Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 775
- 1,592
Hii mwenyewe nimeiona nkajua labda ni mabadiliko yamefanyika na FIFA labda.Saido kabla ya kupiga mpira wachezaji kadhaa wa Yanga na Namungo walikuwa ndani ya eneo la penati, mimi nlijua jamaa atasema irudiwe,gafla naona anasema goli na mpira upelekwe kati.Huyu refa kama si shabiki wa Yanga basi atakuwa hakuwa vizuri kichwani1. Penati feki.
2. Penati inapigwa huku kukiwa na Wachezaji watano ndani ya Box la kumi na nane na Refa ni wa Sita.
Nadhani Marefa wanaiogopa Yanga.
Hii sio kawaida.