RECORD: Wanachama wa ushirika wamefikia milioni 8.4 kutoka wanachama 2.4m na tayari Rais amewaanzishia benki yao yenye mtaji wa TZS58bn

RECORD: Wanachama wa ushirika wamefikia milioni 8.4 kutoka wanachama 2.4m na tayari Rais amewaanzishia benki yao yenye mtaji wa TZS58bn

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
6,087
Reaction score
5,352
Kuongezeka kwa idadi ya wanachama wa vyama vya ushirika ni kiashiria cha uchumi wetu kukua.

Mwaka 2014/2015 wanachama wa vyama vya ushirika walikua ni 2,390,593, mwaka 2020/21 wakaongezeka na kufikia milioni 5.9 na mwaka 2024 wamefikia milioni 8.4

Rais Samia pia amechagiza mchakato wa kuanzisha benki ya ushirika ikiwemo kuwezesha kufikia lengo la shilingi bilioni 58
 
Unakumbuka Benki ya Nyumba na vibenki vya ushirika vya Kagers na Kilimanjaro?
Unajua zilikufaje?
Uchochoro mwingine wa watawala kuiiba fedha za serikali kama ESCROW na IPTL..
Unadhani mahekalu yanayo ota kama uyoga Mbezi na Masaki fedha zinatoka wapi?
 
Serikali ina hela,ni mtu kutokea tu na kutoa wazo litakalohalalisha pesa kuingia.Hapo zisiposimamiwa vizuri, watu watazipiga hadi basi.
 
Kuongezeka kwa idadi ya wanachama wa vyama vya ushirika ni kiashiria cha uchumi wetu kukua.

Mwaka 2014/2015 wanachama wa vyama vya ushirika walikua ni 2,390,593, mwaka 2020/21 wakaongezeka na kufikia milioni 5.9 na mwaka 2024 wamefikia milioni 8.4

Rais Samia pia amechagiza mchakato wa kuanzisha benki ya ushirika ikiwemo kuwezesha kufikia lengo la shilingi bilioni 58
Jamaa we unahangaika sana. Bi Tozo hakubaliki
 
Kafanya makubwa sana sasa apumzike kutazama matunda ya kazi zake mujalabu. Asikae sana kwani kuwa rais ni kazi ngumu sana au we unaonaje?
 
Bank ya wakulima inafanya kazi gani? Baada ya bank kupewa wakandarasi wanapewa wakulima
 
Kuongezeka kwa idadi ya wanachama wa vyama vya ushirika ni kiashiria cha uchumi wetu kukua.

Mwaka 2014/2015 wanachama wa vyama vya ushirika walikua ni 2,390,593, mwaka 2020/21 wakaongezeka na kufikia milioni 5.9 na mwaka 2024 wamefikia milioni 8.4

Rais Samia pia amechagiza mchakato wa kuanzisha benki ya ushirika ikiwemo kuwezesha kufikia lengo la shilingi bilioni 58
TAKATAKA
 
Back
Top Bottom