tatamajuva
Member
- Sep 11, 2019
- 74
- 84
REFORMATION NI MUHIMU CWT
Wiki Jana 15 may 2020 kulikuwa na uchaguzi wa viongozi cwt ngazi ya wilaya shinyanga DC
Kwakweli CWT kimekuwa siyo chama Cha kutetea maslahi ya walimu Bali ni cha wachumia tumbo kutokana na mchakato wako ulivyoendeshwa! It's shame! U haguzi uliojaa rushwa, uchaguzi ambao uongozi uliokuwepo ulipanga Nani awe kiongozi wa chama hicho, haiwezekani viongozi wa CWT waandae malazi ya wapiga kura, chakula, vinywaji for 2 days , hivi unataraji tutapata viongozi wazuri katika chama hiki?
CWT shinyanga dc ni uozo mtupu, haijawahi kushuhudiwa Hali hii, baada ya uchaguzi Kuna kiongozi aligombea nafasi ya mkoa na kwa njia ileile aliyotumia alishinda lakini nafasi ya ngazi ya wilaya tayari aliandaliwa mtu ambaye kamati imekubaliana awe huyo headmaster wa shule Fulani, je, tutafika,
CWT ni jipu linalosubiri kutumbuliwa , na mtumbuaji ni mkuu wa nchi.
Cwt wanagawa t-shirt siku 10 baada ya sherehe za Mei mosi? Hii syndicate ya baadhi ya watu, na kwa manufaa yao ya kulindana ili kuchumia tumbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki Jana 15 may 2020 kulikuwa na uchaguzi wa viongozi cwt ngazi ya wilaya shinyanga DC
Kwakweli CWT kimekuwa siyo chama Cha kutetea maslahi ya walimu Bali ni cha wachumia tumbo kutokana na mchakato wako ulivyoendeshwa! It's shame! U haguzi uliojaa rushwa, uchaguzi ambao uongozi uliokuwepo ulipanga Nani awe kiongozi wa chama hicho, haiwezekani viongozi wa CWT waandae malazi ya wapiga kura, chakula, vinywaji for 2 days , hivi unataraji tutapata viongozi wazuri katika chama hiki?
CWT shinyanga dc ni uozo mtupu, haijawahi kushuhudiwa Hali hii, baada ya uchaguzi Kuna kiongozi aligombea nafasi ya mkoa na kwa njia ileile aliyotumia alishinda lakini nafasi ya ngazi ya wilaya tayari aliandaliwa mtu ambaye kamati imekubaliana awe huyo headmaster wa shule Fulani, je, tutafika,
CWT ni jipu linalosubiri kutumbuliwa , na mtumbuaji ni mkuu wa nchi.
Cwt wanagawa t-shirt siku 10 baada ya sherehe za Mei mosi? Hii syndicate ya baadhi ya watu, na kwa manufaa yao ya kulindana ili kuchumia tumbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app