasisi za serikali, ukienda hospitali binafsi ni rahisi kuonana nao kuliko Muhimbili.[/QUO
Yani huyu ndugu yangu alilazwa KCMC week 2, hakupata daktari bigwa wa kumhudumia , alikua anahudumiwa na wanaffunzi ambao walishidwa kujua tatizo, sasa tunataka aje Dar ila hatujajua tumpeleke hospital ipi .
...pole sana, kwa Regency wanavifaa na mashine nzuri' na gharama zao ziko!
"kwa tatizo la ndugu yako la kuota nyama sehemu za siri, inategemea ni sehemu gani ya mwili na ukubwa wake'.
"ninakushauri, kwa ushauri sahihi kafungue thread inayojitegemea kule Jukwaa la JF Doctor, ikielezea kiunagaubaga "maelezo ya huyo mgonjwa wako; umri na jinsia" n.k