Recruitment agents zimeruhusiwa?

Kuna wakati serikali ilipiga marufuku recruitment agents lakini kila siku naona wanatangaza kazi , mfano HR solutions, jobmakini, cv people, radar n.k. Lile agizo la serikali vp?

recruitment agents zinaruhusiwa kufanya interviews kwa niaba ya mwajiri,kuitangaza kazi lakini sio kumiliki wafanyakazi
 
Watakuwa wameshatembeza rushwa wizarani sasa wameachiwa wapete tu na kuwanyonya na kuwakandamiza watafuta ajira. Wanaijua Tanzania ni nchi ambayo penye udhia tia rupia, mambo yako yanakunyookea.

 
Reactions: OMJ
Watakuwa wameshatembeza rushwa wizarani sasa wameachiwa wapete tu na kuwanyonya na kuwakandamiza watafuta ajira. Wanaijua Tanzania ni nchi ambayo penye udhia tia rupia, mambo yako yanakunyookea.

Waulize waliotafutiwa kazi na recruiment agency iliyona mifumo sahihi isiyo ya kinyonyaji watakuambia raha yake.
 
Hizo agencies si zinafanya kazi kama PSRS tu? Kwamba zinatoa matangazo na kufanya usaili kwaajili ya makampuni. Ila kumiliki wafanyakazi sio vizuri at all. Serikali itoe tangazo vizuri sio kutuficha ficha..
 
Sasa hao cha mtoto wapo Vipajilink pale maeneo ya victoria..............weeeee!!
 
"...ukitaka kula lazima ukubali kuliwa, japo kidogo..."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…